Jaribu Junior
Member
- Nov 15, 2013
- 20
- 0
Mtu mwenyewe meend ndo walewale akina mbowe,lema
Kampeni kubwa sasa ng'oa na ondoa kbc zzk and ccm,, habari ya mjini
Mpini wake nani?WANANCHII wote waliokuwa wanafatitilia kipindi ndani ya startv na kupiga simu wameonyesha mashaka makubwa juu ya maamuzi ya kamati kuu kwamba yalipaswa vilevile yatumie busara na hekima.
MH ZITTO ni jembe hivyo inapaswa wawe makini na decision yoyote wanayoiendea. Wananchi wote waliopiga simu wanampa sapoti kubwa Mh. Zitto
Mkuu umeanza uchambuzi wako vizuri na hata ukaonekana kufanikiwa kujenga hoja na kuoneka kuwa balanced lakini mwisho conclusion yako kama vile imekuumbua, imeweka wazi hoja yako kuwa yale mengine yote ilikuwa tu kuipaka qunini sukari. your conclusion does not logically follow from your analysis unless you ommitted something ..
kwanini unadownplay madhara ya sifa..na kuruhusu uncertainity kwa kiasi hichi.Haupo hata sure kw akile unachoandika.
HIvi unajua sifa hupersonalize national issues,hata maisha ya watu wengine..?
Kwa mtazamo huu????
Tuna safari ndefu sana ya kuleta mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi nchini Tanzania.
Chepeo linaitwa kijiko kikubwa
I'm a big fan n follower of Zitto Kabwe.I respect and admire his intelligence n knowledge,the works that he has done to highlight his party in public.He has done a lot.But I'm afraid the same things that make him who he is will be his downfall when combined with arrogance and pride!
And I refuse to be a BLIND FOLLOWER of Zitto Kabwe.When you are in any institution,regardless ur position in it(hata kama ni mwenyekiti),that institution is bigger n more important than you.It serves a greater purpose.You are just a valuable asset towards its goals.And u stop to be one(valuable asset to the institution) the moment u start undermining its common n legal practices and objectives.
Zitto is entaitled to differ with other members(regadless of position) over any issues or ideology.That's democracy.But he should have put it open n clear.What he n his company in CHADEMA were doing secretly IS unacceptable and contrary to Party's constutution.It is TREASON!...BLACK MARKET WITHIN THE PARTY.Any good intentions are put publicly and they will be supported by the people.SO WHY THE SECRECY and INSURBODINATION?In this,I dont follow Zitto.I'm not a fan!
He should make use of Democratic means of solving problems.That's our (CHADEMA'S) foundation.Even when he thinks he's faced with undemocratic forces or leaders.Otherwise what's the distinction between him and the the people or things he opposes!?
Julius Malema of ANC Party South Africa thought was untouchable in his Party,he learned otherwise...THE HARD WAY!
ZITTO IS WRONG.PERIOD!!
come again please. sijakupata vizuri hapo.... ingawa pia ningeomba uiangalie vizuri post namba 64 ambayo inafafanua post number 1 kwa kina kidogo, kisha uje kunipa fikra zako ambazo kwakweli nazihitaji. nimedownplay sifa za kitu gani hasa. Watu? au CHAMA!
Its unlucky kuwa unasahau haraka sana blocks muhimu za thread yako.
Henbu soma hili:
"
>>>>>>>>
Tatizo ni kwamba mambo yanayofanywa na fedha za chama hayajapeleka sifa kwa kila mwanasiasa ambaye angependa fedha za CHAMA zitumike kumpa sifa na yeye pia. Hapa kuna tatizo la sifa!
>>>>>>>>>>>
"
hapa nilikuwa naongelea sifa km sifa ..pengezi binafsi za kulazimisha..
hiyo block ilikuwa inakazia hoja binafsi kuwa naamni fedha hazijaibwa CHADEMA, wala kutumika vibaya. na kama hilo ni sahihi, basi malalamiko kuhusu fedha ni lugha ya kutaftia tu sifa. Hiyo ndo ilikuwa maana ya block hiyo. Wewe Nico unao ushahidi kuwa fedha zimeibwa CHADEMA? au kwamba zimetumika vibaya? weka huo ushahidi hapa tuuchambue....
Mpini wake nani?
sidhani hata km mimi naongelea hela..ila naongelea hiyo division ya SIFA inayogombaniwa ..kwani hiyo ndio inayosababisha uovu wote na desperation ya cha kasa (cha mbugani)Zitto.