Leo naona ushindi wa 2+goals.Sijui kwanini naofu sana na game ya leo yani nikiiwaza tu moyo unaenda kasi sana yani.

Fernandez sio wanadai majeruhi uyu yasijekuwa ya Maguire na Leicester
Kuanza na Matic, Pogba, Ronaldo + Greenwood.
Hapa game watakayoingia na uhakika na point 3 ni Watford tuu.....Mkitoboa hapa mkiwa angalau top7 na UEFA mkiwa angalau nafasi ya pili basi kafanyeni tambiko.
View attachment 1985366
Na yenyewe wajikaze kweli kweliHapa game watakayoingia na uhakika na point 3 ni Watford tuu.....
Hayo mengine wasubili wachezaji wataamkaje siku hiyoo
, nimeamini hakuna utofauti wa Ole na Arteta even Van de beek alikuwa na kiwango bora kabisa leo anaishia benchArsenal kushinda vimechi mfululizo tayari mmeshajiona title contenders, unapata wapi ujasiri wa kuja kutoa ushauri hapa ? Ni sawa na ukuni uliopo darini unamcheka mwenzie jikoni !Ole is an idiot coach pogba unamuwekaje benchi game kama hii ?Manchester United spend a lot of Money to keep Sancho on the bench, nimeamini hakuna utofauti wa Ole na Arteta even Van de beek alikuwa na kiwango bora kabisa leo anaishia bench
Unamfananisha ole na arteta kweli? Ama kweli dunia inaenda kasi sana!Ole is an idiot coach pogba unamuwekaje benchi game kama hii ?Manchester United spend a lot of Money to keep Sancho on the bench, nimeamini hakuna utofauti wa Ole na Arteta even Van de beek alikuwa na kiwango bora kabisa leo anaishia bench