Recent content by double bb

  1. D

    Mdada wa benki wa ukweli sana

    :eek:hatari sana
  2. D

    Je, wajua kwamba unaweza kuwa unafuatiliwa kupewa ajira ya huduma ya siri ya serikali bila kujua?(Shushushu)

    Naomba wale wazee wa kitengo waangalie tena upya majukumu yao. Naomba siku hizi hayo tote hayafatwi
  3. D

    Pinda na umiliki wa Sumry Express

    Tumekusikia!
  4. D

    Na Kuacha Vifua Nje Nako Ni Fashion?

    Duh !!!!
  5. D

    Nassari kufikishwa mahakamani kwa kuchimba visima bila kibali.

    asante kwa tetesi zako, ila kwa hili hakika halitwezekana kabisa.
  6. D

    Historia ya Komandoo Tarimo

    Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania. Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
  7. D

    Ahsante Wabunge Wa CCM, Ahsante JF!

    Hongera kaka
  8. D

    Hotuba ya MB-Nassari (CHADEMA) baada ya kutangazwa imeliza wengi

    Tuko pamaoja kaliwakilishe jimbo lako vyema bungeni.
  9. D

    The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    Jeshi latwaa uwanja wa ndege, Sirte Picha za Gaddafi za ng'olewa uwanjani Wanajeshi wanaoitii serikali ya mpito ya Libya wametwaa uwanja wa ndege katika mji wa Sirte, mahali alikozaliwa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi. Wapiganaji walisonga mbele kupitia majengo ya uwanja wa ndege...
  10. D

    Meli ya MV Spice Islander, yazama ikelekea Pemba; wengi wahofiwa kupoteza maisha

    Awali ya yote natanguliza pole nyingi sana kwa Taifa letu la Tanzania katika wakati mgumu hasa wa tukio kubwa lililotokea hapo siku ya Jumamosi majira ya usiku mwingi pale ndugu na jamaa yetu walipopoteza uhai wao. katika hali ya kustajabisha kabisa watu wengi wameanza kuchanganya na siasa...
Back
Top Bottom