Are you serious,...Wewe huwezi kuwa CHADEMA na kama mtazamo wako ndio huo sasa hivi wanachama wenzako watakufukuza,,,Haiwezekani mbowe na slaa wamuone anafaa halafu wewe unajifanya hafai,...HII sio tabia ya CHADEMA,Chadema tunataka nchi tuu,ndio shida yetu,tutaipataje hii haituhusu,,,tena kwa...