Bungeni: Zitto Kabwe amtolea uvivu Shibuda

Hongera sn zitto.jana nilikua somewhere na diwani moja wa magamba tukinywa mvinyo huku tukijadili suala la posho na msimamo wa zitto.
Diwan aliwachana sn wabunge wa ccm mpk watu waliokuwepo karibu wakimshangilia.
Kamsifia sn zitto akimtaka akomae na msimamo huo huo ipo cku wataficha sura zao.
Zitto kumbe ni tishio mpaka kwa magamba wenyewe.unakubalika sn kaka kaza buti tutafika tu.viva zitto
 
Kudai posho wakati maisha wa wananchi yamekuwa magumu nikulidhalilisha bunge. Wabunge watambue kwamba wametumwa na wananchi kuwawakilisha serikalini. Bunge siyo sehemu ya ajira
 
Kwa suala la posho, namuunga mkono Mhe. Zitto. Hali ya uchumi ni ngumu, tunahitaji viongozi wanaowasikiliza wenyenchi wanataka nini...si vinginevyo. Tusilifanye hili liwe la CHADEMA au CCM... bali ni suala lenye maslahi kwa taifa zima.
 
Mh Zitto Kabwe amesema anawashanga wabunge wanaosimama bungeni na kutetea ama wanaotaka kuongezewa posho kwani wabunge hawa hawawajali watanzania. Kauli hii ameitoa baada ya jana Shibuda kusema posho ni muhimu.
Nawasilisha

Wabunge wa CCM akili zipo kwenye masaburi
 
Nimeiona nami hiiyo. Kaeleza vizuri sana japo wabunge wa CCm walizomea...ikimaanisha wao ni posho tu, wananchi baadaye.
Kwanini CHADEMA wanamchelewesha Shibuda,ukweli hapendwi na hafai kuitwa muwakilishi wa wananchi,nadhani CHADEMA wawe careful next time wanapochukua left overs za CCM, wanabadilika kwa magwanda wanapovaa combat lakini fikra wengi hazibadiliki,mfano prof KAHIGI wa Bukomba,hatujamsikia msimamo wake wa dhati kuunga mkono harakati ni kama bado ni magamba magamba vile.
Pial wabunge wa CCM watafute SYNOVETE yao wanayoiamini wapite mitahani,nina uhakika wengi findings watakazo pata wata faint,to be honest watu wanawachukia kupita maelezo,wanawaona kupitia Luninga kwani siku hizi ziko kila sehemu,ni kama wawili au watatu tena wote vijana ndio watakaorudi 2015, the rest my friend take my advise mle uku mnabakiza kwani wananchi wamepania kwa nguvu zote kuwa kwanza 2015 msirudi ,most of you are betrayal of the people's trust,mnaomba nyongeza ya posho wakati huku mtaani maisha yamepanda kishenzi?if you dont believe what i am syaing just wait and see 2015 is just around the corner.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hongera sn zitto.jana nilikua somewhere na diwani moja wa magamba tukinywa mvinyo huku tukijadili suala la posho na msimamo wa zitto.
Diwan aliwachana sn wabunge wa ccm mpk watu waliokuwepo karibu wakimshangilia.
Kamsifia sn zitto akimtaka akomae na msimamo huo huo ipo cku wataficha sura zao.
Zitto kumbe ni tishio mpaka kwa magamba wenyewe.unakubalika sn kaka kaza buti tutafika tu.viva zitto

We ndo unajua leo!!!!!!!!!!!!!! Kijana yuko smart usipime. Kwa ufupi mimi namfagilia kupita maelezo.
 
Mkuu kushika tu kofia na t-sheti hata kama hukutumia ni kosa kubwa kwani yale maguo yao ya kijani na njano nikikosea kuyaweka chumbani naweza kupata nightmare za kufa mtu.

Hasa ukizingatia yana harufu ya damu za walala hoi waliopoteza maisha yao kwa kukosa dawa za malaria; waliokufa kabla ya kufikia umri wao kamili wakuishi duniani baada ya wazazi wao kukosa huduma stahiki za uzazi mahospitalini; waliopigwa risasi za moto kwakujaribu kuzuia majambazi wanaoiba mchana kweupe kwenye rasilimali zetu tulizopewa bure na Mungu you can add more!

Ni laana kuhusishwa na hawa vampires! Mungu wahurumie wazazi wangu ambao bado wanadhani chama chao kina alama ya jembe na nyundo maana ndiyo hasa wanaochelewesha uhuru kamili wa nchi yetu nzuri uliyotupa! Hata hivyo nakushukuru kunipa mafunuo kuwa umeukata ufalme huu na kwamba si muda mrefu watakubali kuwa wewe ni Jehova Nisi!
 
