Anyway kumuuliza ni sawa, ila ubongo wake wa kipanzi panzi unaweza kutoa jibu la kukera zaidi. Kimsingi JK hana majibu ya kuleta suluhu, ni chekacheka boy. Miaka 4ameulizwa maswali na amejibu na hakuna kilichobadilika saana. Nadhani kugoma kumuuliza maswali inaweza kuwa tiba ya majibu yake ya...