Kikwete yuko London

Nicky82

JF-Expert Member
Mar 14, 2009
941
64
Habarileo, 17 Mar,2009

Presidar wetu yuko London, kwa kile kinachoelezwa kuwa ni ziara maaalumu ya kuandaa ajenda kwa ajili ya mkutano wa G20. viongozi wetu kama kawaida hawachoki kuomba misaada, bada ya kutafuta njia za kuacha utegemezi!!

Afrika pia inataka ipate mgawo stahiki wa fedha kwa ajili ya kuokoa taasisi zake za kifedha na kuchachua uchumi zinazotolewa na taasisi za kimataifa za fedha. Mazungumzo hayo yaliitishwa na Brown ili kusikia maoni ya Afrika kabla ya mkutano wa G20 huku kukiwa na taarifa kuwa IMF itaongeza maradufu kiwango cha fedha kwa ajili ya kukabiliana na matatizo ya kifedha duniani kutoka dola bilioni 250 za Marekani za sasa.

Tanzania na mataifa mengine yanayoendelea, imeshuhudia mapato yake kutokana na mauzo ya nje yakishuka na bei za mazao ya kilimo zikishuka katika soko la dunia, kutokana na kudorora kwa uchumi katika mataifa makubwa. Fedha za kigeni halikadhalika zimepungua na idadi ya watalii nayo imeshuka.


Hizi hela viongozi wetu wanazotaka wapewe ni za msaada, mkopo au deni wanalodai?? miaka nenda rudi hizi hela walikuwa wanapewa, lkn utegemezi haukomi!! hivi hizo hela za wao kutupa sisi wakati kwao kuna njaa nani atatoa??

Viongozi wetu wa TZ wameshindwa kuelewa kuwa kilimo sio tumbaku na mkonge tuu, tungetumia mabonde na mito yetu vizuri tungevuna mchele wa kutosha na hata hali ya uchumi ingeshuka vipi bado tungeendelea kuuza nje ya nchi, tatzo creativity ipo???
 
Last edited by a moderator:
...mnh, ama kweli! 'mwenye njaa hana miiko!'

African leaders tell G20 crisis threatens 'chaos'
3 hours ago

LONDON (AFP) - Some African countries could "go under" if they are not helped through the global downturn, threatening "total chaos and violence", Ethiopian Prime Minister Meles Zenawi warned the G20 on Monday.

At a meeting of African leaders in London ahead of next month's summit of the Group of 20 rich and emerging countries, presidents and prime ministers from across the continent warned of the costs of ignoring Africa.

British Prime Minister Gordon Brown was meeting African leaders to hear their concerns about the world economic downturn in the G20 build-up.

"They should care about Africa because it is in their interests," Meles, who will attend the G20 as the chair of the New Partnership for Africa's Development (NEPAD), told reporters.

"Any stimulus money spent in developed countries is going to have less global impact than if the same amount of money were to be spent in Africa.

"Some countries could go under and that would mean total chaos and violence. In the end the cost of violence is going to be much higher than the cost of supporting Africa.

"We are talking about the range of money that is being spent on the mid-sized banks. Consider Africa as one of those banks."

Liberian President Ellen Johnson-Sirleaf added: "The cost of sustainability in reform and recovery is much, much less than the cost of peacekeeping were the crisis to engender a return to conflict."

Kikwete warned: "This is a very unprecedented problem. Africa is a victim. We are not responsible for its genesis but all of us are suffering."

Odinga added: "When there are problems in Africa, Africans will vote with their feet by coming to Europe.

"We want to retain those people in Africa by making conditions in Africa more attractive because otherwise they become a burden to Europeans."

chanzo; AFP: African leaders tell G20 crisis threatens 'chaos'
 
The head of the African Development Bank, Donald Kaberuka, called it an "emergency" at the meeting in London.

