Kutishana kupo tu kokote kule. Hata wamarekani wanatishana sana.
Hata chadema wanatishana sana. Mfano ni pale upendo peneza alipogombea uenyekiti wa bavicha akapingwa na mwenyekiti wake wa chama taifa akidai kuwa huyo binti ni pandikizi. Kwa hiyo kutishana kupo tu. Inategemea zamu ya nani imewahi kusikika haraka.
Hata chadema wanatishana sana. Mfano ni pale upendo peneza alipogombea uenyekiti wa bavicha akapingwa na mwenyekiti wake wa chama taifa akidai kuwa huyo binti ni pandikizi. Kwa hiyo kutishana kupo tu. Inategemea zamu ya nani imewahi kusikika haraka.