Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Acha utoto wewe km hujaelewa si ungesema tuu hujaelewa.Nani kasema ni siri?Ni kwamba mahusiano na CDM hayawezi tena kuwa km siku zile Zitto akiwa na baraka za kila mtu,akiwa anaminiwa na kila mtu.

Sasa km ndivyo na adhabu imempasa, kwa faida yake tuu ni kwamba asiwasukume CDM waseme yote mabaya na kuamua mdhalilisha mjini.Asepe basi kwa makosa yanayoonekana na yaliyotosha hata kwake kujiona mkosefu.Basi,sijasema siri ila heshima na kutofurahia downfall ya mtu mwingine.Hiyo ndio nji aya CDM km nji aya Barcelona.

Timu kubwa huwafukuza wachezaji ambao kuna kipindi walikuwa wakifunga magoli sana kwa wapinzani bila kutaa jenga scene.HUko ndipo kustaarabika.Ila Zitto km anapenda sana.akina Lema wapo wa kumaliza..

Chaga bwoy!!!
You don't deserve to contribute anything on this........
You will spoil it and divert the meaning. You are too inferior compared to it. Bonsafooooooooooo
 
Chaga bwoy!!!
You don't deserve to contribute anything on this........
You will spoil it and divert the meaning. You are too inferior compared to it. Bonsafooooooooooo

haha..acha ujinga..bonsafooo ndio nini wewe mwehu.

Oh yeah....i see.Im inferior and you are superior so what.Why don't you then write something a bit superior?
 
ulichofanya wewe ni kuonyesha ujuaji wa kiingereza lakini sio uelewa wa mambo muhimu ya kisiasa. Wengi sana wameandika hizo write up/ proposal lakini hawakufanikiwa kwa sababu zilikuwa poor writeup, haziko well organised na sio halisi/genuine, ni uongo mtupu... Ndio mana zitto aliandika schorlary writeup proposal chadema/kadima ikamwagiwa mabilioni...rudi shule acha bush lawyer
Mmmh kazi kweli kweli, ama kweli usimwamshe aliyelala utalala wewe. Mimi sijaelewa hata unachopinga katika nilichokiandika au unaandika tu kwa sababu ya ushabiki, lakini nahisi ulisoma harakaharaka tu bila kuelewa ukakurupuka kuandika. Kama unaandika kwa sababu ya ushabiki sawa bahati mbaya mimi siwezi kubishana nawe ktk hilo. Bahati nzuri kabisa na mbaya kwako ni kwamba mimi ni mtaalamu wa kuandika proposals/write-ups ziwe za kitaaluma au za kuombea hela na pia naijua siasa kuliko unavyoijua. I have been in active politics for 20 years. Cha zaidi nimefanyakazi na Zitto namjua in and out, na elimu ya mjerumani naijua kwa sababu nimeisoma, tena elimu kubwa tu ambayo wewe you can dream of. All the best.
 
Ndugu mleta mada, kichwa cha habari sijakielewa. Pia lugha uliyotumia kwa kweli inakushusha. Nashauri tu ujifunze tena imla maana umeharibu. Ishu hapa si content wala context tu. Hata form ni muhimu sana. Hivyo ukileta mada nyingine kama itakusumbua kuweka sawa bora umpe mtu akusaidie kuhariri kwanza. Kuhusu zitto, let the nature decide maana jamaa ni mtata sana. Waweza kumuunga mkono kumbe umepotoka. Pia waweza mpinga kumbe umekosea. Atakayemhukumu zitto kihalali ni zitto mwenyewe.

ndugu nashukuru kwa kuyaona mapungufu yangu, nitajitahidi kuboresha wakati mwingine.,

Lakini kama umeshindwa kuelewa kichwa cha habari nashindwa kuwa na hakika hapo tatizo nilipi, kwamba hakieleweki ama tatizo uelewa Wako, -sifahamu.