British Prime Minister Gordon Brown heard tales of woe from across the continent - 500,000 thrown out of work in copper mines in Zambia, farmers losing jobs in Tanzania when the cotton price halved, foreign receipts down everywhere because of a cut in tourism and the reduction in remittances sent home by workers living abroad.

chanzo; BBC NEWS | World | Africa | Downturn 'risks Africa conflict'

cheap, cheap, cheap shots... aibu aibu aibu! Hivi waafrika huwa hatuna sababu nyingine za kujitetea inapokuja suala la long term goals hasa kwenye investments?
 
Kwanza ni lini mambo yalishakuwa mazuri kiuchumi kwa kutumia misaada na mauzo hayo ambayo sasa yanakosekana?na sasa waseme wanataka kuu okoa uchumi,hiki si kichekesho? Yani wao wakisikia wenzao wanaimba hivi na wao wanaimba tu kama kasuku...Ni the same thing tu hata kwenye kuuparamia ubepari...Hawa watu wanaojiita viongozi wetu inabidi wakae chini waaanze kudesa upya maana naona sometimes si kwamba wanafanya makusudi,bali hawajui hata la kufanya....Kwa hiyo wao ni kuhamisha na kukariri tu...Wakiulizwa nini kimechangia umasikini hawajui,wakiulizwa mtafanya nini cha tofauti hawajui,wao wanaongea tu kama na wao ni mataifa makubwa ya kibepari.."Stimulus,stimulus" Mwalimu na yeye alikuwa akitoa baadhi ya vipande vya hotuba hususan za JFK na sisi kwasababu tulikuwa hatuna access na anything outside basi tunafurahi tu na kusubiri ni kipi nabii wetu mwalimu atasema,kasumba hiyo ambayo ilikuwa facilitated na siasa mbovu za chama cha mapinduzi ndiyo bado ipo na tatizo hawajui kuwa dunia imebadilika...Hivi hawajiulizi?
 

Kikwete warned: "This is a very unprecedented problem. Africa is a victim. We are not responsible for its genesis but all of us are suffering.

Kitu kikiwa hakijawahi kutokea kinaitwa unprecedented. Hakiwezi kuwa "very unprecedented." Aidha kimewahi kutokea au hakijawahi kutokea, unprecedented, period.

Isitoshe, sio kweli kwamba recession ya magnitude hii haijawahi ikumba dunia. Kumewahi kuwa na depression.

Na sasa ndio Rais kesha fungua dimba la vituko huko London.
 
Ahahaahha Uswahilini kuna vituko oops sorry African presidents wana vituko!!

Mama kwa kweli polepole, yaani karibu nidondoke kwa kucheka kwi kwi ahaha
 
Kwanza ni lini mambo yalishakuwa mazuri kiuchumi kwa kutumia misaada na mauzo hayo ambayo sasa yanakosekana?na sasa waseme wanataka kuu okoa uchumi,hiki si kichekesho? Yani wao wakisikia wenzao wanaimba hivi na wao wanaimba tu kama kasuku...Ni the same thing tu hata kwenye kuuparamia ubepari...Hawa watu wanaojiita viongozi wetu inabidi wakae chini waaanze kudesa upya maana naona sometimes si kwamba wanafanya makusudi,bali hawajui hata la kufanya....Kwa hiyo wao ni kuhamisha na kukariri tu...Wakiulizwa nini kimechangia umasikini hawajui,wakiulizwa mtafanya nini cha tofauti hawajui,wao wanaongea tu kama na wao ni mataifa makubwa ya kibepari.."Stimulus,stimulus" Mwalimu na yeye alikuwa akitoa baadhi ya vipande vya hotuba hususan za JFK na sisi kwasababu tulikuwa hatuna access na anything outside basi tunafurahi tu na kusubiri ni kipi nabii wetu mwalimu atasema,kasumba hiyo ambayo ilikuwa facilitated na siasa mbovu za chama cha mapinduzi ndiyo bado ipo na tatizo hawajui kuwa dunia imebadilika...Hivi hawajiulizi?
JMushi Raisi wetu ailiulizwa na Isha Sesay wa CNN walivyokuwa hapo BOT na alishindwa kujibu swali kwamba atafanya nini cha tofauti katika hali hii ya kiuchumi. Mwenzake wa South Afr alijibu wanakaa mkao wa kuanza kuangalia masoko within Africa (Kitu ambacho najua wameanza zamani tuu) na kuanza kujiandaa na Infrastructure ambayo uchumi ukikua itakuwa ready. Kikwete alisema hakuna kipyaa tutafanya yaleyale.
 
