Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Ile vita maarufu kama "Six Day War" (Waarabu hupenda kuiita "the 1967 War" kwa sababu ya kukwepa humiliation) kati ya Israel na Waarabu iliyopiganwa mwaka 1967 inanifanya niulize swali: Kwa nini nchi tano za Kiarabu (Jordan, Egypt, Iraq, Lebanon na Syria - Nchi nyingine nyingi za Kiarabu pia zilichangia fedha,mafuta, wanajeshi, etc) zilishindwa na kanchi kadogo kama Israel? Je, Waarabu wamejifunza somo gani kuhusu vita hiyo?