Msaada kuhusu utaratibu wa kujiunga na kozi ya BBA chuo cha UDBS kwa mhitimu wa diploma.

Deeklm

Member
Feb 20, 2017
18
19
Habarini wana jamvi. Mimi nimehitimu diploma na nataka kujiendeleza na degree ya BBA katika chuo kikuu cha UDSM na ningependa kwa wanaojua utaratibu wa kufanya application wanifahamishe ili nijue napoanzia hadi nitakapo malizia, nimesoma prospecter yao nimeona nina vigezo. Najua humu jamvini wapo watu wenye uelewa wa hii jambo, naombeni mnipe uratatibu nitakao pitia hadi kupa nafasi ya kusoma hii kozi.
6ee0d521d578684956c69820bc0c7aeb.jpg
 
Utaratibu Ni Kwamba Utaomba Kupitiaa tcu watakapo fungua system zao kwapamoja na Walio maliza form six
 
sahau uo utaratibu nukuu maneno ya mkulu...
TCU hawajatoa tamko lolote, kwahiyo kwa sasa utaratibu unaofahamika ni diploma holders na form 6 Ku apply kupitia CAS mpaka TCU wakisema vinginevyo, kama NACTE walivyofanya.
 
TCU hawajatoa tamko lolote, kwahiyo kwa sasa utaratibu unaofahamika ni diploma holders na form 6 Ku apply kupitia CAS mpaka TCU wakisema vinginevyo, kama NACTE walivyofanya.
endelea kuota ndoto zako huku wenzako wakifuata maelekezo kutoka juu.....
 
wanafunzi wengi wa health na eng hawaitaki tena kwa kupelekwa cbe na tia wakat wao wamesoma pcb,cbg,pcm waje watoe ushahid
yaan mtu ana apply programme za science machaguo yote 5 halafu anapelekwa business?
 
yaan mtu ana apply programme za science machaguo yote 5 halafu anapelekwa business?
huamin nacho kuambia ama unataka waje wakuzingue apa hivi ujawah kuapply tcu kuna round mpaka 5th nenda jesh kwanza ukirudi utaelewa show ahahaaaaaa rahaaa sana haya mambo unaweza lia sana cas wameua ndoto za wanafunzi wengi sana......
 
huamin nacho kuambia ama unataka waje wakuzingue apa hivi ujawah kuapply tcu kuna round mpaka 5th nenda jesh kwanza ukirudi utaelewa show ahahaaaaaa rahaaa sana haya mambo unaweza lia sana cas wameua ndoto za wanafunzi wengi sana......
.
 
niende jeshi kufanya nn ww.. Mi nshasoma siku nyingi, nashangaa kuna vitu kama hivyo ambavyo sikuviona zamani
kwanza tcu walianza huu utaratibu 2005 so kurudi nyuma watu walikuwa huru sana wazee wetu ndo wanatueleza hivo kuliko huu utaratibu wa cas
 
Back
Top Bottom