Serikali za CCM na kuwadharau walimu

Serikali za CCM na kuwadharau walimu

Kumbe ukilima unalipa aiseeee...., maana kilimo na ufaji vinanifanya ning'ae na sina hekaheka ya mtima kabisaaa
 
Hii kada ya Ualimu siwezi kuihurumia kabisa.... Hawana umoja, hawana msimamo. So haya yote ni ugonjwa wankijitakia... I stand to be corrected!
sure man ..... c.w.t is an empty teeth barking dog.
 
Adui wa Walimu ni Walimu wenzao waliotoroka ualimu wakawa Vigogo
 
Adui wa Walimu ni Walimu wenzao waliotoroka ualimu wakawa Vigogo
Basi inabidi nawewe ufuate nyayo zao,Lasivyo utalalamika na kulaumu unashtukia tu miaka 60 hii hapa.....
 
....Muulize Mkoba ww kwa nn AWAMU hii HAONGEI kuhusu maslahi ya WAALIMU badala yake Anawahimiza siku ya tarehe 1 sept WASIANDAMANE?? Muulize ukipata jibu nakuongezea elf 30 tigo p
 
Ninachokiona Mimi huo umoja unaosemwa unaweza ukaleta direct impact kwa wahusika physically..nahisi ndo maana walimu wanaogopa..ila nimegundua kuwa kuna kitu kinaweza kuwa kinaendelea ndani ya mioyo ya walimu kimyakimya( sema tu wengi hatujagundua)..hivi unawezaje kuamini kuwa mwanafunzi kasoma darasa la kwanza hadi la saba asijue kusoma wala kuandika?.sijui lakini.
Hili pia huwa naliwaza sn mie.Lazima ni kubwa hata huko sekondari ni kubwa sn
Waboreshewe angalau mweeee.
Ila hawajui tu,chaki ni silaha hatari sn.
 
Ngoja nifungue thread nyingine, maana nikilala Mara baada ya kusoma Uzi huu nitakuwa naitukana serikali ndotoni.
 
Tunaenda kwa vipaumbele, sasa ni madawati kwanza, na wanafunzi wakiyavunja walimu watayalipa kwa kukatwa mishahara yao.Lazima yadumu milele.
 
Umefanyia utafiti wako wapi maana hii ni kali sana halafuu jifunze mahali pa kutumia sauti "r" na "l"
 
Walimu wakaguliwe vyeti vyao maana waliosome vyeti vya watu ndo wanarudisha harakati nyuma ili wasibainike.
 
wacha tuonewe ni ujinga wetu na uoga wa kijinga utafikiri bila kazi hiyo huwezi kuishi ukijiamini unaweza kuepuka kuonewa
Anzisha basi mgomo ili nasisi tuamini kuwa hata wewe huna uoga wa kijinga na huhofii lolote.nadhan wa kukuunga watakuwepo.
 
Ila umeandika vibaya sana,Japo kuwa ulichoandika ni sahihi,kikubwa ni ujinga wa walimu wenyewe,kwanza kiongozi mfano wa chama cha wafanya kazi anaunga mkono walimu kufukuzwa kwa kuandikisha tuwanafunzi hewa tuwili tu,lakini kiongozi huyo huyo walimu wanalazimishwa kukesha kwenye mwenge anakaa kimya,YAANI WALIMU NI WAOGA,WANAFKI NA WAMEJAA KUJIPENDEKEZA KWA SERIKALI
 
Ni kweli kabisa mtoa hoja hujakosea..kwa maoni yangu ningefurahi kama walimu wangeboreshewa maslahi yao..na kama ingewezekana walimu wa shule ya msingi ndiyo wangetakiwa kupata mshahara mkubwa zaidi kuliko level zinazofuata kama sekondari nk..hii ni kwa sababu mwalimu wa primary ana kazi kubwa sana kwa huyu mwanafunzi..lakini Leo hii Mwl wa primary anaonekana hana thamani yoyote..watakuja na mikakati mingi sana ya kuboresha elimu lakini wasipowajali walimu ni hakuna kitakachobadilika
Kwani walimu wa shule ya msingi wanalipwa mishara midogo kuliko sekondari?
Ngazi za mishara zinatofautiana mahali pa kuanzia kulingana na Elimu yako,pia huwa na ukomo kulingana na elimu pia,kuna walimu wa shule ya msingi wana degree na masters,wana scale sawa na wenzao wwnye elimu hiyo sekondar.
Kapige kitabu Mwl.mshara uende hotelini,kama umekwamia Baa(bar)
 
Tunaenda kwa vipaumbele, sasa ni madawati kwanza, na wanafunzi wakiyavunja walimu watayalipa kwa kukatwa mishahara yao.Lazima yadumu milele.
Yaani walimu wa Tanzania wananyanyaswa sana,
Dawati anavunja mwanafunzi lakini anayelipa ni Mwalimu.
Kweli Tanzania maajabu hayaishi.
 
Umefanyia utafiti wako wapi maana hii ni kali sana halafuu jifunze mahali pa kutumia sauti "r" na "l"
Kwani wewe mkuu unaishi Rwanda?
Maana kama ni mtanzania haya matatizo ya walimu hata wafanyakazi wa ndani( ma house girls) wanajua shida za walimu
 
Back
Top Bottom