mbona ana mambo ya chekechea?Ana miaka 24!
Siku ya tukio,baba aliaga asubuhi kuwa anakwenda kazini,baba ni mfanya biashara wa simu za viganjani
"
Ilipofika muda wa mchana mama yake na binti akamuagiza aende kwa rafikie mama yake ili akamwambie awahi kwani walikua na miadi ya kwenda msibani.
"
Mama wa binti huyu hakutaka kumpigia rafiki yake simu kuhofia kuambiwa yuko njiani wakati mtu hajaoga.
"
Pia nyumbani kwa rafiki yake hapakua mbali,hivyo hakuona vibaya kumtuma binti yake
"
Binti alipofika nyumbani kwa rafiki yake mama yake akaona apitie nyuma ya nyumba ili azungumze na mwenyeji kupitia dirishani kisha arudi fasta.
"
Binti alipofik alikwenda moja kwa moja dirishani,alipotupa macho ndani kabla hajazungumza kitu,alimuona baba yake akiwa mtupu kabisa akiwa kitandani na rafiki wa mama yake.
"
Walioko ndani hawakumuona,ilibidi arudi haraka alikotoka.
"
Alipofika akamwambia mama yake kuwa hajamkuta rafiki yake.
"
Sasa binti anajiuliza kama amwambie mama yake,lakini pia anajiuliza kama atapata laana kuuona utupu wa baba yake "aksidentale"!
"
Nimemwambia atulie asiseme chochote kwani kusema kuna maana ya kuwatenganisha wazazi wake.
"
Kuhusu laana nimemwambia asihofu kwani hakukusudia kuuona utupu wa babae,hivyo hakuna laana.
"
Wewe una mawazo gani hapa?[/QUOTE
HII THREAD NI YA UWONGO!!!!!! HIVI HILO DIRISHA LILIKUWA WAZI AMA LIMEFUNGWA? ALIONA UTUPU WA BABA YAKE KWA MAANA YA KUONA SEHEMEU ZA SIRI AMA KUONA KIFUA WAZI? DA! NIMESHACHOKA KABISA MAANA THREAD HII IMETUNGWA ILI KU- SUIT REQUIREMENTS ZA MWANDISHI......
Ana miaka 24!
hakuna cha laana wala nini, tena mie ningemvaa mdingi na kumchimba biti......namweleze nikimuona tena tu namwambia maza, then nampa warning na small hausi....meanwhile namwambia maza kuwa makini na shosti wako sio mtu mzuri tena maneno hayo nitamwambia maza mbele ya mdingi.
hahaha, aminia. Mbona utaanza kumblackmail mdingi. Ukisema kitu tu anajump. Aisee, watu wabaya. Nilivyo na wivu na babangu, ntakufa!
Binti ni wa umri gani?