JMushi Raisi wetu ailiulizwa na Isha Sesay wa CNN walivyokuwa hapo BOT na alishindwa kujibu swali kwamba atafanya nini cha tofauti katika hali hii ya kiuchumi. Mwenzake wa South Afr alijibu wanakaa mkao wa kuanza kuangalia masoko within Africa (Kitu ambacho najua wameanza zamani tuu) na kuanza kujiandaa na Infrastructure ambayo uchumi ukikua itakuwa ready. Kikwete alisema hakuna kipyaa tutafanya yaleyale.

Mkuu Lusajo, Afrika kweli kichwa cha mwendawazimu. Unajuwa shida moja ni kwamba haya mataifa makubwa yameridhika na vibaraka wao na wanatuona sisi hamnazo.... kwanza sisi kuiga iga na wakati bado hatujajipanga na kurekebisha mifumo yetu mibovu ya sheria ili at least kuwe na uwajibikaji wa kweli,economic system yetu ni ya tofauti kabisa na kitu chochote hapa duniani, i mean system yetu.
Kwanza wao wanasema kuwa wanataka ku stimulate uchumi wa dunia kwa kuongeza Govt spending,kwa wenzetu accountability na transparency ndiyo wanavipa kipaumbele,sisi serikali yetu ikishachota haina wawajibikaji kwasababu hata demokrasia yetu ni changa sana na kwahiyo maamuzi ya viongozi wetu si neccessarily true wishes zetu,kuna u dikteta na mambo mengine kede kede kama ufisadi nk.

Nimeiweka habari hii hapa chini,lakini cha ajabu ni kwamba hatujifunzi na historia hata kidodgo kwasababu kwenye migogoro kama hii mara nyingi ndo huwa chumi za mataifa mbali mbali hu emerge depending na watakavyojipanga,certaeinly newer markets will be created and other innoveted economic activities...Lakini eti na sisi tunataka kusadia uchumi wa dunia kwa kuwalisha wenye njaa na kujaribu ku keep amani,yani mama wa Liberia kadai mapigano yata cost zaidi kama yakianza kwasababu ya kunyimwa pesa,na wakati ukweli ni kwamba pesa hizo hizo ambazo huwa wana zi missuse ndio uletea migogoro wakati mwingine ya kisiasa hence machafuko...Viongozi wetu wa Africa wanajuwa kabisa ni usanii kujidai wanatuongoza kwa manufaa yetu sisi waafrika kwasababu hata mipesa hiyo ambayo wamekuwa wakipewa since who know when,wanazifuja,na wenye kutoa pesa hawajali kwasababu wanachokipata kinalindwa na ma puppet wao wajinga....Na ndio maana wameshindwa kusema watafanya nini kipya.

Bila mapinduzi ya kweli Afrika nuttin will really happen..Hata Odinga mwenyewe kauli yake ndiyo kwa mbaali ili make sense kwasababu tu alikuwa akiwatisha wazungu kuwa wahamiaji watazidi kumiminika huko Europe kama jitihada za job creation hazitapewa kipaumbele..At least alikuwa kwene positive side of the message,lakini still bado sielewi serikali yetu kuendelea kupewa pesa ambazo wanazi miss use itausaidia vipi uchumi wa dunia,ni sawa tu na keki ambayo mabwana zao wanaanza kuwa ahidi kuwa na wao wataila kiaina na so wote pamoja wanakubaliana sababu za kuila keki hiyo ili kuwapumbaza wanaowapumbaza all the time....Acha niishie hapa kwasasa lakini cheki makala hii hapo chini...

