Ushauri: Mpenzi wangu amebadilika

Ushauri: Mpenzi wangu amebadilika

Tafadhali ww bro ushalamba mm ndio namfukuzia steel najtoa kafala kila ktu dogo anakula ila bado hasomeki tu hawa wadada hawa watatuua
 
Kwa level hiyo lazima aliwe sana, usimlaumu na endelea kuwa nae na usimfatilie sana utaumia, bado mko kwenye fulish age, mzee mwanamke mpaka afikie kuolewa anakuwa ametembea na wanaume minimum 3 inaweza kuwa zaidi ya hapo, kwaiyo piga moyo konde ilimradi anakupa huduma(papuchi). Ingekuwa ni mke ndo umemkuta ametongozwa alafu akakubali hapo ndo unatakiwa ufanye maamuzi magumu.
 
Kaaa nae mbali chuo ndio kipimo cha Uvumilivu wa mchumba hasa akiwa Bomba.
 
Huyo ndo kesha potea ndege ashanaswa kwengine huyo
 
Hebu nipe namba yake nimuulize kwanini anakufanyia hivyo
 
Kwani ulimtoboa ww? Kama ulikuta katobolewa basi ujue aliemtoboa lazma aendelee kumkulaaaa.
 
Back
Top Bottom