Kwenu wanaume wenzangu wooote!!

Kwenu wanaume wenzangu wooote!!

THENKIU SOO MACHI MDAU!!!!!!!!!!!!!!

Ladies this calls for some serious ATTENTION and RELAUNCHING!!!!!!!!!!!!!! Its time you re-invest yourself.

WANAWAKE WENZANGU

1.Never ever trust a man! Mtu unaambiwa baba ndo Mungu wako 2 wa duniani, afu mungu huyo muwakilishi wa duniani unaemuona kakukataa, wengine wapo kiushahidi tu. wengine ndo vile maza kinganganizi lasivo ....... are you still believing????? Dont even try to relate Our mighty father in heaven with these excuse of fathers of this world! Trust me if you think critically the church wont see ya sorry a.ss for a longtime.

2.Usizae kumtegemea mtu! Utapaukaje sasa? Afu its very selfish of you kumleta mtu duniani afu hujui utamuwezeshaje aishi comfortably? I dont know abt u guys but for me it being over selfish.

3.Pray harder mpate watu mliopangiwa na Mola! I have stopped believing in Husband sent from the above for u since ages ago! And i seriously dont believ an excuse of a husband/man can ever change! A leopard can change its sport but certainly not spots!!!!!!!!!!!! Not to mention mtoto wa nyoka ni ...........!!!!!!!!!! (You dont have to agree with me they say IF U BELIEVE ANYTHING CAN HAPPEN!)
Upele umekabidhiwa kwa mkunaji! Asante dada lara 1!
 
mtoto akikua na amekwenda shule vizuri kazi anayo eeehh kidume kinajitokeza na mbwembee kibao
 
mtoto akikua na amekwenda shule vizuri kazi anayo eeehh kidume kinajitokeza na mbwembee kibao

tena ndo wanakuja na ukoo wao, vikao vingi vya usuluishi, sijui shetani alimpitia!we men are not serious for sure
 
mimba aruke futi 100,mtoto amuone mtamu!!!!!

wanaume dizaini hizo wanaboa mbaya

Kinachoshangaza ni kuwa wamama wengi huwa wanawashauri watoto wao wa kiume kutokukubali mimba kirahisi, especially kama hamuishi pamoja na mdada aliyebeba mimba, na
hamjatambulishana rasmi kwa wazazi.
Hapa inabidi tuwaulize nyie wadada/wamama mtueleze mna siri gani?
 
Kinachoshangaza ni kuwa wamama wengi huwa wanawashauri watoto wao wa kiume kutokukubali mimba kirahisi, especially kama hamuishi pamoja na mdada aliyebeba mimba, na
hamjatambulishana rasmi kwa wazazi.
Hapa inabidi tuwaulize nyie wadada/wamama mtueleze mna siri gani?

another new experience
kumbe mama zenu ndo huwa wanawashauri mkatae mimba!!!!
 
another new experience
kumbe mama zenu ndo huwa wanawashauri mkatae mimba!!!!

Wamama wengi wapo hivyo(unless wawe wameshamkubali au wameshamtambua na kumuamini mwanamke kabla), mara nyingi husema subiri mtoto azaliwe tukamtazame kwanza.
Kuna mshkaji mmoja alimbishia mama yake, akakubali mimba,mtoto alivyozaliwa mama yake akaenda kumtazama mtoto akamwambia mshkaji mtoto yule sio wako, jamaa akawa mbishi. Siku moja jamaa kaenda kumchukua mtoto(baada ya mwaka mmoja) kaenda nae home kwao, mama yake akaanza kugomba, nimekwambia mtoto sio wako bado tu hunisikilizi. Mama akamchukua mshkaji na mtoto akawapeleka kucheki dna kama zina match. Baada ya siku chache majibu kuja yanaonyesha mshkaji uwezekano wa yeye kuwa biological father wa yule mtoto ni finyu mno, hivyo mtoto sio wake.
Mshkaji anampigia demu kumwambia matokeo ya dna test, demu anaanza kumgombeza mshkaji, si nilikukataza mambo ya dna kwa nini umeenda kucheki, ina maana huniamini, mwanaume gani hajiamini, inatakiwa ujiamini, kwanza mlete huyo mtoto na unieleze ni kwa nini umeenda kucheck dna.
 