Lakini all in all, kama kushindwa kwangu kuandika katika viwango nilivyopaswa kuandika kumekufanya kukosa kupata chochote kwenye ujumbe huu, basi naomba ifahamike tu ninacho kisisitiza nikwamba lazima tuwe makini HAKI ya msingi ya mtu yeyote isipotee.,

Mtu asiwe judged kwa taarifa ambazo hazijawa verified na yeyote.,

Mtu asiitwe tu msaliti kwasababu eti anaonekana kuwa na urafiki na watu ambao ni wanachama wa CCM, mimi nasema shutuma zi thibitishwe! Zikishindwa kuthibitishwa basi, hatuwezi kuwa na haki ya kupoint fingers hapa tukiitana wasaliti kirahisi rahisi tu hivyo.,
hii si sawa!

Nashukuru ndugu
 
Mwanzisha uzi huu nakupa like kubwa sana kwani umeongea vitu ambavyo ni vya msingi sana na ndio maana ukiangalia hata wachangiaji wake wa uzi wako huu utaona wale wa utani na ushabiki hawamo kabisa maana hawana hoja za kujibu hoja zako mkuu,hongera sana na ningependa zaidi kama sote tutakuwa tunaanzisha uzi ambazo zinaweza kutusaidia katika ujenzi wa nchi yetu kama huu.Ila mimi mkuu nina swali moja kwako,kama ZZK amesema hausiki na waraka ule na hata hao waliohusika wamekiri wazi kuhusu kutohusika kwa ZZK wala kuutambua huo mkakati,inakuwaje wewe unasema kuwa CC y CDM ipo sahihi kwa maamuzi yake wakisimamia katika hoja ya uhaini au usaliti wakati ushahidi wa hilo haupo,maana wahusika wamekiri tayari kwamba ZZK hausiki?Je walitenda sahihi katika maamuzi yao kwa kusimamia hilo na kama si kwa kosa hilo kwa nini propaganda bado zinaendelezwa kwa kishindo kuwa jamaa kaadhibiwa kwa kosa hilo tu na sio yale mengie kwa ujumla wake?
Mungu akubariki mkuu na naomba wana JF wote tuwe hivi,sio matusi,kashfa na dharau tu humu
 
ndugu nashukuru kwa kuyaona mapungufu yangu, nitajitahidi kuboresha wakati mwingine.,

Lakini kama umeshindwa kuelewa kichwa cha habari nashindwa kuwa na hakika hapo tatizo nilipi, kwamba hakieleweki ama tatizo uelewa Wako, -sifahamu.

Lakini all in all, kama kushindwa kwangu kuandika katika viwango nilivyopaswa kuandika kumekufanya kukosa kupata chochote kwenye ujumbe huu, basi naomba ifahamike tu ninacho kisisitiza nikwamba lazima tuwe makini HAKI ya msingi ya mtu yeyote isipotee.,

Mtu asiwe judged kwa taarifa ambazo hazijawa verified na yeyote.,

Mtu asiitwe tu msaliti kwasababu eti anaonekana kuwa na urafiki na watu ambao ni wanachama wa CCM, mimi nasema shutuma zi thibitishwe! Zikishindwa kuthibitishwa basi, hatuwezi kuwa na haki ya kupoint fingers hapa tukiitana wasaliti kirahisi rahisi tu hivyo.,
hii si sawa!

Nashukuru ndugu

Umenena mkuu,kweli Zitto amepewa Tuhuma lakini viongozi wao Mbowe na Slaa wanapita kumnanga Msaliti bila kutupa ushahidi
 
Chaga bwoy!!!
You don't deserve to contribute anything on this........
You will spoil it and divert the meaning. You are too inferior compared to it. Bonsafooooooooooo

Kuna watu ukiona tu kuwa ndio anachangia basi ujue hakuna kitu hapo,wao ni matusi,kejeli na dharau bila ya kujibu au kuchangia hoja husika inavyostahili.sitaki kuamini kuwa uwezo wao ndio unakuwa umeishia hapo kabisa bali ni yale aliyoelezea mhe. Wassira.
 
