Wakuu naona kwenye huu mjadala kuna assumptions nyingi ambazo hatuna uhakika nazo na hata mshitaki hana uhakika na madai yake.
Kwanza, Dr. Slaa alimtambulisha huyo mama kama mchumba na siyo mke. Inawezekana wanasubiri huyo mama akamilishe formalities za official divorce ndipo wafunge ndoa.
Pili, nimeona kuna watu wanasema Josephine na Dr. Slaa wamekaa kinyumba, lakini hakuna ambaye ana uhakika na hilo. Ukisoma maelezo ya mume wa Josephine, hata yeye hajui mkewe alikuwa anaishi wapi au sasa hivi mkewe na watoto wanaishi wapi. Ni wapi ambako Dr. Slaa ameishi kinyumba na huyo mama? Hakuna mwenye uhakika au ambaye anajua.
Kutongoza mwanamke ambaye ametengana (separate) na mumewe hakuna kosa, kosa ni kufunga ndoa na mke wa mtu. Tukisema tuingie kwenye mila, huko ndio tunapotea zaidi kwa kuwa hakuna mila inakubaliana na ujinga wa mwanamke kuwa separate na mumewe for more than 6 months halafu bado ahesabike kwamba ni mke.
Cha msingi tusubiri kesi iungurume mahakamani na hukumu itolewe, hapo ndipo tutajua mbivu na mbichi ziko wapi. Alternatively, tusubiri maelezo ya upande wa pili, ambayo kwa sasa hatuwezi kuyapata kwa kuwa aliyekuwa mume wa Josephine kapeleka kesi mahakamani.
Ukiangalia kwa undani sana, sioni kosa la Dr. Slaa iwe ni kimaadili au hata mbele ya sheria, unless kuwe na proof kwamba Slaa kalipa mahari (kafunga ndoa ya kimila), au amekaa kinyumba na huyo mama for atleast 6 months ndani ya nyumba moja au amefunga ndoa kanisani au ofisi ya DC/RC, of which hayo yote hakuna anayejua. Slaa mwenyewe alisema Josephine ni "mchumba".
Pia kuna lugha za kiutu uzima jamani, Mzee Slaa hawezi kusema huyu mama ni mpenzi wangu, lakini kiukweli wanaweza kuwa ni wapenzi na wako kwenye process ya divorce kabla ya kufunga ndoa official..
Kwanza, Dr. Slaa alimtambulisha huyo mama kama mchumba na siyo mke. Inawezekana wanasubiri huyo mama akamilishe formalities za official divorce ndipo wafunge ndoa.
Pili, nimeona kuna watu wanasema Josephine na Dr. Slaa wamekaa kinyumba, lakini hakuna ambaye ana uhakika na hilo. Ukisoma maelezo ya mume wa Josephine, hata yeye hajui mkewe alikuwa anaishi wapi au sasa hivi mkewe na watoto wanaishi wapi. Ni wapi ambako Dr. Slaa ameishi kinyumba na huyo mama? Hakuna mwenye uhakika au ambaye anajua.
Kutongoza mwanamke ambaye ametengana (separate) na mumewe hakuna kosa, kosa ni kufunga ndoa na mke wa mtu. Tukisema tuingie kwenye mila, huko ndio tunapotea zaidi kwa kuwa hakuna mila inakubaliana na ujinga wa mwanamke kuwa separate na mumewe for more than 6 months halafu bado ahesabike kwamba ni mke.
Cha msingi tusubiri kesi iungurume mahakamani na hukumu itolewe, hapo ndipo tutajua mbivu na mbichi ziko wapi. Alternatively, tusubiri maelezo ya upande wa pili, ambayo kwa sasa hatuwezi kuyapata kwa kuwa aliyekuwa mume wa Josephine kapeleka kesi mahakamani.
Ukiangalia kwa undani sana, sioni kosa la Dr. Slaa iwe ni kimaadili au hata mbele ya sheria, unless kuwe na proof kwamba Slaa kalipa mahari (kafunga ndoa ya kimila), au amekaa kinyumba na huyo mama for atleast 6 months ndani ya nyumba moja au amefunga ndoa kanisani au ofisi ya DC/RC, of which hayo yote hakuna anayejua. Slaa mwenyewe alisema Josephine ni "mchumba".
Pia kuna lugha za kiutu uzima jamani, Mzee Slaa hawezi kusema huyu mama ni mpenzi wangu, lakini kiukweli wanaweza kuwa ni wapenzi na wako kwenye process ya divorce kabla ya kufunga ndoa official..