hiyo ni kweli kbs kuna wanaume washenzi sana dunia hii, afadhali umewapa zao za ukweli jmn badilikeni bs
 
Wamama wengi wapo hivyo(unless wawe wameshamkubali au wameshamtambua na kumuamini mwanamke kabla), mara nyingi husema subiri mtoto azaliwe tukamtazame kwanza.
Kuna mshkaji mmoja alimbishia mama yake, akakubali mimba,mtoto alivyozaliwa mama yake akaenda kumtazama mtoto akamwambia mshkaji mtoto yule sio wako, jamaa akawa mbishi. Siku moja jamaa kaenda kumchukua mtoto(baada ya mwaka mmoja) kaenda nae home kwao, mama yake akaanza kugomba, nimekwambia mtoto sio wako bado tu hunisikilizi. Mama akamchukua mshkaji na mtoto akawapeleka kucheki dna kama zina match. Baada ya siku chache majibu kuja yanaonyesha mshkaji uwezekano wa yeye kuwa biological father wa yule mtoto ni finyu mno, hivyo mtoto sio wake.
Mshkaji anampigia demu kumwambia matokeo ya dna test, demu anaanza kumgombeza mshkaji, si nilikukataza mambo ya dna kwa nini umeenda kucheki, ina maana huniamini, mwanaume gani hajiamini, inatakiwa ujiamini, kwanza mlete huyo mtoto na unieleze ni kwa nini umeenda kucheck dna.
hii inafanyika hapa Tanzania???
 
wanaume wachache sana siku hizi, wengi ni wa kiume tu. Wanaogopaje maisha? mwanaume haswa mwanaume anatake all the necessary precaution asimpe mimba mwanamke ambaye hana mpango naye, akifanya hilo kosa kama kweli ni mwanaume lazima atake responsibility kwa kutokutumia akili vizuri siyo anakataa.

Utasikia aaah!yule mwanamke siyo wa kuoa kabisaaaaa!KHAAAAA!Sasa ulisex naye vipi tena bila precautions??huyohuyo ndo wako!!!
 
Principal yangu ya msingi kabisa kabla sijatoka kwenda kupata castle laits zangu ni kuhakikisha kwamba so far madogo hawana tatilo lolote lililondani ya uwezo wangu kulitatua,of course wa kwanza ni wife sababu hata mshiko wa kunywea lazima autoe yeye.kwa hiyo katika swala la kusimamia familia yangu kwa kweli niko safi.
 
wanaume wachache sana siku hizi, wengi ni wa kiume tu. Wanaogopaje maisha? mwanaume haswa mwanaume anatake all the necessary precaution asimpe mimba mwanamke ambaye hana mpango naye, akifanya hilo kosa kama kweli ni mwanaume lazima atake responsibility kwa kutokutumia akili vizuri siyo anakataa.

Utasikia aaah!yule mwanamke siyo wa kuoa kabisaaaaa!KHAAAAA!Sasa ulisex naye vipi tena bila precautions??huyohuyo ndo wako!!!

Seconded
 
wanaume wachache sana siku hizi, wengi ni wa kiume tu. Wanaogopaje maisha? mwanaume haswa mwanaume anatake all the necessary precaution asimpe mimba mwanamke ambaye hana mpango naye, akifanya hilo kosa kama kweli ni mwanaume lazima atake responsibility kwa kutokutumia akili vizuri siyo anakataa.

Utasikia aaah!yule mwanamke siyo wa kuoa kabisaaaaa!KHAAAAA!Sasa ulisex naye vipi tena bila precautions??huyohuyo ndo wako!!!
hili nalo swali zuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom