Hahaha haaaaa, nimeipenda hii post ya huyu dada na imenifurahisa kwa sababu imeleta changamoto kwa vijana wengi maana nadhani waliokamilisha masharti yao ni wachache na pengine hawapo sina hakika.
Naomba nitoe maoni yangu juu ya hili tangazo, anachokihitaji huyu dada nahisi ndo matakwa ya...
Nimependa ujumbe wako kwa sababu unatoa changamoto kwa vijana wanaokaa kwa mashemeji zao na especially wale ambao wanauwezo wa kwenda kupigana lakini wanaogopa, bila kuwa aggressive hivi walahi hawaondoki
Kwa level hiyo lazima aliwe sana, usimlaumu na endelea kuwa nae na usimfatilie sana utaumia, bado mko kwenye fulish age, mzee mwanamke mpaka afikie kuolewa anakuwa ametembea na wanaume minimum 3 inaweza kuwa zaidi ya hapo, kwaiyo piga moyo konde ilimradi anakupa huduma(papuchi). Ingekuwa ni mke...
Tutokupata mwenza wa uhakika (siku izi watu wanaoa na kuolewa ili wawaridhishe wazazi na marafiki zao kuliko wao wenyewe kwa hiyo ukiwa haujajiimarisha vizuri na pia hali ya kipato siyo stable unakuwa haumuamasishi mtu kukuoa au kuolewa (vijana wengi kutokana na kuwa na kipato kidogo anaona...
Bongo hamna artist wa tatu, kama unabisha kachore ndo utajuta kuchafua ngozi yako na hicho utakachokichora hautatamani hata kukiangalia. Kuna jamaa mmoja yuko kenya na pia hua anakuja bongo kwa appointment ni artist mzuri na pia gharama zake ziko juu lakini akikuchora tatoo utatamani kila mtu...
Future ni msanii wa kimataifa, kama kunawasio mjua hao watakuwa hawafatilii mziki wa kimataifa, last time kwenye tuzo za mtv Africa future ndo msanii wa majuu aliyekuja kutumbuiza south Africa.
Habarini wana jamvi. Mimi nimehitimu diploma na nataka kujiendeleza na degree ya BBA katika chuo kikuu cha UDSM na ningependa kwa wanaojua utaratibu wa kufanya application wanifahamishe ili nijue napoanzia hadi nitakapo malizia, nimesoma prospecter yao nimeona nina vigezo. Najua humu jamvini...
Eat healthy food vyakula ambavyo ni natural visivyo sindikwa, mboga za majani, na matunda kwa wingi, na pia kikubwa zaidi fanya mazoezi.
Alafu pia fahamu kuwa hii hali sometimes inaweza kuwa ni psychological problem. Kwa hiyo pata ushauri kwa wataalam watakusaidia zaidi kisaikologia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.