Sana sana wanataka ku modify disbursement mechanism ili ziwafikie mapema,na sisi inatakiwa tuwe na mechanism za kuhakikisha transparency kwasababu serikali si ya watu binafsi.

UPDATE 1-African leaders petition G20 for more funds
By Adrian Croft and Carolyn Cohn

LONDON, March 16 (Reuters) - African countries petitioned the G20 on Monday for an increase in funding and easier access to international financing to help them through the global financial crisis.

More than 20 African leaders and ministers met British Prime Minister Gordon Brown to present a joint African position before the G20 summit of old and emerging economic powers that Brown will host on April 2. Brown will transmit their message to the G20, which will examine how to restart the stalled world economy and reform global financial institutions.

"South Africa is the only African member of the G20, although Brown has invited umbrella groups the New Partnership for Africa's Development and the African Union Commission to the summit.

Ethiopian Prime Minister Meles Zenawi said the critical issues African countries wanted addressed were additional funds and ease of access to those funds.
Asked how much additional money African nations wanted, Meles said the figures 'being bandied around' ranged as high as $50 billion.



He said the World Bank and International Monetary Fund had millions of dollars that could be released to African countries now 'by simply modifying the disbursement mechanisms'.

COST OF CRISIS

Liberian President Ellen Johnson-Sirleaf said the cost of keeping reform going was much less than the cost of peacekeeping operations if the economic crisis led to a resumption of fighting in her country, racked by a civil war between 1989 and 2003 that killed 200,000 people.
Leaders from Tanzania, Botswana and Kenya and finance ministers from Nigeria and Rwanda also attended.
Brown said he hoped the result of the G20 summit would be that every continent, including Africa, 'has its fair share of support over the next few months and equally that every continent feels that it can play a part in drawing up the plan for recovery.'
African ministers said the continent was being hard hit by the crisis and was seeing a reduction in overseas aid flows.

'In the case of Africa, people are going to die. We are talking about lives, not just somebody who will have to drive a smaller car,' Egyptian Finance Minister Youssef Boutros-Ghali told Reuters.
The risk was that overseas development aid would 'dry up or diminish,' South African Finance Minister Trevor Manuel told reporters. 'Some countries have indicated they are not capable of meeting these commitments,' he said.


'It is not possible to stimulate the world economy while ignoring the millions of the poor in Africa, south Asia and other places,' the President of the African Development Bank, Donald Kaberuka, told BBC radio before the meeting.
 
Kwanza ni lini mambo yalishakuwa mazuri kiuchumi kwa kutumia misaada na mauzo hayo ambayo sasa yanakosekana?na sasa waseme wanataka kuu okoa uchumi,hiki si kichekesho? Yani wao wakisikia wenzao wanaimba hivi na wao wanaimba tu kama kasuku...Ni the same thing tu hata kwenye kuuparamia ubepari...Hawa watu wanaojiita viongozi wetu inabidi wakae chini waaanze kudesa upya maana naona sometimes si kwamba wanafanya makusudi,bali hawajui hata la kufanya....Kwa hiyo wao ni kuhamisha na kukariri tu...Wakiulizwa nini kimechangia umasikini hawajui,wakiulizwa mtafanya nini cha tofauti hawajui,wao wanaongea tu kama na wao ni mataifa makubwa ya kibepari.."Stimulus,stimulus" Mwalimu na yeye alikuwa akitoa baadhi ya vipande vya hotuba hususan za JFK na sisi kwasababu tulikuwa hatuna access na anything outside basi tunafurahi tu na kusubiri ni kipi nabii wetu mwalimu atasema,kasumba hiyo ambayo ilikuwa facilitated na siasa mbovu za chama cha mapinduzi ndiyo bado ipo na tatizo hawajui kuwa dunia imebadilika...Hivi hawajiulizi?

Mkuu, yaani hilo ndio tatizo la viongozi wetu. Ukweli mpaka sasa hawana plan yoyote hata wakipewa hizo pesa kesho. Kibaya zaidi hawajui wanahitaji kiasi gani cha pesa kutatua hilo tatizo walilodandia juu kwa juu. Tanzania kuna viwanda vimefunga virago ''Cargrill'' lakini sijasikia tamko la JK sasa sijui anavyotaka kuwa part of stimulus package lengo lake ni kusaidia kitu gani?
 
