Kwa hyo umeamua kuiga kwa kuwa wew si wa kwanza una kosa kubwa sana la kufanya usaliti mlee tu huyo binti mpka azae apate maisha maana ww ndo chanzo ila yule wa kwanza ni lazma uishi nae
Juzi tu nilikuwa kwa rafiki yangu mmoja amenizidi umri anachezea miaka 35 hivi anaishi kwao mpaka leo. Sasa kitu cha ajabu nilichokikuta pale,jamaa alikuwa anashida na meza akaniambia anahitaji ila atamwambia mama yake amuuzie ile anayotumia ndani nikamshangaa akanambia ni kawaida kamuuzia vitu...
Issue iko hivi makonda angeweka mambo yake hadharan tuhuma zinazomkabili ingekuwa wazi kuliko saiv imekuwa kam kiki hivi na mzajamzaha watu wapo njia panda san ndyo maan vyombo vingne vya habar wanapuuzia
Mhhh! Hali kam hii imeshawah nikuta san nikaona bora kuwa single until this time bt pamoja na hiv na miss pia niwe na mtu tatzo ni kumpata mtu muelewa na mtakayeendana na unaweza ukaish vzur zaid hat ya kuwa single ila kuwa single ni better km hujaona mtu sahihi wa kuwa nae ila once ukampat mtu...
Trust me achana na mzee kaa na kijana hyo ni tamaa ya mwili au fanya maamuz magumu achana nao wote mind ua bussines ila tofaut na hapo mbeleni inawza ikawa majonz kwako
Hii issue ni kubwa ila watu wataichukulia simple cha kwanz think more wew na hyo jamaa ulimpnda au ulimtaman tu na lengo lako kwa hyo kijana lilikuwa ni nini pia unapotaka kuwa na hyo mdingi je unauhakika atakubali kuwa na ww na lengo lako kw hyo mdingi ni nn zaid ya hapo unaweza ukaharbu kw...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.