Kwa kweli huwa nasikitika sana sana sana, hivi inakuwaje kuona mtu anacheka suala la msingi kama hili. Busara inasema, tuna matatizo Watanzania tena mengi. Kama inawezekana tujibane kimatumizi ili fedha inayopatikana tujaribu kupunguza matatizo haya, nini kinachekesha au kinafaa kuzomewa hapa!! Hivi huyu anayependekeza haya si mbunge pia na kwa kiasi kikubwa ameona nini kinawezekana, kwanini hawa wengine wanazomea. Hivi mimi mwananchi nifikirie nini hapa, yaani angalau wangenyamaza kimya tu pengine ningedhani wanaumia kimoyomoyo, zaidi ya hapa naona nipo sahihi sana kusema, wabunge wa ccm (exceptional ni ndogo) mpo kwa maslahi yenu zaidi, hata siku moja hamtaweza kufikiria mwananchi na matatizo yake. Kwa wananchi ambao wameamka na wanawafuatilia kwa makini wanayaona haya ni ngumu sana kuwasapoti, otherwise mtaendelea kuvuna kura za wale wasiowafuatilia wakajua, hata hivyo na wao watakataa siku moja.

Pamoja na mengine yote, ndio maana ningependa kuwasikiliza wapinzani hasa CHADEMA wana hoja ipi kwa kuwa sitegemei ccm kusema masuala ya msingi ya Taifa letu na matatizo yake.
 
Kwa moto huu inapaswa CCm waongeze kina Nape kama 100000000, Ili wajarbshe kuwapumbaza Wananchi kama anavyofanya Napena oroiginal.
Nani kawaloga wabunge wa CCM hawana uchungu na Taifa hili?
Wanashndwa kukumbuka maisha walioish kabla ya Ubunge?
Wameshasahau maisha ya ndg jamaa na marafki + majrani waliokuwa nao kabla ya ubunge?
*******Endeleeni na magamba yenu
tunawasubiri mtaan!!!!!!!!!!
*****
 
amejikuta kwenye wakati mgumu pale alipo wapiga juu ya mshono wabunge wa ccm wanao taka kuongezwa posho, akisema anashangaa kuona kuna wabunge wanao taka kuongezwa posho wakati nchi ina matatizo ya umeme na imepitisha bugdet ya mkopo kwenye umeme wa dharura. Ndipo wa bunge wa ccm wakaanza kumzomea nae akasema haogopi kuzomewa kwani wa tanzania wanamatatizo.
kiukweli ccm wanaonyesha dhahiri jinsi wasivyotuthamini,hv kuna kipi kinachowauma zaidi hapo kwenye posho ambapo wabunge wengine wa upinzani hawakioni
 
Mh Zitto Kabwe amesema anawashanga wabunge wanaosimama bungeni na kutetea ama wanaotaka kuongezewa posho kwani wabunge hawa hawawajali watanzania. Kauli hii ameitoa baada ya jana Shibuda kusema posho ni muhimu.
Nawasilisha

Ukweli ni kwamba Posho muhimu.Hakuna kazi ambayo itaenda kwa ufanisi kama watu wahapewi posho..Kila mtu ana maslahi binafsi katika kila jambo,lakini maslahi binafsi kuzidi maslahi ya umma ndicho ambacho hatukitaki..Sasa mtu anaposema wafanye vikaa bila posho ana maanisha nini? maana watu wanahitaji kula,kulala gesti,vocha, maji na mengine mengi..Ukiliangalia kiundani unakuta watu wanatafuta mtaji wa kisiasa ndio maana wanapingana,Unaangalia ni jinsi gani utapata mashabiki bila kuangalia ukweli wa jambo...CDM hawataki posho kwa nini? watuambie wataenda bungeni na nini? kwa sababu posho wanayokataa si kubwa kulingana na gharama zingine,basi ni bora waseme UBUNGE sasa NI kujitolea pesa za MIFUKONI tuone kama kweli watabaki pale,...TUACHE unazi,tuliangalie jambo kwa kila upande si kwa maslahi ya chama chetu tuu.
 
