afungue kesi mahakamanni na tena aombe injuction order ya haraka iwezekanavyo ili mahakama iingilie kati hilo swala na wamuamuru baba yako kuacha anayoyafanya mpka mahakama itakapofikia uamuzi..
naona kama most of you hamjamuelewwa mtoa mada...hoja yake ni kuhusu haya mauaji ya raia yanayofanywa na polisi lakini hawachukuliwi hatua yoyote,ndo akauliza wadau mnaonaje ukilinganisha na hyo incident ya s. africa????( correct me if am wrong though )
no one is above the law, yes, lakini...
laana kwa kitu ambacho hakijakusudiwa?????hamnaga ktu kama hiko...binti hana kosa, sanasana amrekebishe huyo bi mkubwa jirani asijetenganisha familia yao bureee...
mweeeeeeeeeee......mtoa mada ushantisha sasa...daaah...binadamu wa sikuhzi sijui wanaelekea wapi...hawakukuibia kitu kweli?ukute ndo njia yao mpya ya kuiba........???pole sana aiseee...
nilikuwa najaribu kupitia list ya vyuo vilivyoorodheshwa na TCU baada ya kusoma status yako...hiko chuo hakipo....labda ndo wanataka kukiestablish...heheee....though ni vizuri kama bongo itakua na vyuo vingi vya kutosha, ila viwe vmesajiliwa na kutoa elimu nzuri..
hmmm....mnaweza msiamin ila hadi chuo kikuu,maprofessor wanalalamika wanafunzi hawawezi kujieleza.....hyo barua kweli ni kielelezo tosha.....elimu ya tanzaniz inahitaji major reforms.....ila sijui zitakujaje kama waziri wa elimu mwenywe anasema Tanzania ilikuwa ni mjumuisho wa Tanganyika na...
acha mazoea nae, kuwa busy na mambo yako, usimpe nafasi kwa kuongea nae usiku au kumjibu txs zake...ignore that chick if you have true intentions with your wife....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.