WAKUU,
Inasikitisha, nani katika dunia hii hazini au hajawahi kuzini. jambo hili linatakiwa lifungwe, haifai kuedelezwa, kwa sababu hakuna jipya. Kinachopaswa kupangaliwa na kupewa umuhimu ni nani yuko makini na uhai na uedelevu wa nchi yetu, badala ya nani anazini au
la. This is immaterial...