Recent content by Hamzah J

  1. H

    Kilimo cha mpunga Morogoro/Kimara-Mbeya

    Shamba ukilipa huduma nzuri ni zaidi ya gunia 15 za plastiki 7
  2. H

    Kilimo cha mpunga Morogoro/Kimara-Mbeya

    Habari ya mapambano kijana mwenzangu! Kulingana na hoja yako, ninapenda kuchangia baadhi ya mambo niyajuayo juu ya kilimo hiki cha mpunga. Mimi ni mkulima wa zao hili ktk mkoa wa Songwe wilaya ya Momba bonde la Kamsamba. SIFA ZA BONDE HILI ~Ardhi yenye rutuba ~Uhakika wa maji ~Mavuno mengi...
  3. H

    Msaada wenu wana jamii, kilimo cha mpunga

    Majukumu yako poa, bila shaka na kwako pia. Kulingana na hoja yako, ninapenda kuchangia baadhi ya mambo niyajuayo juu ya kilimo hiki cha mpunga. Mimi ni mkulima wa zao hili ktk mkoa wa Songwe wilaya ya Momba bonde la Kamsamba. SIFA ZA BONDE HILI ~Ardhi yenye rutuba ~Uhakika wa maji ~Mavuno mengi...
  4. H

    Nape Nnauye kuongea na wanahabari

    Kweli Giza totoro ndio ishara ya mapambazuko.
  5. H

    Kuna kitu hakiendi sawa: Mkuu anapambana na umma?

    Kiongozi naungana na mtazamo wako. Hata mimi nahisi huo ndio uhalisia.
  6. H

    Hii ni dedicatation kwa wanawake wote

    Hata hao Dada zako wakae chonjo pia, kwakua malipo ni hapa hapa duniani.
  7. H

    Serikali za CCM na kuwadharau walimu

    ELIMU BORA NI MADAWATI MASLAHI YA WALIMU ZIADA. This is Tanzania
  8. H

    Ajira za serikalini kwa uhakika zitafunguliwa lini?

    Hata wenye dhamana ya kutoa hizo ajira hawatambui ni lini hasa ajira ztatoka. Hata wao wanatamani sana kujua ili wawajuze watanzania, TATIZO NI ONE MAN SHOW
  9. H

    Matumaini ya ajira mpya za ualimu 2016

    Hata watoao ahadi hewa ni MAJIPU, tatizo ni nani wa kuwatumbua ikiwa watumbuaji ndio watoaji wa ahadi hizo.
  10. H

    Utengenezaji wa vyungu vya maua

    SOKO LAKE LIKOJE NA WADAU WAKUBWA WA HIVI VYUNGU NI WATU GANI. Ahsante kwa somo zuri
  11. H

    Charles Kitwanga ni msiri wa Dk. Magufuli

    Hatimae ikawa kweli.
  12. H

    Alikiba- Aje (Official Video)

    Iko poa
Back
Top Bottom