Bushman_king
New Member
- Sep 27, 2019
- 1
- 0
Habari za majukumu , naombeni msaada wa mawazo nahitaji kuingia kwenye kilimo cha mpunga naomba anae jua mchanganuo wa haya
1.Gharama za kukodi shamba kwa ekari 1
2.Kulima,palizi kwa ekari 1
3.Mbegu kiasi gani kwa ekari 1
Mazingira ya kilimo naombeni kujua kwa mikoa ya Morogoro au Mbeya.
1.Gharama za kukodi shamba kwa ekari 1
2.Kulima,palizi kwa ekari 1
3.Mbegu kiasi gani kwa ekari 1
Mazingira ya kilimo naombeni kujua kwa mikoa ya Morogoro au Mbeya.