Kaka hatuambiani Kama nyimbo yenu mpya inaitwa Buuuu! Buuuu! Buuuu! Ile Glory Glory ya zamani sindio?Enough is enough he has to go today
Asante Austin tehtehUjinga huu
Damn.... aondoke sasa hivi tuu... akiendelea kuwepo mpaka msimu uishe CL tutaisikia kwenye bombaHaya ni matokeo mazuri kwa tunaotaka kocha aondoke,I hope next season hatakuwepo
Sipendi kubadilisha badilisha makocha ila kwa jinsi Utd inavyocheza.... bila kumung'unya maneno LVG kashindwa kazi Old Traford.... afukuzwe tuuDoh! It's getting difficult to defend this....
Hahahaha naona umelipiza haya bhanaAsante Austin tehteh
Utd siku hizi unaweza kuhisi unaangalia mechi ya kettering town fc.... aondoke tena leo... ninaangalia siku nzima channel 401 kuangalia breaking news kutoka old trafordKaka hatuambiani Kama nyimbo yenu mpya inaitwa Buuuu! Buuuu! Buuuu! Ile Glory Glory ya zamani sindio?
Tatizo lake moja tu: yupo too rigid. #ManUnited is used to dynamic football, win or lose, that's how the team plays. Sasa huyu bwana anawafanya wachezaji wawe kama watoto wanaojifunza soka; yaani wa-stick kwenye positions zao tu mwanzo mwisho.Sipendi kubadilisha badilisha makocha ila kwa jinsi Utd inavyocheza.... bila kumung'unya maneno LVG kashindwa kazi Old Traford.... afukuzwe tuu
Mnamtaka nani aje?Haya ni matokeo mazuri kwa tunaotaka kocha aondoke,I hope next season hatakuwepo