Kwa wadada wa chuo natoa dozi

Kwa wadada wa chuo natoa dozi

Jembe wape hata cc huku wanatuletea majanga hata darasan mana hawako serious lakn wanataka makc,wape zao papaaa!
 
Sijapigwa down wala chini ni tabia yao


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mwali mpendwa, haya soma hapo nadhani utaelewa kwa nini niliandika kuwa huyu jamaa afunda mabinti...
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha! nimecheka hadi basi manake mtu ukiwa unadaiwa bana hata kama mtu anakupigia kukusalimu utaanza kujishauri kupokea simu as utadhan anakumbushia deni lake lol!
sas aunaona nilivyo changanya madawa hapa?? lugha gongana kama babeli leta cement unapeleka sepeto mweeeh!
haya ngoja kwanza nitaanza kuziforwad ili ufurah sawa rafiki??
now you are talking rafiki.......
na mimi nilijua hivyo, ila umesamehewa maana najua kwa sasa lazima michanganyo iwepo, ila kool down, you will make it
 
Aaah kweli amesema kuedit sasa nimemuelewa lol . Kumbe imemsaidia kidogo kuonekana wa sasa ok. Haya mabo ya kusoma huku unaangua kicheko we acha tu. Hapa bado nacheka jinsi HorsePower anavyonyambua jasho la uhuru wakati mtu anapiga kwata kwenye ardhi iliyojaa vumbi.
ha haaa, hivi hapa nilimsahauje Nyamayao naye aje ajifurahie na misemo huku!
 
Last edited by a moderator:
Hata hivyo hakuna mapenz ya kubembeleza bhana labda kwa wazee mana wao wana nira zao,mi kjana mda wwte napata kaz mpya krain? Jembe toa cr zte makahaba hao,nchi imeuzwa ndo na wewe unajiuza? Extrovert! Reactivate! Dadaa et!
 
Mwali mpendwa, haya soma hapo nadhani utaelewa kwa nini niliandika kuwa huyu jamaa afunda mabinti...
Anasema tu huyo, but ukimsoma he not impartial. so full of ressentiment kwa watu wazima!
kama sio from personal experience kwanini suala la miaka ya wanaume kalivalia njuga?
 
now you are talking rafiki.......
na mimi nilijua hivyo, ila umesamehewa maana najua kwa sasa lazima michanganyo iwepo, ila kool down, you will make it
my friend thanks a lot.
barikiwa sana mumy.
 
Kwani lazima uchukue wadada wa vyuo??? Wadada wa vyuo wanataka ada, wadada wa vyuo wanataka out of pocket allowances, wadada wa vyuo wanataka pesa ya kulipia hostels/pango la nyumba, wadada wa vyuo wanataka kununua vifaa vya ndani, wanataka kuvaa kileo, simu, laptop na kadhalika na kadhalika, you name them... Sasa wewe unataka kuwauzia sura ndugu yangu? Sura yaliwa eeh??? Usisikitike sana, vuta subira na wewe siku moja utakuwa mzee utaanza kula wadada wa vyuo... imekaaje hiyo???
 
Naona umri ushakuwa crime kwenye mapenzi ya sasa.
Hivi manual inasemaje kwenye umri? tofauti iweje?

The older the wine, the better the taste.
 

Kweli tangu asubuhi nilikuwa sijacheka nimecheka mpaka basi kha?? Jasho la mwaka 1961 ha ha ha wajameni mweee huyu jamaa ana maneno sana aisee
 
hhahhaahahaa.....great words..bet wamelipata wahusika
Bora umekuja kunisaidia mkuu-maana nimekabwa hapa na wakulu hapa,sipumui others they take for grant


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Anasema tu huyo, but ukimsoma he not impartial. so full of ressentiment kwa watu wazima!
kama sio from personal experience kwanini suala la miaka ya wanaume kalivalia njuga?

Mkuu kwani wewe huonagi hili mra kibao wasichana wadogo wanatoka na vibabu vyao hivi hii haki?Ndo mana matahira hawaishi!!its unfair na kwa kawaida msichana anakuwa kafuata fedha tena mwanaume(kizee) ukikaa vibaya anakudedisha arithi mali

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hahahaaaa..pole kwa yalokucbu.
Mwenzo nshaajiamulia kuwapgia hao hao wenye chachang' thn 2nazgawana.
Ila ucsahau kinga.
 
uwii mbavu zangu jamani
''jasho analotoa lina harufu ya sikukuu ya uhuru ya mwaka 1961''
eti wamwekee Microsoft Excell usoni.
Jamani we mwekundu mwanaume hasifiwi sura mwanaume anasifiwa kudeposit hela bank.


mmmmh na mwanamke anasifiwa kufanya nin? mbona mtatuua mapema hvyo
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom