Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 64
Habarileo, 17 Mar,2009
Presidar wetu yuko London, kwa kile kinachoelezwa kuwa ni ziara maaalumu ya kuandaa ajenda kwa ajili ya mkutano wa G20. viongozi wetu kama kawaida hawachoki kuomba misaada, bada ya kutafuta njia za kuacha utegemezi!!
Afrika pia inataka ipate mgawo stahiki wa fedha kwa ajili ya kuokoa taasisi zake za kifedha na kuchachua uchumi zinazotolewa na taasisi za kimataifa za fedha. Mazungumzo hayo yaliitishwa na Brown ili kusikia maoni ya Afrika kabla ya mkutano wa G20 huku kukiwa na taarifa kuwa IMF itaongeza maradufu kiwango cha fedha kwa ajili ya kukabiliana na matatizo ya kifedha duniani kutoka dola bilioni 250 za Marekani za sasa.
Tanzania na mataifa mengine yanayoendelea, imeshuhudia mapato yake kutokana na mauzo ya nje yakishuka na bei za mazao ya kilimo zikishuka katika soko la dunia, kutokana na kudorora kwa uchumi katika mataifa makubwa. Fedha za kigeni halikadhalika zimepungua na idadi ya watalii nayo imeshuka.
Hizi hela viongozi wetu wanazotaka wapewe ni za msaada, mkopo au deni wanalodai?? miaka nenda rudi hizi hela walikuwa wanapewa, lkn utegemezi haukomi!! hivi hizo hela za wao kutupa sisi wakati kwao kuna njaa nani atatoa??
Viongozi wetu wa TZ wameshindwa kuelewa kuwa kilimo sio tumbaku na mkonge tuu, tungetumia mabonde na mito yetu vizuri tungevuna mchele wa kutosha na hata hali ya uchumi ingeshuka vipi bado tungeendelea kuuza nje ya nchi, tatzo creativity ipo???
Presidar wetu yuko London, kwa kile kinachoelezwa kuwa ni ziara maaalumu ya kuandaa ajenda kwa ajili ya mkutano wa G20. viongozi wetu kama kawaida hawachoki kuomba misaada, bada ya kutafuta njia za kuacha utegemezi!!
Afrika pia inataka ipate mgawo stahiki wa fedha kwa ajili ya kuokoa taasisi zake za kifedha na kuchachua uchumi zinazotolewa na taasisi za kimataifa za fedha. Mazungumzo hayo yaliitishwa na Brown ili kusikia maoni ya Afrika kabla ya mkutano wa G20 huku kukiwa na taarifa kuwa IMF itaongeza maradufu kiwango cha fedha kwa ajili ya kukabiliana na matatizo ya kifedha duniani kutoka dola bilioni 250 za Marekani za sasa.
Tanzania na mataifa mengine yanayoendelea, imeshuhudia mapato yake kutokana na mauzo ya nje yakishuka na bei za mazao ya kilimo zikishuka katika soko la dunia, kutokana na kudorora kwa uchumi katika mataifa makubwa. Fedha za kigeni halikadhalika zimepungua na idadi ya watalii nayo imeshuka.
Hizi hela viongozi wetu wanazotaka wapewe ni za msaada, mkopo au deni wanalodai?? miaka nenda rudi hizi hela walikuwa wanapewa, lkn utegemezi haukomi!! hivi hizo hela za wao kutupa sisi wakati kwao kuna njaa nani atatoa??
Viongozi wetu wa TZ wameshindwa kuelewa kuwa kilimo sio tumbaku na mkonge tuu, tungetumia mabonde na mito yetu vizuri tungevuna mchele wa kutosha na hata hali ya uchumi ingeshuka vipi bado tungeendelea kuuza nje ya nchi, tatzo creativity ipo???
Last edited by a moderator: