Mwanzo wa binadamu, maswali ni mengi kuliko majibu!

Wote mnaobeza biochemical evolution theory ni wale ambao mlipata bahati mbaya ya kutofundishwa vizuri ktk maada ya EVOLUTION na mwalimu wako aliishia kukuambia binadamu chanzo chake ni nyani au kama ulifundishwa vizuri bhaasi ulokole wako ndio tatizo.

Tuliofundishwa vizuri tulielezwa msingi wa Evoluti ni kwamba viumbe hai hubadilika kutoka form rahisi (simple) kwenda form tata (complex) kwa kadiri unavyo kwenda.

Msingi wa evolution ni kwamba mabadiliko haya hutokea ndani ya miaka mingi eg 10,000yrs ili uweze kunote changes zilizopo sina maana kwamba miaka hiyo ijayo binadam atakuwa kiumbe mwingine ila kimwonekano miaka hiyo ijayo kunaweza kuwafanya wawe na shape tofauti na sisi vile hata uwezo wa ubongo wao utakuwa mkubwa kiasi kwamba vifaa vyote bora vilivyotengezwa leo ungepata kuwepo ungelivicheka sana.

Hapa nimekujibu unaepasua kichwa kujiuliza kwa nini nyani wa leo hawawi binadamu, au kwa nini binadamu wa leo habadiliki tena? Ujue kwamba umri wako wa kuishi duniani hautoshi kugundua mabadiliko ktk wakati uliopo, ili wengine wanotice changes ni mpaka vizazi hivyo vipotee.

Na kingine ni kwamba binadamu huwa na interest inayo sumbua wao hivyo binadamu hatuna interest na history background ya nyani, mbwa, paka etc kuwa na record ya evolution but in general we keep knowing they undergone changes over the course of time.

Si kweli kwamba chanzo cha binadamu ni nyani au sokwe ila tulifundishwa ktk hatua za mabadiliko alipitia hatua ambayo alifanana na sokwe wa leo, kwa maana alitembea kwa miguu minne lakini alikuwa na nywele za mwilini nyingi na mfumo wake wa chakula ulifanana na hao viumbe. Labda uliza wakati huo Sokwe wa leo walikuaje?

Tunachoamini ni kwamba viumbe wote tumetoka ktk cell moja ya kwanza na cell hiyo ndio imeefanya evolution kwa mechanism kama ilivyo fafanuliwa na Charles Darwin.

Labda na maswali haya ungeweza kujiuliza na upande wa special creation theory, nadharia ya MUNGU.

1. Kuna MUNGU wangapi?
2. Ikiwa kama tuaminvyo ni super natural mmoja, kwa nini haikufanyi ufikiri huyo naye ana MUNGU wake mwenye uwezo mkubwa kuliko wake na ndio aliyemuumba huyu tumjuaye?
3. Huyo Adam na Hawa (Eva) walikuwa ni watu gani wazungu, waarabu, wachina au Waafrika? Je hizi haina tofauti za watu zimetokeaje kutoka kwa watu hao wawili?

Upungufu wako utajibu si kwa fikra zako bali kwa maandishi walioandika wenzako katika dini yako.
 
Wote mnaobeza biochemical evolution theory ni wale ambao mlipata bahati mbaya ya kutofundishwa vizuri ktk maada ya EVOLUTION na mwalimu wako aliishia kukuambia binadamu chanzo chake ni nyani au kama ulifundishwa vizuri bhaasi ulokole wako ndio tatizo.

Tuliofundishwa vizuri tulielezwa msingi wa Evoluti ni kwamba viumbe hai hubadilika kutoka form rahisi (simple) kwenda form tata (complex) kwa kadiri unavyo kwenda.
Msingi wa evolution ni kwamba mabadiliko haya hutokea ndani ya miaka mingi eg 10,000yrs ili uweze kunote changes zilizopo sina maana kwamba miaka hiyo ijayo binadam atakuwa kiumbe mwingine ila kimwonekano miaka hiyo ijayo kunaweza kuwafanya wawe na shape tofauti na sisi vile hata uwezo wa ubongo wao utakuwa mkubwa kiasi kwamba vifaa vyote bora vilivyotengezwa leo ungepata kuwepo ungelivicheka sana.
Hapa nimekujibu unaepasua kichwa kujiuliza kwa nini nyani wa leo hawawi binadamu, au kwa nini binadamu wa leo habadiliki tena? Ujue kwamba umri wako wa kuishi duniani hautoshi kugundua mabadiliko ktk wakati uliopo, ili wengine wanotice changes ni mpaka vizazi hivyo vipotee. Na kingine ni kwamba binadamu huwa na interest inayo sumbua wao hivyo binadamu hatuna interest na history background ya nyani, mbwa, paka etc kuwa na record ya evolution but in general we keep knowing they undergone changes over the course of time.

