JAMII-ASM
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,305
- 524
Hutaki acha..!Haya sasa wenyewe hawataki
Hutaki acha..!Haya sasa wenyewe hawataki
They ran out of options ..hapana. Wengine nawajua wamefuata nyayo za wazazi wao.wasijifanye wazalendo they were just running out of options.
Wangewaongezea hela ya nauli kwenye mishahara yao hii ingeondoa nongwa,na hii ni kwa walimu wa Dar tu au? Muda mwingine sio kila wazo zuri ni wazo jema hili linahitaji mkakati tena uanzie bungeni na ipitishwe bajeti ya nauli kwa walimu Tanzania mzima kupitia mishahara yao! Asipokuwa makini makonda ataingia mgogoroni na bunge pia kama sio viongozi wa chama cha walimu!mimi naona afadhali angefanya utaratibu wa kununua STAFF BUSES... Mbona wanajeshi asa hivi wana "military buses"
Lengo lake linaweza likawa zuri ila idea yake ya kufanikisha ilo lengo ndo utata unaazia apo....
Alaf ingekua poa zaidi kama ayo mabasi yanakua STAFF kwa wafanyakazi wa Manispaa nzima... inawezekana kabisa kufanikisha ilo jambo!!
Ni kweli kafanya nini cha maana so far?!? je yeye ameongea na walimu kabla ya kujibu kama yeye binafisi?!?! Hali yake yeye tofauti na walimu hivyo asiwasemee. Ambao watakuwa wanatakakulipa watalipa haina shida sio kwamba wanalazimishwa kusafiri bure.Yeye Mkoba hajui shida za walimu badala ya kushukuru yeye anaanza kulaumu ,nia apate ujiko kuwa alishiriki kufanikisha hilo jambo,huo ni wivu wa kike,jeyeye na chama chake ni kipi wamefanya kusaidia waalimu kuondokana adha ya maisha duni na tabuwanazopata kila siku
They ran out of options ..hapana. Wengine nawajua wamefuata nyayo za wazazi wao.
Aliyekwambia shida ya walimu ni nauli ni nani? Wapuuzi wamezoea kuwatumia walimu kupata umaarufu kisiasa.walimu shtuukaaaaYeye Mkoba hajui shida za walimu badala ya kushukuru yeye anaanza kulaumu ,nia apate ujiko kuwa alishiriki kufanikisha hilo jambo,huo ni wivu wa kike,jeyeye na chama chake ni kipi wamefanya kusaidia waalimu kuondokana adha ya maisha duni na tabuwanazopata kila siku
Acha mizuka wewe, shida ya walimu ni mshahara na nyumba za kuishi siyo hiaceYeye Mkoba hajui shida za walimu badala ya kushukuru yeye anaanza kulaumu ,nia apate ujiko kuwa alishiriki kufanikisha hilo jambo,huo ni wivu wa kike,jeyeye na chama chake ni kipi wamefanya kusaidia waalimu kuondokana adha ya maisha duni na tabuwanazopata kila siku