Recent content by donydommy

  1. D

    JamiiForums Tanzania SoC03 Elimu bila matendo imekufa

    ELIMU BILA MATENDO IMEKUFA Imani bila matendo imekufa! Haya unaweza kuyaona kupitia(Kwa nini imani bila matendo imekufa?). Haya ni maneno yanayopatikana katika biblia. Ni maneno yanayo tutaka tuweke katika matendo kile tulichofundishwa na kuaminishwa. Haya pia tunayapata katika Quruan...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Series nilizowahi tazama na ninazotazama sasa

    naweza kupata wapi series za kifilipino/telenovela
  3. D

    JamiiForums Tanzania Fero L 100 ni simu imara?!

    Mwenye kujua simu aina hii naomba ushauri kuhusu uimara wake na udhaifu wake
  4. D

    JamiiForums Tanzania Nampenda Mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege.

    hakika Mungu awe nae milele na milele.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Ubunifu

    Mimi ni miongoni mwa watu ambao wanafikiria ni kwa namna gani tunaweza kuhakikisha tunavuna maji ya mvua kwa namna ambayo tunaweza kuyatumia kwenye shughuli zetu za kilimo hasa huko vijijini. Ni kipata pakuelezea wazo langu na kufanyiwa kazi ninaamini kwamba litatatua matatizo yetu katika...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Network Marketing

    Mwenye uelewa na hizi biashara za network marketing naomba anipe in and out ya biashara hii maana nimekuwa nasikia watu wengi sana kuwa huwa wanajiunga. 1) Hii mifuko huwa inaukweli wowote kwamba wanachokisema na kukihubiri huwa kina ukweli wowote? 2) Je ni watu wangapi kwa Tanzania tunaweza...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Donald Trump: Marekani hatuabudu Serikali, Tunamwabudu Mungu

    daaa anapigiwa makofi naye pia anapiga makofi kuliko hata wanaompia makofi
  8. D

    JamiiForums Tanzania Uchagani

    Hivi jamani tunaona mikoa na kanda za Tanzania bara nyingi kuna timu za mpira wa miguu kwa mfano kanda ya ziwa kuna kagera sugar, pamba, mbao nk huko mbeya tuna mbeya city kwa dar kuna yanga, simba lakini kwa kanda ya kasikazini(Arusha, Kilimanjaro, Manyara) huko kuna timu gani wajameni
  9. D

    JamiiForums Tanzania Serikali Yatangaza Ajira za Walimu

    Anasema majina yatawekwa jioni lkn Mimi naomba kuuliza hizo ajira ziliwekwa/zilitangazwa link?
  10. D

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje kubadili jina Facebook?

    Ahsante sana maana nilifanilisha
  11. D

    JamiiForums Tanzania Utani

    Maneno haya "" utajua kwa nini wazaramo walimuua mwizi kwa kumsuta kwa maneno"" yana maana gani
  12. D

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje kubadili jina Facebook?

    Unafanyaje sasa ndg
  13. D

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje kubadili jina Facebook?

    Mwenye kujua namna ya kubadilisha jina la account Facebook naomba anisaidie
  14. D

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kiwanja eneo la bagamoyo

    Mwenye kuhitaji mchicha maeneo ya bunju na maeneo ya jirani tuwasiliane 0626810032 mda wowote
  15. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya samaki

    Wadau naombeni kujua mwenye uzoefu wa biashara ya samaki kwa kutembeza mitaani kama ina weza kuwa na changamoto zipi na faida zipi Nataraji kufanya hiyo biashara kwa kununua wabichi na kuwatembeza Karibuni[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Back
Top Bottom