Habari, bila shaka Wote tunajua changamoto tuliyonayo watanzania kwa sasa hasa katika suala la mgao wa umeme , ambao umegeuka mwiba kwa wajasiliamali wengi.
Changamoto niliyonayo ni matumizi makubwa sana ya Fedha hasa katika kununua mafuta ya Petroli. Ambapo kwa mzigo nilionao Jenereta inatumia...
Nimefanikiwa kupata kampuni ya Utengenezaji Uuzaji wa Industrial Incubator za Vifaranga vya kuku, kampuni hiyo inaitwa WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION iliyoko Beijing (kama sijakosea).
Kampuni hii nimejaribu kuwasiluana nao kupitia details zao walizoziweka kwenye website yao...
Nimekuwa napata changamoto kwa upande wa hizi incubator ndogo za sido hata za kichina. Zimekuwa nyingi hazina utotoleshaji wa kueleweka. Mara nyingi ni pata potea.
Siku nyingine inafanya vizuri mpaka unaisifia ila siku nyingine inaharibu Mayai mpaka kichwa kinauma.
Nimejaribu kufanya...
Bati hizi ni zile laini au nzito kidogo ambazo hutumika kutengenezea loka/ masanduku ya bati (maloka) ya kutunzia vifaa vya wanafunzi wawapo bwenini. Msaada tafadhali.
Yanapatikana wapi na Mawasiliano ya wauzaji.
Mbona zina pishana muonekano na dualis, kama taa,baadi ya folds za bodi sunroof(baadhi zinazo na baadhi hazina). Pia nimejaribu kufuatilia dualis zinaonekana za miaka ya nyuma. Qashqai zinaonekana ni za miaka ya 2015 na zaidi..
Kiukweli katika fuatilia yangu ya magari. Gari za Nissan Maarufu ni Morano, Dualis, X- trail, Nissan Patrol, Juke, na manufacture wengine kama Subaru, Toyota na kadhalika.
Gari za Nissan Qashqai ni nzuri sana kimuomekano na ulaji wa mafuta. Na nimefuatilia hata engine zake nyingi ni 1000+ mpaka...
Habari. Nina mtu yuko chalinzi yeye ni wa msingi. Anaweza badilishana na wa kahama. Twaweza jaribu kwani wote ni walimu sidhani kama kuna kipingamizi sana kwenye taaluma moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.