wanaume tufanye nini au jitihada gani kuwarudisha kundini awa jamaaaa?

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
379669_164823_185576604794024_100000250584842_593090_3599727_n_jpg2de90c4131f23b1ba74de38de7a2f.jpeg 336449_25122_109059249109522_100000163431504_235973_4889394_n_jpg52be6ae689569813bbadb9b10d2f52.jpeg 808520_basketmouth_jpg55323161ab4e5f278709da0c9a0d5c3e.jpeg

mimi binafsi sipend sana tabia ya ushoga
 
kwakweli hao wanahitaji maombi na kushauriwa kisakolojia, wengine ni makundi tu yanawaharibu, ni wachache ambao hormones zao znawafanya wawe hvyo...
 
Wanahitaji maombi hawa, imagine huyo ni ndugu yako wa karibu..........waweza kata undugu, mtoto unamwachia radhi
 
Wanatia kichefu chefu ptuuuuuuuuuuuuuuuu!!
Ukauzu gani kuingiza dic.k humo eh
 
dah....ndo basi tena hao,halafu mbona wabaya wabaya?wanaume hawapendezi kabisa wanapojifanya kujipamba kama wanawake
 
mmmh uwiiii ama kweli dunia sasa imevaa chupi ikianza kutembea uchu tutajionea wenyewe
 
Ee Mola kwa kuwa uliahidi hutatuangamiza tena kwa moto hasa kwa dhambi hizi zinazokuchukiza kila kuchapo, turehemu kwani tupo wachache tunaokulilia kuomba msamaha wako...AMINA
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom