Recent content by dfreym

  1. dfreym

    Nawezaje kupunguza gharama za umeme kipindi hiki cha mgawo?

    Habari, bila shaka Wote tunajua changamoto tuliyonayo watanzania kwa sasa hasa katika suala la mgao wa umeme , ambao umegeuka mwiba kwa wajasiliamali wengi. Changamoto niliyonayo ni matumizi makubwa sana ya Fedha hasa katika kununua mafuta ya Petroli. Ambapo kwa mzigo nilionao Jenereta inatumia...
  2. dfreym

    Nawezaje kujua kampuni fulani ni halali au ya kitapeli?

    Nimefanikiwa kupata kampuni ya Utengenezaji Uuzaji wa Industrial Incubator za Vifaranga vya kuku, kampuni hiyo inaitwa WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION iliyoko Beijing (kama sijakosea). Kampuni hii nimejaribu kuwasiluana nao kupitia details zao walizoziweka kwenye website yao...
  3. dfreym

    Nahitaji Industrial Incubator (Setter) na Hatcher

    Nimekuwa napata changamoto kwa upande wa hizi incubator ndogo za sido hata za kichina. Zimekuwa nyingi hazina utotoleshaji wa kueleweka. Mara nyingi ni pata potea. Siku nyingine inafanya vizuri mpaka unaisifia ila siku nyingine inaharibu Mayai mpaka kichwa kinauma. Nimejaribu kufanya...
  4. dfreym

    Natafuta bati(sheet)Zinazotumika kutengenezea masanduku ya wanafunzi

    Bati hizi ni zile laini au nzito kidogo ambazo hutumika kutengenezea loka/ masanduku ya bati (maloka) ya kutunzia vifaa vya wanafunzi wawapo bwenini. Msaada tafadhali. Yanapatikana wapi na Mawasiliano ya wauzaji.
  5. dfreym

    Kwa nini Gari za Nissan Qashqai siyo maarufu sana Tanzania?

    Mbona zina pishana muonekano na dualis, kama taa,baadi ya folds za bodi sunroof(baadhi zinazo na baadhi hazina). Pia nimejaribu kufuatilia dualis zinaonekana za miaka ya nyuma. Qashqai zinaonekana ni za miaka ya 2015 na zaidi..
  6. dfreym

    Kwa nini Gari za Nissan Qashqai siyo maarufu sana Tanzania?

    Kiukweli katika fuatilia yangu ya magari. Gari za Nissan Maarufu ni Morano, Dualis, X- trail, Nissan Patrol, Juke, na manufacture wengine kama Subaru, Toyota na kadhalika. Gari za Nissan Qashqai ni nzuri sana kimuomekano na ulaji wa mafuta. Na nimefuatilia hata engine zake nyingi ni 1000+ mpaka...
  7. dfreym

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Habari. Nina mtu yuko chalinzi yeye ni wa msingi. Anaweza badilishana na wa kahama. Twaweza jaribu kwani wote ni walimu sidhani kama kuna kipingamizi sana kwenye taaluma moja.
  8. dfreym

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Idara elimu msingi . Njoo chalinze mimi nije kahama mjini. Kwa mawasiliano ni pm
  9. dfreym

    Shinyanga - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    KAHAMA MJI (UBUNGE)not confirmed ila KISHIMBA (CCM)anaogoza, kamuacha mbali LEMBELI (CHADEMA).
  10. dfreym

    Ifikie wakati Nchi za Africa tujitoe kushiriki Kombe la dunia

    Mi Ningekuwa uwanjani ningemtwanga mangumi jamaa aliyejikata mtama akajiangusha.
  11. dfreym

    Msaada Miche ya vitunguu inakauka

    Solved wakuu. Asanteni kwa Msaada
  12. dfreym

    Msaada miche ya vitunguu inakauka

    Nimejaribu juzi jumamosi ndo nasubiri nione thanks to all
  13. dfreym

    Msaada miche ya vitunguu inakauka

    Asante vipi kuhusu interval ya umwagiliaji?
Back
Top Bottom