Nataka kwenda kuchora Tatoo

Nataka kwenda kuchora Tatoo

Najua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwana kwetu vip ten usifurahishe nafsi yako ukasahau kumfurahisha Alosimamisha mbingu bila ya nguzo kama umeamua kumfurahisha huyo umpendae unaweza ukamfanyia chochote ambacho hatakisahau katk kumbukumbu zake tattoo ni haramu na ni dhambi pia ngoj niishie hapa.
 
kumbukumbu hukaa kichwani mama,sio kwenye ngozi,kama ukiamua kuendelea na mpango wako jitahidi kuichora ndogo na iwe sehemu ambayo haitaonekana kirahisi ukiwa umevaa nguo.
 
Nilikuwa nataka sana kuchora tattoo ila kuna siku kama zali tu nikafunua kitabu cha Mambo Ya Walawi katika Biblia Takatifu, niliishiwa nguvu kwa maneno yale.
Nilishasahau mstari wa ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya Walawi 19:28
"Msichanje chale yoyote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana".
Kuna jamaa nilimuona anatoa ushuhuda kanisani kwa nabii Magaya wa Zimbabwe kupitia Yadah tv anaeleze jinsi gani tatoo zilivyo demonic na ni dhambi na aliquote mstari kutoka mambo ya walawi

Yani jamaa alijichora kila sehemu ya mwili wake...na ye mwenyewe alikuwa mchora tatoo

So think twice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa tatoo ya kwenye makinikia ningekupm namba yangu ili nije kukuchora mwenyewe,km ya kwenye mkono wadau watakupa location ya zinakochorwa
 
Hizi tattoo aisee Mh! kuna watu wameanza kuweka mpaka usoni! Na wengine miili yao imejaa tattoo kila sehemu ya miili yao hata kupoteza ile rangi ya miili yao, lakini kuna baadhi zinapendeza mno hasa kwa warembo zilizowekwa kwa utalaamu mkubwa.

usihalalishe halali kua haramu ili kufurahisha binadamu
am sorry lakini ila tunaambiwa kuna maisha ya barzakh...
 
Bongo hamna artist wa tatu, kama unabisha kachore ndo utajuta kuchafua ngozi yako na hicho utakachokichora hautatamani hata kukiangalia. Kuna jamaa mmoja yuko kenya na pia hua anakuja bongo kwa appointment ni artist mzuri na pia gharama zake ziko juu lakini akikuchora tatoo utatamani kila mtu aione. Good tattoo is not cheap, cheap tattoo is not good.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi tattoo aisee Mh! kuna watu wameanza kuweka mpaka usoni! Na wengine miili yao imejaa tattoo kila sehemu ya miili yao hata kupoteza ile rangi ya miili yao, lakini kuna baadhi zinapendeza mno hasa kwa warembo zilizowekwa kwa utalaamu mkubwa.
mi pia mpenzi wa tatuu nilitamani niwachore mabinti zangu "geniveros"ila daah naogopa kwa Mungu tuuuu kwenda na kidhibiti mwilini

wale wanaochora usoni wamevurugwa wale
 
Siyo kila kitu cha kuinga vingine potezea...

Ukisha jichora tatto na akili zako za kawaida huwa zinaondoka, angalia asilimia kubwa ya raia wa kawaida huko mtaani walio chora tatto uangalie jinsi walivyo..
 
Kama unachora kwa faida yako fanya ila kama ni kumfurahisha mtu hasa mwanaume ahaaaa eti daima aishi mwilini mwako??? Pole sana.

Kama ni mzazi wako nenda hata sasa hivi ila mwanaume pole in advance hawanaga shukrani.

Wakati unaangaika na kugarimia hayo yote anambinua mwingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom