Kwa kauli ya nassari inabidi chadema wasitishe kwanza sera yao ya majimbo otherwise itatucost.

hakuna kuomba msamaha wakati kosa halijui, twende hivyo hivyo. Hajatukana kama mbunge wa mtera.
 
Asante waelewa na wajenga nchi tushakupata,. Mungu akubariki hao wapotoshaji tushawazoea,. Piga kazi nassari wakomboe wana arumeru wanakwamini sana
 
Ikiwa kujitenga kwa kaskazini ni kosa la jinai Je? ni kubwa kuliko wezi wa mabilioni ya watanzania walioiba mawaziri na hadi leo wanadunda mitaani, huyu aliyesema kujitenga juzi tayari amekamatwa na kuhojiwa. Nadhani Polisi wa Tanzania wanashabikia siasa zaidi kuliko kulinda usalama wa wananchi na mali zao. Ni dhahiri wanalinda viongozi wa Chama Tawala, huenda na wao ni sehemu ya ufisadi.
 
Msamaha wa nini.RIZ ONE aliesema rais hatatoka kaskazini kwanza atiwe mbaroni zandiki yule.! Inaniuma wezi wanaachwa wanaonewa wanaotoa civil education.AKAMATWE ismail jussa ladhu..shit
 
Khaa.. DPP na yeye Kilaza anakubali kupokea majalada yenye kesi ambazo zinaweza kusuruhishwa na balozi wa nyumba kumi, anaacha makesi mazito ana deal na vijikesi kweli Bongo kila Sekta ni Politics
 
Kupelekwa sawa kama wameamua bt nchi hii wakitaka iende sawa wangekamata kina riz,lusinde,maige,ngeleja,na ismail jusa ambaye ni mhaini wa kidini..nassary don fia
 
Mbona Zanzibar inataka kujitenga na wala hakuna anaekamatwa? au Zanzibar sio sehemu ya Tanzania?
 
let go off nassari's d**k!ameshatoa maelezo yake after all hii nchi ishauzwa,arumeru anapotoka ardhi yenye rutuba wamepewa wazungu..
 
Ndugu, siasa za Tanzania ni hatari sana. Kazi ya polisi ni kupeleleza, kazi ya DPP ni kuendesha

mashtaka. Cha ajabu polisi hawa hawajaanza kupeleleza mawaziri wanaolaamikiwa kila siku

lakini walipeleleza ya Jerry Muro. Hawa hawa hawajapeleleza Kagoda na washirika wake na

kupeleka jalada kwa DPP tayari wameshakimbiza la Nassari, sijajua utendaji wao kwa kweli!
 
Mbona Zanzibar inataka kujitenga na wala hakuna anaekamatwa? au Zanzibar sio sehemu ya Tanzania?
Walionzisha hiyo movement wote wamekamatwa! Na kesi inaendelea. Nasarri by this time ingetakiwa awe rumande
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom