Wadau kuna jamaa wamenitonya hapa watakutana na JK mchana huu hapa DK. Mimi nipo mbali kidogo na Copenhagen so kama kuna maswali mnadhani
ni muhimu akaulizwa mnaweza kunipenyezea kabla ya 11:30am sawa´na 12:30pm East African time.
Nasubiria, then Mods mtaiondoa baada ya huo muda asante´ni
ni muhimu akaulizwa mnaweza kunipenyezea kabla ya 11:30am sawa´na 12:30pm East African time.
Nasubiria, then Mods mtaiondoa baada ya huo muda asante´ni