Habari ya mapambano kijana mwenzangu!
Kulingana na hoja yako, ninapenda kuchangia baadhi ya mambo niyajuayo juu ya kilimo hiki cha mpunga. Mimi ni mkulima wa zao hili ktk mkoa wa Songwe wilaya ya Momba bonde la Kamsamba.
SIFA ZA BONDE HILI
~Ardhi yenye rutuba
~Uhakika wa maji
~Mavuno mengi...
Majukumu yako poa, bila shaka na kwako pia.
Kulingana na hoja yako, ninapenda kuchangia baadhi ya mambo niyajuayo juu ya kilimo hiki cha mpunga. Mimi ni mkulima wa zao hili ktk mkoa wa Songwe wilaya ya Momba bonde la Kamsamba.
SIFA ZA BONDE HILI
~Ardhi yenye rutuba
~Uhakika wa maji
~Mavuno mengi...
Hata wenye dhamana ya kutoa hizo ajira hawatambui ni lini hasa ajira ztatoka. Hata wao wanatamani sana kujua ili wawajuze watanzania, TATIZO NI ONE MAN SHOW
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.