Si kweli kwamba chanzo cha binadamu ni nyani au sokwe ila tulifundishwa ktk hatua za mabadiliko alipitia hatua ambayo alifanana na sokwe wa leo, kwa maana alitembea kwa miguu minne lakini alikuwa na nywele za mwilini nyingi na mfumo wake wa chakula ulifanana na hao viumbe. Labda uliza wakati huo Sokwe wa leo walikuaje? Tunachoamini ni kwamba viumbe wote tumetoka ktk cell moja ya kwanza na cell hiyo ndio imeefanya evolution kwa mechanism kama ilivyo fafanuliwa na Charles Darwin.

Labda na maswali haya ungeweza kujiuliza na upande wa special creation theory, nadharia ya MUNGU.
1. Kuna MUNGU wangapi?
2. Ikiwa kama tuaminvyo ni super natural mmoja, kwa nini haikufanyi ufikiri huyo naye ana MUNGU wake mwenye uwezo mkubwa kuliko wake na ndio aliyemuumba huyu tumjuaye?
3. Huyo Adam na Hawa (Eva) walikuwa ni watu gani wazungu, waarabu, wachina au Waafrika? Je hizi haina tofauti za watu zimetokeaje kutoka kwa watu hao wawili?

Upungufu wako utajibu si kwa fikra zako bali kwa maandishi walioandika wenzako ktk dini yako.
Noted

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mtu hujui chochote kuhusu mungu wala huelew chochote kuhusu mwanadamu wewe na Darwin ni walewale thats why umemeza idea zake japo uez ata kuzidadavua.

Katika hali ya uumbaji hakuna mwenye jibu ila katika hali ya mungu mimi nina jibu maana kwa macho, masikio, na fahamu zangu nimekuwa nikimuexperience mungu katika power flani kubwa nikiwa namuomba yeye power design ya shoti ya umeme ambayo huingia mwilini mwangu na hii hunifanya kuogopa sana kupuuza chochote anachoongelewa mungu katika kitabu chochote na pia hii power hunifanya niamini nadharia yoyote ya mwanadamu kupitia theology basi ni ya kweli maana ina be proved na natural power ambazo ideology hizi inazizungumzia na tunaziexperience the way nlivyokueleza apo so acha emagination na umake proof kutushawish.
 
Ukweli wa jibu sahihi na ujasiri ni hili, kuhusu huyo adamu na eva sijui na kuhusu evolution siamini kwa mana nyani wapo kibao hadi nyani ngabu, ah sorry nyani babu yupo na habadiliki mpaka wakati wa kifo chake. Sasa tuishi kwa wakati wetu wa kufa na kuzaliwa ila na sisi maisha yetu yatakuwa ni history ya miaka ya 3010 karne kadhaa zijazo
 
Ndugu yangu mtambuzi binadamu wa kwanza alitokana na nini ni swala ambalo linamaelezo lukuki kutokana na aina ya elimu mtu aipatayo. Microbiologist akikuelezea mwanzo wa kitu kiitwacho uhai utabaki kinywa wazi lakin mwisho wanatuonyesha kwamba binadamu alitokana na masokwe kwamaana kwamba hata genus yetu ni moja ishu ni kwamba specie tutatofautiana.

Ukitaka kuamini hili basi leo hii kama tukikosa kabisa damu ya group A+ tunaweza kuichukua kwa sokwe mwenye group iyo na mgonjwa akaekewa pasi tatizo lolote lile. hivyo kiuumbaji wa Mungu aliumba vitu kwa makundi yake na katika makundi yale mwadamau alipoambiwa avipemajina alivipa kwa utash ambao Mungu aliuweka kwake. na kiukweli si kwamba dhana ya evolution ni nadharia hii ni kweli ila tu huwa inachukua miaka mingi sana hadi kuja kuonekana. kwamfano tunaweza kuchukua karnre moja kushuhudia mabadiliko ya kitu kimoja. na hii iko influenced na mambo mengi sana dunian achlia mbali uumbaji wa kawaida bali hata mazingira na nafasi ambayo kiumbe husika kinaish.

