Lion's Claws
Member
- Apr 3, 2012
- 30
- 14
Kuna tetesi hapa A town kuwa Nassari anaandaliwa zengwe la kufikishwa mahakamani eti kwa kuchimba visima alivyoahidi wakati wa kampeni bila kibali cha serikali. Magamba wanadai ni kitendo cha rushwa ndiyo maana amechaguliwa. Mwenye habari zaidi atujuze. Magamba wanazidi kuweweseka. Chanzo minong'ono mtaani