Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,148
- 137,142
Li-Trump linataka mrudishwe kwenu!
Acha uzushi wako.
Weka hapa chanzo cha yeye kutaka hivyo.
Li-Trump linataka mrudishwe kwenu!
Ha ha haaa! NN matumbo yanaanza kukucheza nini? Hapana natania tu kiongozi wangu, ila jamaa lenu lina maneno ya kibaguzi sana!!Acha uzushi wako.
Weka hapa chanzo cha yeye kutaka hivyo.
Ha ha haaa! NN matumbo yanaanza kukucheza nini? Hapana natania tu kiongozi wangu, ila jamaa lenu lina maneno ya kibaguzi sana!!
Afrika kuwa turufu kwa namna gani? Mbona siwasikii hao wagombea wakisema lolote kuhusu Afrika?Uchaguzi huu umekuwa moto moto na gumzo kwani pamoja na kufanyika Marekani moto wake umevuka mipaka na bahari na kutua katika mabara mbalimbali ulimwenguni likiwemo Bara la Afrika, wadadisi wa mambo ya kisiasa wanasema turufu kubwa "miongoni" katika uchaguzi huo ni Bara la Afrika, ungana nasi hapa kukupa habari mbalimbali zinazojiri katika uchaguzi huo.
Kuwa wa kwanza
Leo Super Tuesday. Leo kuna watu kubwaga Manyanga. Natamani Rubio na Trump wabaki kwenye Nomination wawili.Tishio la Hillary ni Rubio ninavyoona .Trump ni mwepesi tuHahahahah haya mkuu.... I stand for Trump and you?
Huyo Gamba atakuwa kwa H. Clinton tuHahahahah haya mkuu.... I stand for Trump and you?
Yeah ni kweli mkuu...Leo Super Tuesday. Leo kuna watu kubwaga Manyanga. Natamani Rubio na Trump wabaki kwenye Nomination wawili.Tishio la Hillary ni Rubio ninavyoona .Trump ni mwepesi tu
Uncle Sam's Presidential electionWhoever wins will become POTUS.
So may the best man or woman win.
USA babyView attachment 326058View attachment 326059View attachment 326060View attachment 326061View attachment 326062View attachment 326063View attachment 326064View attachment 326065View attachment 326066View attachment 326067View attachment 326068.
Rubio is in deep trouble dude!. Hajashinda State yoyote toka Primary ianze. Nadhani bado yupo kwenye hiki kinyang'anyiro kwa vile ndio chaguo la GOP Establishment!.Leo Super Tuesday. Leo kuna watu kubwaga Manyanga. Natamani Rubio na Trump wabaki kwenye Nomination wawili.Tishio la Hillary ni Rubio ninavyoona .Trump ni mwepesi tu
Kwa mujibu wa tafiti za CNN inaonyesha hillal Clinton anamzidi trump kwa 52%
Hillary Clinton, Bernie Sanders both top Donald Trump in new CNN/ORC Poll - CNNPolitics.com
Rubio is in deep trouble dude!. Hajashinda State yoyote toka Primary ianze. Nadhani bado yupo kwenye hiki kinyang'anyiro kwa vile ndio chaguo la GOP establishment!.
Kwa mara ya kwanza nimeanza kufuatilia uchaguzi wa Marekani kutokana na huyu jamaa Donald Trump na timu yake mfano yule msemaji kuu wa Trump mama Katrina Pierson.
Jamaa Donald Trump nilidhani mwanzoni anafanya utani lakini naona sana anaanza kuwakosesha usingizi mahafidhina (wenye chama) wa GOP a.k.a Republican party.
Ni burudani tosha kuangalia TV katika kinyanganyiro cha kutia-nia kuchaguliwa kuwa mgombea Rasmi wa Urais mwaka huu USA kupitia vyama hivi viwili Republican/ Democratic .
Hahahaaaa mimi bado siamini kama Trump yuko serious.
Mtu gani aliye serious anatoa kauli kama anazotoa yeye?
Kuna wale die hard GOP Establishment wanadai Trump ni decoy wa Hillary Clinton!. Ila Rubio nae ameingia kwenye mtego wa Trump, anatukana tu nae siku hizi!.Hahahaaaa mimi bado siamini kama Trump yuko serious.
Mtu gani aliye serious anatoa kauli kama anazotoa yeye?
Kuna wale die hard GOP Establishment wanadai Trump ni decoy wa Hillary Clinton!. Ila Rubio nae ameingia kwenye mtego wa Trump, anatukana tu nae siku hizi!.