Binti anapouona utupu wa baba yake . . . . !!

Awaite wazazi wake pamoja na rafiki wa mama yake na AFUNGUKE LIVe mana akikaa kimya kama ni UKIMWI wataupata wazazie na yeye ndo atabaki YATIMA
 
Awaite wazazi wake pamoja na rafiki wa mama yake na AFUNGUKE LIVe mana akikaa kimya kama ni UKIMWI wataupata wazazie na yeye ndo atabaki YATIMA

Kama wana miaka miwili wakiwa kwenye uhusano?
 
oooh my GOD,huyo mdingi ingekuwa ni mm ningempa vidonge vyake asije akaniuliwa mama yangu huyo mamdogo ningemtafutia wanawake wenye adabu zao wakamfunde afundike,mama nisengemwambia ila ningemwambia achunge mashonga zake sio wazuri kwake ni hayo tu.
 
Siku ya tukio,baba aliaga asubuhi kuwa anakwenda kazini,baba ni mfanya biashara wa simu za viganjani
"
Ilipofika muda wa mchana mama yake na binti akamuagiza aende kwa rafikie mama yake ili akamwambie awahi kwani walikua na miadi ya kwenda msibani.
"
Mama wa binti huyu hakutaka kumpigia rafiki yake simu kuhofia kuambiwa yuko njiani wakati mtu hajaoga.
"
Pia nyumbani kwa rafiki yake hapakua mbali,hivyo hakuona vibaya kumtuma binti yake
"
Binti alipofika nyumbani kwa rafiki yake mama yake akaona apitie nyuma ya nyumba ili azungumze na mwenyeji kupitia dirishani kisha arudi fasta.
"
Binti alipofik alikwenda moja kwa moja dirishani,alipotupa macho ndani kabla hajazungumza kitu,alimuona baba yake akiwa mtupu kabisa akiwa kitandani na rafiki wa mama yake.
"
Walioko ndani hawakumuona,ilibidi arudi haraka alikotoka.
"
Alipofika akamwambia mama yake kuwa hajamkuta rafiki yake.
"
Sasa binti anajiuliza kama amwambie mama yake,lakini pia anajiuliza kama atapata laana kuuona utupu wa baba yake "aksidentale"!
"
Nimemwambia atulie asiseme chochote kwani kusema kuna maana ya kuwatenganisha wazazi wake.
"
Kuhusu laana nimemwambia asihofu kwani hakukusudia kuuona utupu wa babae,hivyo hakuna laana.
"
Wewe una mawazo gani hapa?[/QUOTE

HII THREAD NI YA UWONGO!!!!!! HIVI HILO DIRISHA LILIKUWA WAZI AMA LIMEFUNGWA? ALIONA UTUPU WA BABA YAKE KWA MAANA YA KUONA SEHEMEU ZA SIRI AMA KUONA KIFUA WAZI? DA! NIMESHACHOKA KABISA MAANA THREAD HII IMETUNGWA ILI KU- SUIT REQUIREMENTS ZA MWANDISHI......
 
Hamna laana yeyote kuona uchi unaoonwa na watu kibao. Huyo baba ni mtupu wa nafsi hata akiwa nyumbani na ndio maana ana uthubutu wa kumlala rafiki wa mkewe
 
:becky:Hahahaa kaona dubwana teh teh teh mchapio huo:becky:

This is too "MANY" and not too "MUCH"
 
laana kwa kitu ambacho hakijakusudiwa?????hamnaga ktu kama hiko...binti hana kosa, sanasana amrekebishe huyo bi mkubwa jirani asijetenganisha familia yao bureee...
 
hakuna laana maana hakudhamilia pili baba yake naye hana heshima, haheshimu ndoa yake
 
Hawezi pata laana hapo! Labda kama ni laana zinazo tengenezwa na binadamu, kwani kitendo alicho kifanya baba yake akikubali hata kwa mwenyezi Mungu!

Na hili swala inabidi aliache kama lilivyo wala asimwambie mama yake maana anaweza kusambaratisha ndoa hiyo!
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Yekeduuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu gwaiwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mama Ikeneke chinekeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Yaani ndoa ni balaa, mashostito ni hatari!!! Aibu gani hii??? Tunaaga tunaenda kazini au kusafiri kumbe uko mtaa wa pili unagegeda!!! Yasije kukupata ya yule Askari Roda amehukumiwa kunyongwa kufa aliaga anasafiri kikazi Moro kumbe anakula bata na askri mwenzie ambaye ni mdogo kwake kwa 5 years!!! Juzi katika hukumu she was 42 while jamaa 37!!! Mke wa jamaa na mume wa Roda wafanye kweli kabisa, waungane kuutulizana maumivu. Kudadeki!!
 
BT pengine ungefanya hivi kwa nia nzuri lakini ungeweza kuibua mengi sana! Maana ukimwabia maza ndio litakuwa tatizo zaidi, na ikumbukwe chamtu ni chamtu!

Labda kama huo mkwara ungemchimba mdingi na rafiki yake maza inaweza saidia kidogo.

Na hapo mdingi lazima awe rafiki yako sana hadi maza ata shangaa!
hakuna cha laana wala nini, tena mie ningemvaa mdingi na kumchimba biti......namweleze nikimuona tena tu namwambia maza, then nampa warning na small hausi....meanwhile namwambia maza kuwa makini na shosti wako sio mtu mzuri tena maneno hayo nitamwambia maza mbele ya mdingi.
 
Ila mdingi atakuwa hana Amani kabisa akiona unaongea na Maza lazima roho iende mbio

hahaha, aminia. Mbona utaanza kumblackmail mdingi. Ukisema kitu tu anajump. Aisee, watu wabaya. Nilivyo na wivu na babangu, ntakufa!
 
Wakwanza kumwönya ni rafiki wa mama ambaye ndio hawala wa baba, nitamwambia ukweli kuwa siku fulani nilikuona na baba nyumbani kwako tena mkiwa mazingira tatanishi. Baada ya hapo lazima huyo mwanamke ataenda kumsimulia baba kwamba niliwai kuwafumania..baba akijifanya kuniuliza tu kosa nitampa mkanda mzima na kumuonya kuwa akiendelea na fisadi wa mapenzi nitamwambia mama.!
 
Back
Top Bottom