Recent content by dwoxye

  1. dwoxye

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    @Antonnia[emoji4][emoji4] Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
  2. dwoxye

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yaani na jezi yangu nimeivaa mapema kabisaa leo, hata siwazi kuhusu game ya leo[emoji28]
  3. dwoxye

    Mke wa kaka anataka tuendelee

    "What goes around comes around" Achana nae mkuu... Assume it was a mistake. Usitake kurudia tena na umpige bit huyo shemu ako aache ujinga.
  4. dwoxye

    Njaa Kali ama ni nini : Wasanii kuweka mpaka Video za matembezi kwenye accnt zao za YouTube

    Kwa hiyo kama ulaya hawafanyi na bongo wasifanye... Acha watu waish maisha yao sio maisha ya watu wa ulaya. Inaonekana unapenda kuiga iga sana vya wazungu mkuu.
  5. dwoxye

    Hela tunazotoa wanaume for no reason, kumpanga mtu

    Ila hata hivo mnazidishaga asee, yan shda zote mnajiachiaga tu km hatujazaliwa na wanawake wenzenu.. Khaaa!
  6. dwoxye

    Hela tunazotoa wanaume for no reason, kumpanga mtu

    Ndo matumizi ya pesa mkuu. Jitahid utafute nyingi zaid utaacha kulalamika.
  7. dwoxye

    AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

    watu wana sifaaa, khaaaa!!!
  8. dwoxye

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Khe khe kheeeeee khe khe kheeeeeeeeeeee
  9. dwoxye

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wacha 1 khe khekheee kheee kheeeekheee khekhe kheee khekhekhekheee khekheekheeeekheeee khe khe khe khe khe khe kheee khee kheekhee khe khe kheee kheee
  10. dwoxye

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naona Fabregas anafanya anachojisikia, teh teh teh!
  11. dwoxye

    Experience yangu kama baby moma

    Daah! baby moma malizia basi....au bundle limekata!!!!:confused:
  12. dwoxye

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    herrera vip mzee mwenzang, LvG hajafukuzwa bdo, ndo natoka kitandani saiz.
  13. dwoxye

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Khaaaaa! LvG give us a break, ndo nin hiki kila siku...maeeee!!!
  14. dwoxye

    kalamu za kamera zipigwe marufuku chaguzi zote

    Kisa,mmeehindwa, unakuj kutoa povu hapa! Tumieni na nyie hizo km mnaona wenzenu wanafaidi.
Back
Top Bottom