Baba Collin
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 456
- 58
Hongera sn zitto.jana nilikua somewhere na diwani moja wa magamba tukinywa mvinyo huku tukijadili suala la posho na msimamo wa zitto.
Diwan aliwachana sn wabunge wa ccm mpk watu waliokuwepo karibu wakimshangilia.
Kamsifia sn zitto akimtaka akomae na msimamo huo huo ipo cku wataficha sura zao.
Zitto kumbe ni tishio mpaka kwa magamba wenyewe.unakubalika sn kaka kaza buti tutafika tu.viva zitto
Diwan aliwachana sn wabunge wa ccm mpk watu waliokuwepo karibu wakimshangilia.
Kamsifia sn zitto akimtaka akomae na msimamo huo huo ipo cku wataficha sura zao.
Zitto kumbe ni tishio mpaka kwa magamba wenyewe.unakubalika sn kaka kaza buti tutafika tu.viva zitto