Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mathieu Flamini anaepuka kupewa kadi ya njano baada ya kumkwatua Azipilicueta.

Kila timu inajaribu pasi za hapa na pale Cesc Fabregas anabadilishana pasi na Oscar.

Giroud kwa Campbell anarudisha kwa Flamini lakini Flamini anajichanganya na mpira unaokolewa na Chelsea.
 
Oscar anakula kadi ya njano kwa kumkwatua Joel Campbell dakika inakwenda ya 12 goli ni 0-0
 
Why is awalcott a captain today? Can somebody tell me??

Ni kwa sababu leo Walcott ametimiza miaka 10 akiwa mchezaji wa Arsenal, Walcott alisajiliwa kutoka Southampton akiwa na miaka 16.

Hivyo ni kama gesture tu.

Williaaaaaan no Oscaaaar no Petr Cech anadaka.

Dakika ya 15 goli ni 0-0
 
Kadi nyekundu Mertesacker!!!!

Per Mertesacker anashindwa kumkabili Diego Costa na anamwangusha na mwamuzi Mark Clattenburg hana hiana anatoa kadi nyekundu.
 
Arsenal wanafanya mabadiliko na Gabriel anajiandaa kuingia.

Kwa mshangao wa wengi Wenger anamtoa Olivier Giroud na anaingia Gabby.

Ila kwa taarifa tu ni kwamba Giroud aliumia mguu siku ya Alhamisi na inawezekana ameashiria kutaka kutoka.
 
Dakika ya 22 inakwenda na inaonekana Chelsea wanamiliki mchezo.
 
The Mandaz komaeni bhana...kila cku nyie tu wa kupigwa na Chelsea
Khekhekhekheeeeeeeee
 
Dakika ya 34 Arsenal wanafanya shambulizi la kwanza langoni mwa Chelsea na Walcott anapiga shuti linadakwa na Thibat.
 
Dakika ya 34 Arsenal wanafanya shambulizi la kwanza langoni mwa Chelsea na Walcott anapiga shuti linadakwa na Thibat.
Did I read it right? "Shambulio la kwanza dakika ya 34 dhidi ya timu iliyo nafasi ya 14?!? What is happening here?!?
 
Kama Chelsea ikifunga goli la pili basi Arsenal inapoteza game.
 
Flaminiiiiiiiiii on no juu ya besela na nje!

Half Time Arsenal 0 Chelsea 1
 
Mapungufu ya mpila,refa anawez kuia timu na akakiri baadaye hakuona vizuri,lakini timu imeumia red card ya metersaker inautata mkubwa sana,hakuna mahari walipogusana
 
Mapungufu ya mpila,refa anawez kuia timu na akakiri baadaye hakuona vizuri,lakini timu imeumia red card ya metersaker inautata mkubwa sana,hakuna mahari walipogusana
mert_3557682b.jpg





Mabeki wa Arsenal walikuwa wmepanda sana na hivyo kumfanya Willian kutoa pasi ilopita katikati yao na kumkuta Costa.

Kwa hali hiyo ilitakiwa Mertesacker amwache tu Costa aende na kuomba Cech akabiiane nae na pengine hata Bellerinangeweza kumkuta Costa.

Ni about "decision making process", ukikosea tu mahali basi unaathiri mpango mzima.
 
No shot on target for gooners!!
Mkiwa 10 na Giroud hayupo huwezi kuwa unajaribu mashuti ya mbali.

Wenger anategemea amtumie Walcott na mbio zake aweze kusaka magoli lakini inategemea na utulivu wa dogo.
 
Back
Top Bottom