Mirhea
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 814
- 1,384
Chagua pekee yako bhana maana mi naweza nikakuambia muite lets say James,ukalipenda ukalichukua ukampa mwanao,kumbe lilikua jina la babu yangu ambaye alikua ni mlevi,unategemea nini kwa huyo mtoto wako. Majina mara nyingi yanakuaga na maroho ya asili ya hayo majina au kulingana na maana ya jina husika,ukimpa mtoto shida au taabu unategemea nini...