Watanzania tuna tatizo kubwa sana la wivu na kupenda umbea.Maneno ya namna hiyo ni ya watu wasiojiamini.Kwan Profesa ndo nn!?Yule ni mtu mzima anaongea na watu wazima wenzake na anajiamini.Mlitaka awaogope kwa kuwa wamemzidi madaraka au elimu!?Acheni ushamba.Tafuteni vitu vya maana vya kuandika!
Wanaopinga Ronaldo kuchukua hiyo tuzo ni either,
1).Hawajui soka/hawafuatilii soka
2).Hawako objective na wanaleta ushabiki tu.
Mimi pia ni mpenz sana wa L.Messi ila Ronaldo anastahili kabisa hii tuzo this time around.Period.
Ebu tutolee mada za kipumbavu na kichochezi...vita dhidi ya uislamu ina tija gani!?Kwa maisha ya sasa watu wameoana,wanaurafiki na ndugu bila kujali tofauti za dini.Mpuuzi mkubwa wewe!
Sasa ubishi wake ni nn!?...au wewe haukatwi kodi?Tunakatwa hela nyingi tu kwa lazima kama kodi kila mwezi.Kazi yake ni nn kama si hiyo?Na bado wapuuzi wengine wanatufuata majumbani kulazimisha michango ya kipuuzi wakati gharama za maisha zinapanda kila kukicha mpaka mishahara yetu haitoshi...
Nahisi huyu jamaa ali-disco UDOM sasa kaweka biff.VENDETTA za nn kama ulikuwa unazurura tu husomi!!?Mijitu mingine bwana!
Tafuta chuo usome,acha ujinga usiokusaidia!
Kwa wanaopinga mwanamke wa kiafrika kuvaa shanga na kushabikia gold chainz viunoni WANA AKILI MGANDO!NI ULIMBUKENI ULIOPITILIZA!Especially kama zinavaliwa kistaharabu kama huyo dada!Nani anapinga kuwa hajapendeza!!??
Shanga ni pambo la kiafrika.Tatizo kuna wavaaji ambao tayari waliishaharibu...
madela Wa-madilu don't tell me you are that naive to believe that Zitto is innocent and was unaware of the malicious plans.I DO NOT ACCEPT THAT!!They would not have done or proceeded with it if he(Zitto) did not accept.He knew!!He must have "blessed" the planz.
The "waraka" aside, allegations...
I'm a big fan n follower of Zitto Kabwe.I respect and admire his intelligence n knowledge,the works that he has done to highlight his party in public.He has done a lot.But I'm afraid the same things that make him who he is will be his downfall when combined with arrogance and pride!
And I...
Hahahahaaa!...na mbaya zaidi aliyekuwa bafuni akatoka uchi akimkimbiza kichaa ambaye yeye alikuwa amevaa nguo!
On a serious note though,I don't know how these guyz (my mates in JF) went so out of hand.It's obvious they were both making funny commentz.Take it easy guyz!
Hahahahaaaaaaaa!...I love this lady @lara1 for sure!She alwayz manages to come up with some crazy controversy that will rattle ur stomach.
One of the best memberz of JF...I take off my hat for u Lara1!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.