Hela tunazotoa wanaume for no reason, kumpanga mtu

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,970
Wakuu unajua sisi wanaume tunakumbana na majaribu mengi sana maishan kwenye engo hii ya mapenzi

Ujue kuna hela ambazo unaweza mpa mkeo kama mkeo ama demu wako kama demu wako halafu kuna hela unatoa kumpanga mtu yaani kwa lugha nyingne una mseti aingie king. Hapo hujamtongoza wala nini na hiyo sio kuhonga mind you

Zinakuaga za vocha za kusuka za chips baga etc..hizi ni kama unabet

Sasa nimejaribu kufanya tathmini ni kiasi ngai huwa natupa huko daah nimeona naweza fanyia kitu kikubwa tuu cha faida au ni bora umtumie mama yako nyumban ale ice cream au kuku kwa mrija

Uzi tayarI

(Well.zingatia. Hadi uzi unaandikwa nimetoka kurusha elfu 30 saa hii for no reason. For new chick/project in progress) Mwanafunz wa IFM
 
Wanaume tunapotumia pesa kuwapa wanawake tunakua tunafanya RETURN ON INVESTMENT (ROI), shida ni pale kuwekeza sehemu kusikokua na matumaini hapa ndipo tunapopagawa, kuvuna hasara pale ulipo wekeza zaidi ni problem hii
 
Dah yaani hizo hela ukiziwaziaga unaona kama wee ni bonge la boya...ila sasa utafanyaje maana tako na papuchi muhimu maishani hamna jinsi na wenzetu wameshafanya biashara so wacha tutumie tuu tupate burudani ya maisha
 
Sasa unasema 'no reason' halafu hapo hapo unaweka reason! Yaani kabla unaona reason, halafu baada haoni reason!!

"Hela tunazotoa wanaume for no reason kumpanga mtu..daaah".
 
Back
Top Bottom