zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
<br /><br />Haya na yawe majungu hebu jibu yafuatayo:<br /><br />
Magufuli hakuuza nyumba za serikali hadi kwa ndugu yake alikuwa akisoma chuo kikuu na hawala yake?<br /><br />
Sasa hivi serikali haitumii mabilioni kulipia mahoteli mawaziri na majaji kwa maamuzi mabaya ya Magufuli?<br /><br />
Hakuchoma nyavu za maskini wavuvi bila kushughulikia walioziingiza au wewnye viwanda vyake?<br /><br />
Anayemfagilia magufuli ni yule asiyejua madikteta hutengenezwaje
<br /><br />
Hafagiliwi mtu hapa. Kama umeona kafanya dhambi na ushahidi unaoi wa hizo dhambi, unangoja nini kwenda mahakamani? Magufuli hayuko juu ya sheria. Action speaks louder than words.
Tena kwa ushahidi kuwa hakuna aliye juu ya sheria, tumeshaona akishtakiwa waziri Maua Daftari na kashindwa kesi mahakamani. Sheria imefata mkondo wake.