Recent content by ganja man

  1. ganja man

    Chakula cha mama Mdigo Ubungo Kibo

    Dah mkuu ni kweli n hayo mamboz yapo hapa kijiweni kuna mdada anauza kwelikweli ila muda wa kula yy anaend nunua soda n mkate ama anasong ugali wake ukut anakula kile anachotuzia si yy wala mabinti zake. Niliwai wauliza kwann awali nikajibiwa chakula ukipika kinakinaisha
  2. ganja man

    China na Urusi zalaani sera ya Nyuklia ya Marekani

    Nimewahi seat....ngoja waje
  3. ganja man

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Vyone chakachaka i'm burning up. Nausaka sana
  4. ganja man

    Sayansi imethibitisha: Mwanamke huwa haridhiki kamwe

    Wenye vichwa makini kama wewe ni wachache
  5. ganja man

    Chuo Gani kinadoa mafunzo ya Udereva wa Mitambo?

    Veta shinyanga sina contact zao ila nina namba mwalim mkuu anaefundisha iyo mitambo hapo chuoni. Pia kila mtambo ni miez miwili yani ni short cz
  6. ganja man

    Chuo Gani kinadoa mafunzo ya Udereva wa Mitambo?

    Chuo kipo shinyanga.kozi zinatolewa kwa muda wa miezi miwili mitambo ifundishwayo ni motor grader.excavtor na front end loader......kuhusu ada 580000 kwa grader,640000 kwa excavator na end loader.. . Kama unaswali uliza
  7. ganja man

    Mwanaume Kuvaa Kanga...

    Aaahhhhaaahaaa unataka uone chura ikiwa kwenye ndembendembe aaaaahhhaaahhhhhaa
  8. ganja man

    Mke mwenye wivu uliopitiliza

    Ebu anza kumchunguza uyo mkeo kimya kimya kuna kitu hapo anakuficha so anatumia njia ya kukuwekea wivu ili wewe usipate shaka juu yake
  9. ganja man

    Polisi FFU Ukonga nimewakosea nini? Nimepigwa mimi,mke wangu na Mama mkwe bila kosa lolote. Nifanyaje kuchukua hatua?

    Pole sana mkuu ila chukua hatua yeyote unayoijua wewe. Kama ingekuwa ni mimi ningelipiza kwa polisi yeyote ambaye napafahamu anapoish ningeteketeza familia yake ama yeye mwenyewe hata kumteka na kwenda kumchinja ingekuwa safiiii tu. Yani inauma sana sana unanipiga mm mke na mkwe aaahh tena bila...
  10. ganja man

    Mwanzo wa binadamu, maswali ni mengi kuliko majibu!

    Noted Sent using Jamii Forums mobile app
  11. ganja man

    Yaliyojiri Ikulu: Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma aapishwa, Rais atoa neno

    JPM kawa kama muimba taalabu. madongo mengiiii JK dongo lako ilo acha kuwashwawashwa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. ganja man

    Hivi inakuwaje mwanamke anafikisha miaka 40 hajaolewa na bado anaishi nyumba ya familia?

    Kikubwa uzima tu kuolewa maamuzi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom