Father Michongo
Member
- Jul 27, 2013
- 41
- 40
Wote mnaobeza biochemical evolution theory ni wale ambao mlipata bahati mbaya ya kutofundishwa vizuri ktk maada ya EVOLUTION na mwalimu wako aliishia kukuambia binadamu chanzo chake ni nyani au kama ulifundishwa vizuri bhaasi ulokole wako ndio tatizo.
Tuliofundishwa vizuri tulielezwa msingi wa Evoluti ni kwamba viumbe hai hubadilika kutoka form rahisi (simple) kwenda form tata (complex) kwa kadiri unavyo kwenda.
Msingi wa evolution ni kwamba mabadiliko haya hutokea ndani ya miaka mingi eg 10,000yrs ili uweze kunote changes zilizopo sina maana kwamba miaka hiyo ijayo binadam atakuwa kiumbe mwingine ila kimwonekano miaka hiyo ijayo kunaweza kuwafanya wawe na shape tofauti na sisi vile hata uwezo wa ubongo wao utakuwa mkubwa kiasi kwamba vifaa vyote bora vilivyotengezwa leo ungepata kuwepo ungelivicheka sana.
Hapa nimekujibu unaepasua kichwa kujiuliza kwa nini nyani wa leo hawawi binadamu, au kwa nini binadamu wa leo habadiliki tena? Ujue kwamba umri wako wa kuishi duniani hautoshi kugundua mabadiliko ktk wakati uliopo, ili wengine wanotice changes ni mpaka vizazi hivyo vipotee.
Na kingine ni kwamba binadamu huwa na interest inayo sumbua wao hivyo binadamu hatuna interest na history background ya nyani, mbwa, paka etc kuwa na record ya evolution but in general we keep knowing they undergone changes over the course of time.
Si kweli kwamba chanzo cha binadamu ni nyani au sokwe ila tulifundishwa ktk hatua za mabadiliko alipitia hatua ambayo alifanana na sokwe wa leo, kwa maana alitembea kwa miguu minne lakini alikuwa na nywele za mwilini nyingi na mfumo wake wa chakula ulifanana na hao viumbe. Labda uliza wakati huo Sokwe wa leo walikuaje?
Tunachoamini ni kwamba viumbe wote tumetoka ktk cell moja ya kwanza na cell hiyo ndio imeefanya evolution kwa mechanism kama ilivyo fafanuliwa na Charles Darwin.
Labda na maswali haya ungeweza kujiuliza na upande wa special creation theory, nadharia ya MUNGU.
1. Kuna MUNGU wangapi?
2. Ikiwa kama tuaminvyo ni super natural mmoja, kwa nini haikufanyi ufikiri huyo naye ana MUNGU wake mwenye uwezo mkubwa kuliko wake na ndio aliyemuumba huyu tumjuaye?
3. Huyo Adam na Hawa (Eva) walikuwa ni watu gani wazungu, waarabu, wachina au Waafrika? Je hizi haina tofauti za watu zimetokeaje kutoka kwa watu hao wawili?
Upungufu wako utajibu si kwa fikra zako bali kwa maandishi walioandika wenzako katika dini yako.
Tuliofundishwa vizuri tulielezwa msingi wa Evoluti ni kwamba viumbe hai hubadilika kutoka form rahisi (simple) kwenda form tata (complex) kwa kadiri unavyo kwenda.
Msingi wa evolution ni kwamba mabadiliko haya hutokea ndani ya miaka mingi eg 10,000yrs ili uweze kunote changes zilizopo sina maana kwamba miaka hiyo ijayo binadam atakuwa kiumbe mwingine ila kimwonekano miaka hiyo ijayo kunaweza kuwafanya wawe na shape tofauti na sisi vile hata uwezo wa ubongo wao utakuwa mkubwa kiasi kwamba vifaa vyote bora vilivyotengezwa leo ungepata kuwepo ungelivicheka sana.
Hapa nimekujibu unaepasua kichwa kujiuliza kwa nini nyani wa leo hawawi binadamu, au kwa nini binadamu wa leo habadiliki tena? Ujue kwamba umri wako wa kuishi duniani hautoshi kugundua mabadiliko ktk wakati uliopo, ili wengine wanotice changes ni mpaka vizazi hivyo vipotee.
Na kingine ni kwamba binadamu huwa na interest inayo sumbua wao hivyo binadamu hatuna interest na history background ya nyani, mbwa, paka etc kuwa na record ya evolution but in general we keep knowing they undergone changes over the course of time.
Si kweli kwamba chanzo cha binadamu ni nyani au sokwe ila tulifundishwa ktk hatua za mabadiliko alipitia hatua ambayo alifanana na sokwe wa leo, kwa maana alitembea kwa miguu minne lakini alikuwa na nywele za mwilini nyingi na mfumo wake wa chakula ulifanana na hao viumbe. Labda uliza wakati huo Sokwe wa leo walikuaje?
Tunachoamini ni kwamba viumbe wote tumetoka ktk cell moja ya kwanza na cell hiyo ndio imeefanya evolution kwa mechanism kama ilivyo fafanuliwa na Charles Darwin.
Labda na maswali haya ungeweza kujiuliza na upande wa special creation theory, nadharia ya MUNGU.
1. Kuna MUNGU wangapi?
2. Ikiwa kama tuaminvyo ni super natural mmoja, kwa nini haikufanyi ufikiri huyo naye ana MUNGU wake mwenye uwezo mkubwa kuliko wake na ndio aliyemuumba huyu tumjuaye?
3. Huyo Adam na Hawa (Eva) walikuwa ni watu gani wazungu, waarabu, wachina au Waafrika? Je hizi haina tofauti za watu zimetokeaje kutoka kwa watu hao wawili?
Upungufu wako utajibu si kwa fikra zako bali kwa maandishi walioandika wenzako katika dini yako.