Uchagani

Uchagani

donydommy

Member
Joined
May 20, 2017
Posts
16
Reaction score
8
Hivi jamani tunaona mikoa na kanda za Tanzania bara nyingi kuna timu za mpira wa miguu kwa mfano kanda ya ziwa kuna kagera sugar, pamba, mbao nk huko mbeya tuna mbeya city kwa dar kuna yanga, simba lakini kwa kanda ya kasikazini(Arusha, Kilimanjaro, Manyara) huko kuna timu gani wajameni
 
hatuko interested sana na mpira kwa hapa Arusha zungumzia mashindano ya magari . golf na muziki wa hip hop ......


hata hivyo msi~force tufanane bablai
 
hatuko interested sana na mpira kwa hapa Arusha zungumzia mashindano ya magari . golf na muziki wa hip hop ......


hata hivyo msi~force tufanane bablai
Naongezea sie tuko kwenye mashindano ya Pesa tuuu, kama kuna ukanda wanaoweza kuja kuashindana tunawakaribiasha!
 
Back
Top Bottom