Shibuda si mtu makini hasa ukizingatia aina ya maneno anayoyatoa. Mimi binafsi sifurahishwi nay.
Shibud anatakiwa kujenga hoja na si kurooka ropoka tu. Jenga hoja zenye maslahi kwa jamii na si kuongea kama mtu aliemaliza darasa la saba. wewe ni mtu mzima na wananchi wa maswa wanataka kuona unawafanyia nini na si kwamba wanahitaji kuona unaongea nini.
jirekebishe bana.
 
Ukweli ni kwamba Posho muhimu.Hakuna kazi ambayo itaenda kwa ufanisi kama watu wahapewi posho..Kila mtu ana maslahi binafsi katika kila jambo,lakini maslahi binafsi kuzidi maslahi ya umma ndicho ambacho hatukitaki..Sasa mtu anaposema wafanye vikaa bila posho ana maanisha nini? maana watu wanahitaji kula,kulala gesti,vocha, maji na mengine mengi..Ukiliangalia kiundani unakuta watu wanatafuta mtaji wa kisiasa ndio maana wanapingana,Unaangalia ni jinsi gani utapata mashabiki bila kuangalia ukweli wa jambo...CDM hawataki posho kwa nini? watuambie wataenda bungeni na nini? kwa sababu posho wanayokataa si kubwa kulingana na gharama zingine,basi ni bora waseme UBUNGE sasa NI kujitolea pesa za MIFUKONI tuone kama kweli watabaki pale,...TUACHE unazi,tuliangalie jambo kwa kila upande si kwa maslahi ya chama chetu tuu.
<br />
<br />
kwani wabunge hawana mishahala, hawapewi usafiri wa bei ya juu hata kama wanakopeshwa, hawaghalimiwi kwenye kamati zao? Mfuko wa jimbo wa mbunge uliopitishwa utafanya nini ikiwa hawa ccm shibuda cuf wanadai wananchi wao ni maskini sana hivyo waongeze posho, hapa wanamanisha nini? kuwa wao ndo mabenki ya wananchi hivyo watawagawia bure au nini hasa?!
 
Ukweli ni kwamba Posho muhimu.Hakuna kazi ambayo itaenda kwa ufanisi kama watu wahapewi posho..Kila mtu ana maslahi binafsi katika kila jambo,lakini maslahi binafsi kuzidi maslahi ya umma ndicho ambacho hatukitaki..Sasa mtu anaposema wafanye vikaa bila posho ana maanisha nini? maana watu wanahitaji kula,kulala gesti,vocha, maji na mengine mengi..Ukiliangalia kiundani unakuta watu wanatafuta mtaji wa kisiasa ndio maana wanapingana,Unaangalia ni jinsi gani utapata mashabiki bila kuangalia ukweli wa jambo...CDM hawataki posho kwa nini? watuambie wataenda bungeni na nini? kwa sababu posho wanayokataa si kubwa kulingana na gharama zingine,basi ni bora waseme UBUNGE sasa NI kujitolea pesa za MIFUKONI tuone kama kweli watabaki pale,...TUACHE unazi,tuliangalie jambo kwa kila upande si kwa maslahi ya chama chetu tuu.
Pamoja na matatizo mengine mengi yaliyopo nchini, kwani watumishi wengine wanafanyaje kazi na vipato vyao vidogo wanavyovipata kiasi kwamba mbunge atashindwa akitolewa kiasi hicho kidogo kikaingia kwa wananchi. Kila mmoja ana maslahi binafsi kwa mwenye nafasi kwa yule ambaye anangoja maji masaa 8 sijui maslahi yake binafsi ni yapi.Mitaji ya kisiasa ndiyo ipo lakini subjective . Bado kuzomea ilikuwa haina maana kabisa, nafahamu hata kama ni siasa na wazomeaji wanaitaka. Kwa mimi masikini wa kutupwa nikiambiwa unataka kusevu sh 10 ije kwangu najua umenijali, ukigoma najua umegoma. Nitaendelea kuwapa hongera wanaosacrifice kile kilichokuwa kiingie mfukoni mwao na wakapeleka kwa wananchi. hakuna unazi hapa, tujibane tuna matatizo mengi!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;font size=&quot;4&quot;&gt;Hivi wewe nawe ni MTZ!&lt;br /&gt;<br />
Inawezekana una familia!&lt;br /&gt;<br />
Inawezekana umeoa au kuolewa!&lt;br /&gt;<br />
Inawezekana unategemewa!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
AIBUUUUUUUUUUUUUUUUUU!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
TU...................!&lt;br /&gt;<br />
&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Huyu ndo maana anajiita 'MATONGO' maana yake yale yanayoning'inia mbele kidogo ya masaburi kwa chini
 
Back
Top Bottom