handymartin
Member
- Jul 15, 2013
- 47
- 16
Malumbano ya hivi yananikumbusha ile hadithi ya kichaa aliyemuibia taulo mtu aliyekuwa bafuni uswahilini,aliyekuwa bafuni akaanza kumkimbiza kichaa mtaani.
Je !hapo nani ni kichaa?
Hahahahaaa!...na mbaya zaidi aliyekuwa bafuni akatoka uchi akimkimbiza kichaa ambaye yeye alikuwa amevaa nguo!
On a serious note though,I don't know how these guyz (my mates in JF) went so out of hand.It's obvious they were both making funny commentz.Take it easy guyz!