Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,530
- 43,919
He who desires all, misses allkamwe mshitaki hawezi kuwa mshitakiwa naturally (plaintiff as defendant ), hiyo haitakuwa kesi
He who desires all, misses allkamwe mshitaki hawezi kuwa mshitakiwa naturally (plaintiff as defendant ), hiyo haitakuwa kesi
Sawa kabisa. Kwenye jukwaa la siasa unasema hawa mafisadi wanastahili wawe jela. Jukwaa la mahakamani Kisutu unasema hawa wanastahili kuachiwa. Total contradiction!! It is legally right but absolutely morally wrong. Na kwa mwana siasa, hii ni serious issue yenye gharama kisiasa.ni simple logic too! unahubiri la kupinga ufisadi kesho unaenda kisutu kuwatetea mafisadi!
Bado sio wewe. Sana sana victim ndio mlalamikaji kama sio shahidi kwa upande wa serikali.mkuu ...... nevertheless ... "<font color="#ff0000">mlalamikaji</font>" previously quoted as plaintiff
Bado sio wewe. Sana sana victim ndio mlalamikaji kama sio shahidi kwa upande wa serikali.
<br /><br />mkuu ... nashukuru kwa kunisaidia kujijibu swali .... mtoto akidhurika kwa namna yeyote ile na baba au mzazi ni victim indirect and at any aggravating circumstances, physical and psychological damages are expected to both
Same with me🙂appreciate your irrelevance<br />
<br />
bye
Same with me🙂
Full Crackpotmkuu ... nashukuru kwa kunisaidia kujijibu swali .... mtoto akidhurika kwa namna yeyote ile na baba au mzazi ni victim indirect and at any aggravating circumstances, physical and psychological damages are expected to both
Full Crackpot
Kwa nini niumize kichwa bana ha ha ha. Ni kama vile utotoni, mtu anakutukana wewe unamwambie mwenyewe, basi.ha haa haaa ...asante kwa kudessa
Kwa nini niumize kichwa bana ha ha ha. Ni kama vile utotoni, mtu anakutukana wewe unamwambie mwenyewe, basi.
Bandugu msaada jamani Kremu ni nini? Nimejaribu kufungua Dictionary yangu ambayo nimekaanayo sijakutanana na hii Word (Kremu)vilaza bana .... limekaa na dictionary lina( kremu) .. teh teh teh .... utabakia ngumbaru mpaka mwisho wako
Bandugu msaada jamani Kremu ni nini? Nimejaribu kufungua Dictionary yangu ambayo nimekaanayo sijakutanana na hii Word (Kremu)
...Profesa Sarungi mtaalamu wa upasuaji alikuwa mkuu wa mkoa wa Pwani, Mbunge mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya CCM na kada muhimu. Kuna nyakati alilazimika kutumia taaluma yake katika hospitali ya tumbi pale kulipotokea matukio kama ya ajali, au kuhudumia majeruhi wanaotokana na uhalifu kama ujambazi, wizi, fumanizi n.k.
Sarungi hakufanya kazi kama kada wa chama bali mtaalamu anayelinda kiapo chake cha udaktari cha kuhudumia binadamu bila kuangalia jambo lolote bali uninadamu na utabibu kwa kutenda haki.
Court of public opinion ilimhukumu kama mtu, daktari na kiongozi anayejali na kuenzi taaluma yake kwa kuthamini utu.
.....Profesa kwa wakati ule si mkuu wa mkoa au kada wa chama bali daktari aliyekula kiapo kutoa huduma ya haki kwa binadamu.
Wana JF
Kwanza na-declare interest mm ni mfuasi na mwanachama wa CHADEMA, Hili swala la Marando kuwa wakili wa baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi km vile manji na mahalu litakuja kuwa na madhara makubwa sana hapo badae ktk harakati za chama za kuchua dola natambua kabisa ile ni professional yake na ni vigumu aache kazi aliyoisomea kwa muda mrefu, lakini kabla ya kuchua kazi lazima mtu ufanya client assessment.
Kwa kuwa ameamua kuwa ktk siasa na kufanikiwa kuwa mjumbe wa cc ya cdm ni wakati wake muafaka wa kuhakikisha kimoja kati ya professional yake na siasa hakuna kinacholeta madhara kwa kingine. Kwa hiyo moja ya criteria ya kutumika kwake kum-accept client iwe ni asiwe mtuhumiwa wa ufisadi. Nionavyo mm professional yake kwa sasa inaleta madhara ktk siasa si kwake tu bali kwa Chadema kwa ujumla coz ni vigumu sana mtu kupinga ufisadi majukwaani na kuukubali mahakamani na watu wote wakaamua kukuamini ww ni mpiganaji wa kweli wa ufisadi.
Swala kubwa la sisi wana-chadema tunalotakiwa kulielewa ni kwamba asilimia kubwa ya wananchi hawawezi kutofautisha professional na siasa kiasi kwamba point tutakayoitumia kuuelezea uma ya kuwa hii ni siasa na hii ni professional haitaweza kuzaa matunda yeyote. Marando na uongozi wa juu ulitazame hili kwa mapana na marefu ili nguvu iliyokwisha tumika kukifikisha chama hapa isije kupotea kirahisi kisa mtu mmoja ambae ana uwezo wa kuchua kesi zingine na kuendelea na maisha.
Tujiulize swali dogo kwa mfano leo ROSTAM amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za wizi wa KAGODA na marando akafanya km anavyofanya kwa wale wa EPA itakuwa sahihi? Au kuwatetea wa EPA itakuwa halali na kumtetea Rostam itakuwa haramu wakati wote ni mafisadi?
Nawasilisha
LATIFA,ujinga ndio unao ku cost
LATIFA,
An artful bird can be trapped in a rotten cage! Teh teh teh Great Thinkers wanataka kujua maana hii Word (Kremu)