mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,753
- 7,075
hakuna kuomba msamaha wakati kosa halijui, twende hivyo hivyo. Hajatukana kama mbunge wa mtera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msamaha wa nin kwani kanya kwenye kikombeJoshua Nassari acha kutuzuga kubali ulimi uliteleza omba msamaha waTanzania.
Joshua Nassari acha kutuzuga kubali ulimi uliteleza omba msamaha waTanzania.
Na huyu una bifu nae....
msamaha wa nin kwani kanya kwenye kikombe
Na huyu una bifu nae....
mungu ni mkubwa.2015.tumeshapata silaha ya maangamizi
Namshangaa kila siku anazunguka zunguka tu!!Joshua Nassari acha kutuzuga kubali ulimi uliteleza omba msamaha waTanzania.
Walionzisha hiyo movement wote wamekamatwa! Na kesi inaendelea. Nasarri by this time ingetakiwa awe rumandeMbona Zanzibar inataka kujitenga na wala hakuna anaekamatwa? au Zanzibar sio sehemu ya Tanzania?