Fikisha ujumbe wako kwa maneno machache yasiyochosha au kukatisha tamaa kusoma. Wengi watachangia bila kusoma kikamilifu.
 
Ji-habari lake refu sana nikaona uvivu hata kulisoma. Ame-save.

Too much of anything is bad - Mark Twain


Nyie ndo mnao shindwa kusoma mikataba kwa sababu mirefu na kusaini bila kuelewa inasema nn.
 
Character X...Rule of thumb, bosi wako hawezi kukufuta kazi kwa kosa la siku moja! Itakuwa alishakufuta kazi long time! Zitto issues zake za kuihujumu CDM ilikuwa inafuatiliwa kwa karibu sana tena kwa muda mrefu sana, a moment alipokalia issue ya EPA mpaka Dr Slaa akaamua kuifumua mwenyewe, alipoteuliwa kwenye tume ya jaji Bomani, alipoanza kutumia resources za CDM kumnadi Kafulila, alipoamua kumnadi JK kwenye jimbo ake wakati wa uchaguzi, ushirikiano wake na akina ZOKA na baadae kujihami eti namba hiyo hajaitumia kwa muda mrefu, Ushirikiano wake na Dr Walid Kaborou nk... Huwezi fanya siasa kwa muda mfupi ikakuwezesha kumilliki Hammer na kiasi kikubwa cha fedha kiasi alichokuwa nacho Zitto, Zile nyumba na Gavana alizozipigia debe eti ni gharama halisi 2.8 B, Issue ya Dowans na baadae Symbio alivyokuwa anaipigia chapuo...ZITTO SI MSAFI! Kamwe hatufai katka mapambano haya ya kuikomboa nchi yetu kwa maslahi mapana ya watanzania wote... Hivi mnajisikiaje sisi kuwa matajiri number moja kwa rasilimali za kila aina Allah alizotujalia lakini tumefanywa masikini tegemezi wa kila kitu kwa misaada ya watu wa Marekani? Dhahabu, Almasi, Uranium, Gesi Vinathamani kiasi gani dhidi ya Condom na Net za Mbu?... Yawezekana kweli Tumerogwa na aliyetoroga naye alirogwa na aliyemroga!...Zitto? F..ck...ss
 
Character X...Rule of thumb, bosi wako hawezi kukufuta kazi kwa kosa la siku moja! Itakuwa alishakufuta kazi long time! Zitto issues zake za kuihujumu CDM ilikuwa inafuatiliwa kwa karibu sana tena kwa muda mrefu sana, a moment alipokalia issue ya EPA mpaka Dr Slaa akaamua kuifumua mwenyewe, alipoteuliwa kwenye tume ya jaji Bomani, alipoanza kutumia resources za CDM kumnadi Kafulila, alipoamua kumnadi JK kwenye jimbo ake wakati wa uchaguzi, ushirikiano wake na akina ZOKA na baadae kujihami eti namba hiyo hajaitumia kwa muda mrefu, Ushirikiano wake na Dr Walid Kaborou nk... Huwezi fanya siasa kwa muda mfupi ikakuwezesha kumilliki Hammer na kiasi kikubwa cha fedha kiasi alichokuwa nacho Zitto, Zile nyumba na Gavana alizozipigia debe eti ni gharama halisi 2.8 B, Issue ya Dowans na baadae Symbio alivyokuwa anaipigia chapuo...ZITTO SI MSAFI! Kamwe hatufai katka mapambano haya ya kuikomboa nchi yetu kwa maslahi mapana ya watanzania wote... Hivi mnajisikiaje sisi kuwa matajiri number moja kwa rasilimali za kila aina Allah alizotujalia lakini tumefanywa masikini tegemezi wa kila kitu kwa misaada ya watu wa Marekani? Dhahabu, Almasi, Uranium, Gesi Vinathamani kiasi gani dhidi ya Condom na Net za Mbu?... Yawezekana kweli Tumerogwa na aliyetoroga naye alirogwa na aliyemroga!...Zitto? F..ck...ss

sawa, kama haya Yana uthibitisho, ni sawa,. Lakini basi uthibitisho uwekwe wazi, ili HAKI ionekane ikitendeka..
 