Mathalan, waweza kumkuta samaki nile perch akiwa na hata kg 30 ndani ya ziwa victoria lkn samaki huyo huyo akashindwa kufikisha uzito na ukubwa huo pale nyumba ya Mungu hata kama kote hakutavuliwa kwa muda fulan let say for 3 months. sababu kubwa hapa ni mazingira na nafasi. wale wa ziwa victoria watakuwa kwa kasi kwasababua ya vyakula na space nzuri ya kuruhusu miili kutanuka wakati hawa wa nyumba ya Mungu watazaliana wengi sana ila kwa maumbo madogo kwasababuaa ya food competition na space ya kujidai.

Hali hii unaweza hata kuikuta kwa binadamu wanaokaa along rift valley wao wanakuwa na lean body na quick strides ukilinganisha na vibushuti wanaotoka sehem za milimani na ndio maana kwa Tz wakimbaji wazuri wa mbio ndefu ni watu kutoka meru, singida kondoa na wale wa sprint ni watu wafupi wenye bold shapes hasa kutoka mbeya.

Vilevile technology advancement imekuwa kikwazo kwa sisi kutoshuhudia mabadiliko ya kimaumbile simply kwasababu mwanadamu anaweza kutengeneza mazingira ayatakayao akwa wakati wake. mfano vyura wa kihansi walipokuwa pale kihansi waliakuwa wanazaa na kunyonyesha pasi tabu yyte ile but walipaokuwa disturbed walitowekana baadae improvisation ikafanyika ahuko US by mimicking maisha ya hao vyura pale kihansi ili vyura wapelekwe waendelee kuzaliana but hili halikufaanaikiwa kama tulivyo tarajia na baadhi yao awalirudishwa tz. sasa kwa namna hii definately hatutaweza kusoma mabadikliko yyte kwani ytayari ile nature ya kiumbe imesha kauwa disturbed kwa kiwango ambacho hakuna awezaye kukipima especially when it comes to genetics.

Think of today scientist are talking of nanotechnology, na ndani yake kuna fields kama nanomedicine, nanoarchtech, nano engineering and so forth ambapo sasa badala ya kutumia vitu vikubwa kutatua tatizo tunataka kutumia vitu vidogo almost at nano scale ili kutatua tatizo sasa haya yanaweza yakatuletea madhara kwa namna moja ambayo yatatufanya tusiosbserve mabadiliko kabisa. hebu fikiria sasa hivi wanasayansi wanalenga kumfanya mtu badala ya kutibiwa letsay na 250 or 500 mg za dawa akatumia just nano scale of it ili kutibu ugonjwa unaomsibu sasa je wategemea kwa stail hi uone mabadilikoa aliyoyalenga darwin ama mabadiliko yatokaanayo na technolojia?
You are gud man.
 
Theory hazijitoshelezi. Lazima kuna nguvu iliyo na ufahamu nyuma ya uwepo wa maisha na ulimwengu. Vitu vipo systematic sana kusema vilitokea tu. Yaani mtu wa zamani huko anasema sokwe alibadilika akawa binadam na sisi tunaendelea kukariri. Haya sokwe alibadilika, na kitimoto je? Chenyewe kilikuwa nani hadi kikawa kina mafuta vile?
 
Nijuavyo mimi miaka ya karne 1 hadi hii ya 21 inahesabiwa kwa kalenda ya kawaida lakian pia hii imedesewa kutoka kwenye zile za BC ambazo zilikuwa hazina utofauti na hizi za kaileo ila tu miez ilihesabaiwa kiebrania na sio kilatin kama leo. ila hapa nasubiri kusahihishwa.

Fact kwangu kama Christo alkufa na miaka 32 na alionekana kijana mtu mzima kiasi kile basi ni wazi kwamba alikuwa mtoto sana ukimlinganisha na baba yake Yohana aliyekuwa na miaka 140.
"Alionekana kijana mtu mzima kiasi kile..."wapi ulimuona ... Yani unaongea kama ulimuona?
 
Back
Top Bottom