Wadau leo nimekatiza maeneo ya Kimara,safar yangu ikiwa kuelekea KIMARA BONYOKWA,ila kuna ya kuingilia barabara ya kwenda bonyokwa upande wa kushoto nimeona jengo la ghorofa 3 au 4,ni leupe limeandikwa kwa maandish makubwa ya rangi ya blue'TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY,then kuna admission block,kwa bahat mbaya sikumuona mtu wa kumuuliza,
ila nataka kujua wenzangu kwenye list ya TCU hiki chuo kipo????
ila nataka kujua wenzangu kwenye list ya TCU hiki chuo kipo????