Haina maana hata kidogo kuaminika nyumba ya jirani wakati nyumbani hauaminiki.WHAT'S THE POINT!?
 
wanajamvi nawakaribisha tutafakari pamoja mustakabali wa siasa za tanzania tukitupia macho yanayojiri katika chama kikuu cha upinzani CDM.
baada ya kutafakari maelezo ya pande mbili hasimu ktk chama hicho nidhahiri kwamba ndg zzk(MM)anastahiri kutubu kwa chama chake.kwa sababu zifuatazo:
kwanza katika swala la ukaguzi wa hesabu za ruzuku za vyama anaonesha wazi kuwa ni mnafiki kwa sababu yeye kama naibu katibu mkuu wa chadema amejua lini kwamba chama chake hakikaguliwi?na kama hakujua basi hana sababu ya kuwa chadema kwa sababu hajui hata mambo ya chama yanavyoenda.je wakisema yuko bize na ccm kuandaa mitego mibaya dhidi ccm watakosea
zitto ninaamini kuwa alileta swala la PAC kwa sababu alikwishaona dalili za yeye kufukuzwa au kusimamishwa lengo lake ilikuwa kuanza kuwaweka sawa wafuasi wa chadema waanze kumwona msamalia ili cc ya cdm itakapofanya maamuzi ionekane anaonewa.zitto alikuwa anawaandaa watu hasa wafuasi wa cdm dhidi ya naamuzi na hatua inayotarajiwa juu yake.
kwa bahati mbaya zitto hawaambii ukweli wale wanaompigia chapuo kwamba atakaporudi cdm wao wataenda wapi.yeye amekata rufaa sawa lakini kwa bahati akifanikiwa kurudishwa kundini je wao watarudi wapoi?
ili kuwanusuru na aibu namshauri aanzishe chama kingine cha siasa ili yeye mwenyewe binafsi awe huru zaidi vinginevyo hata akishinda hiyo rufaa atafanya kazi na nani au atawafukuza wapinzani wake wote ndani ya chama?kama si hivyo atakuwa huru?
mimi ni miongoni mwa wanaounga mkono siasa za zitto ila siyo msimamo wake ktk hili. umaarufu ndo unamsumbua zzk.lakini namshauri awe ameonewa au la!atapotea kama hamadi rashid au amani w.kaburu.
lakini zzk atambue kuwa uteuzi wake kuwa mwenyekiti wa PAC si mkono wa chama chake bali wa ccm na raisi mwenyewe.
zitto alikuwa wapi mpaka hesabu za chama chake hazikaguliwi au ni mpango wa kukivuruga chama?
sisemi cdm hakiwezi kuyumba la hasha!ila nasena kikiyumba ndio atakuwa ameshinda?kama atakiwa ameshinda ataepuka kusemwa kwamba anatumiwa?mimi siamini kama kweli anakipenda cdm anawezaje kukuza mgogo kiasi cha kuua chama?kwa mtazamo wangu chama kikiyumba zitto awe wa kwanza kufungwa jiwe shingoni na kutoswa baharini.sidhani kama mtu mzalendo wa chama chake anaweza kwa namna yoyote chama kife;halafu apate faida gani?e


"Injustice in what is least is also in much"





by mwanachama wa ccm mshabiki wa chadema.....it is possible under democracy.
 
Mjadala wa Zitto umeshafungwa....................
 
Mwacheni Zitto apumzike why all the time mnamtafuta ? Mwacheni sasa inatosha fanyeni kazi zingine .
 
matumizi ya fedha wanajua watu watatu tu,mtendaji mkuu,msaidizi na mtunza fedha by waraka wa ushindi 2013
 
Back
Top Bottom