Msaada: New baby names

Msaada: New baby names

Chagua pekee yako bhana maana mi naweza nikakuambia muite lets say James,ukalipenda ukalichukua ukampa mwanao,kumbe lilikua jina la babu yangu ambaye alikua ni mlevi,unategemea nini kwa huyo mtoto wako. Majina mara nyingi yanakuaga na maroho ya asili ya hayo majina au kulingana na maana ya jina husika,ukimpa mtoto shida au taabu unategemea nini...
 
kutokana na comments tulizopokea kweli tumeamini kila familia haikosi vimeo,hata humu kwenye familia ya JF mpo aisee!!!!,na hii ni uthibitisho tosha kuwa sisi(wachache)pale tunapoenda kazini na kupakia watoto wa shule walioachwa na daladala....wenye kutoa mi comment ya ajabu ndio wanaongoza kwa kufunga vioo vya magari yao na kuwaacha watoto mabarabarani...kamsaada kidogo ka kutype jina ni issue kwako,je lift kwa mwana wa mwenzio si ndio balaa🙂...thanx for all who took there trouble,we salute you all,hata nyie mlioleta siasa,utani nk tunawashukuru pia.
 
Jamani yani jina mpaka JF.........? Mwite Mzindakaya, Nape,Komba, sikitiko, Chawote
 

ungejua maana ya JF usingeuliza swali lako!!

Wajipa kaz sana ndugu kuanza kusikitika yawezekana kuna aina ya majina uliokua unayataka...au mwenzetu sio mtanzania tena mbongo majina meng yapo ktk jamii tunazoishi.. Na sidhan kama wafahamu humu au popote pale watu wapo tofaut ulivo wewe ni tofauti na wengine kwahiyo usitake watu waishi kama unavotaka wewe bali wewe chukua jukumu lakujifunza kuishi na watu wanamna hizo hautapata tabuu. Na sikuhiz google imerahisisha jina na maana kwisha habari.
Wasalamu BN
 
vile umesema we mkatoliki waweza chagua majina kupitia orodha ya watakatifu na historia ya maisha yao ....petro.paulo.gregory. Augustino n.k wa kike josephina. avila. perpetua yapo mengi mwaweza kuchagua mkiwa na mkeo mkafurahi zaidi
 
we are expecting a new comer early next month,we wish to welcome interested individuals to help us come up with a name of our baby,we dont know its gender yet,we want it to be a surprise....BTW we are catholic,so we welcome both male and female names....no insults please because we have not insulted anyone,if you find this tread not interesting.....just skip it.
Thanx.
We are all fake with fake names and most of things are normally treated fake-like...now the names you are asking shall be fake for the fake baby!Thank you fake parents.
 
we are expecting a new comer early next month,we wish to welcome interested individuals to help us come up with a name of our baby,we dont know its gender yet,we want it to be a surprise....BTW we are catholic,so we welcome both male and female names....no insults please because we have not insulted anyone,if you find this tread not interesting.....just skip it.
Thanx.

Gustavo an gustava!
 
kutokana na comments tulizopokea kweli tumeamini kila familia haikosi vimeo,hata humu kwenye familia ya JF mpo aisee!!!!,na hii ni uthibitisho tosha kuwa sisi(wachache)pale tunapoenda kazini na kupakia watoto wa shule walioachwa na daladala....wenye kutoa mi comment ya ajabu ndio wanaongoza kwa kufunga vioo vya magari yao na kuwaacha watoto mabarabarani...kamsaada kidogo ka kutype jina ni issue kwako,je lift kwa mwana wa mwenzio si ndio balaa🙂...thanx for all who took there trouble,we salute you all,hata nyie mlioleta siasa,utani nk tunawashukuru pia.

self centered,.,.
 
we are expecting a new comer early next month,we wish to welcome interested individuals to help us come up with a name of our baby,we dont know its gender yet,we want it to be a surprise....BTW we are catholic,so we welcome both male and female names....no insults please because we have not insulted anyone,if you find this tread not interesting.....just skip it.
Thanx.





muite chanachupi hilijina halichagui jinsia
 
Back
Top Bottom