Na, Emmanuel Lukwaro.
Prof Ibrahimu Haruna Lipumba, Aliyekuwa mwenyekiti w Chama Cha Wananchi CUF, na kujiuzulu mwezi November mwaka jana. Ameibuka upya na kusema kuwa amemuandikia katibu mkuu wa chama hicho barua ya kuomba kutengua maamuzi yake ya kujiuzulu na kwamba arejeshwe kwenye nafasi...
Mchakato wa kumn'goa raisi Dilma Ruseff madarakani ulioanza tar 17 mwezi uliopita jana ulichukua sura mpya baada ya kaimu spika wa bunge la wawakilishi kubatilisha kura iliyopigwa na bunge hilo ambapo wabunge wengi walipiga kura ya kumuondoa raisi Dilma.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya...
Inaelekea mleta uzi huelewi Mkutano ule uliandaliwa na nani na kwa utaratibu upi, na hujui ni watanzania wangapi walienda, Hujui kuwa hata aliyekuwa naibu waziri Massele alienda.
Hakuna mtu aliyehudhudhia kwa gharama za serikali, wote waliomba na waliohudhuria sio wabunge peke yao hata watu...
CCM wameshinda nafasi ya uwenyekiti wa halmashauri ya kilombero kwa tofauti ya kura moja, huku nafasi ya makamu mwenyekiti ikichukuliwa na CUF.
Hayo yametokea wakati mbunge wa jimbo hilo Lijualikali akishikiliwa na jeshi la polisi.
Tutabishana hapa lakini ukweli utabaki palepale kuwa hakuna na hatatokea kiongozi wa Marekani mwenye mapenzi mema na Afrika, awe Democrat au Repubican wote wanalenga kuimarisha maslahi ya nchi yao.
Uchaguzi wa Marekani kwa namna yoyote ni lazima ufuatiliwe sana sio tu na watanzania bali sehemu zote za dunia, kwa sababu by the way USA ndio monitor wa dunia,
Ila ukweli ni kwamba yeyoye atakayeshinda hatakuwa na manufaa yoyote kwa Africa sababu Ajenda ya US ni moja na itatekelezwa na yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.