Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
Bwana Yesu Asifiwe jamani nampendaga sana Mtumishi wa Mungu Christopher Mwakasege kwanza hana Scandals ,Pili anampenda Mungu kikweli kweli tatu hana mafundisho ya uongo nne hajawahi kuchuja tangu nipo mdogo miaka 5 naenda kwenye mahubiri yake anakuja kuhubiri pale Upanga mtaani kwetu Lugalo mpaka leo alafu yupo hivyo hivyo!
Alafu huyu baba hazeeki jamaa doh kila siku yupo hivyo hivyo kama Malaika
watumishi wengine wangejifunza toka kwa huyu baba siri ya kumtumikia Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na Mwalimu Christopher Mwakasege AMEN
Alafu huyu baba hazeeki jamaa doh kila siku yupo hivyo hivyo kama Malaika
watumishi wengine wangejifunza toka kwa huyu baba siri ya kumtumikia Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na Mwalimu Christopher Mwakasege AMEN