JMushi Raisi wetu ailiulizwa na Isha Sesay wa CNN walivyokuwa hapo BOT na alishindwa kujibu swali kwamba atafanya nini cha tofauti katika hali hii ya kiuchumi. Mwenzake wa South Afr alijibu wanakaa mkao wa kuanza kuangalia masoko within Africa (Kitu ambacho najua wameanza zamani tuu) na kuanza kujiandaa na Infrastructure ambayo uchumi ukikua itakuwa ready. Kikwete alisema hakuna kipyaa tutafanya yaleyale.

That's why I say the man has nothing to say but just keeps on saying so we can hear his ignorant. Surely, the man has no plan with economic downturn and just wants money with no justifiable plan.
 

Kikwete warned: "This is a very unprecedented problem. Africa is a victim. We are not responsible for its genesis but all of us are suffering.

Kitu kikiwa hakijawahi kutokea kinaitwa unprecedented. Hakiwezi kuwa "very unprecedented." Aidha kimewahi kutokea au hakijawahi kutokea, unprecedented, period.

Isitoshe, sio kweli kwamba recession ya magnitude hii haijawahi ikumba dunia. Kumewahi kuwa na depression.

Na sasa ndio Rais kesha fungua dimba la vituko huko London.

Mama, hivyo ndivyo vituko vya msanii JK. Sitashangaa kusikia alikuwa akishangiliwa na waTZ london .....''Yes we can''... dispite of nonsense kwani najua ni walewale CCM london maana sijawahi ona public advert to meet JK in London for I could join.
 
Mama, hivyo ndivyo vituko vya msanii JK. Sitashangaa kusikia alikuwa akishangiliwa na waTZ london .....''Yes we can''... dispite of nonsense kwani najua ni walewale CCM london maana sijawahi ona public advert to meet JK in London for I could join.

Ni kweli, hivi atakutana na WaTanzania wa London? Ni lazima aulizwe maswali ya msingi.

Kama kila anapokwenda majuu, watu waliokuwa huko wanamuandama na maswali nadhani mwishowe atakuwa anajificha, hata kupunguza safari zake za majuu, na kuanza kufanya vitu vya maana akiwa Tanzania.
 
Mama, hivyo ndivyo vituko vya msanii JK. Sitashangaa kusikia alikuwa akishangiliwa na waTZ london .....''Yes we can''... dispite of nonsense kwani najua ni walewale CCM london maana sijawahi ona public advert to meet JK in London for I could join.

Oh yeah kweli kabisa aisee...hiyo stupid chant ya yes we can huenda washabiki wa Kikwete na wenyewe wakaiiga....sickening
 
Ni kweli, hivi atakutana na WaTanzania wa London? Ni lazima aulizwe maswali ya msingi. Kama kila anapokwenda majuu, watu waliokuwa huko wanamuandama na maswali nadhani mwishowe atakuwa anajificha, hata kupunguza safari zake za majuu, na kuanza kufanya vitu vya maana akiwa Tanzania.

Si watu wa London, I can bet this....Jamaa atakutana na Watanzania wajumbe wa Tawi la CCM Hotelini alikofikia. Hakuna kipya watamwambia zidumu fikra zako sahihi za CCM kumpigia makofi kwisha...mzee ataomba privacy kwa yale mambo anayoyapenda na kurudi TZ.
 
JMushi Raisi wetu ailiulizwa na Isha Sesay wa CNN walivyokuwa hapo BOT na alishindwa kujibu swali kwamba atafanya nini cha tofauti katika hali hii ya kiuchumi. Mwenzake wa South Afr alijibu wanakaa mkao wa kuanza kuangalia masoko within Africa (Kitu ambacho najua wameanza zamani tuu) na kuanza kujiandaa na Infrastructure ambayo uchumi ukikua itakuwa ready. Kikwete alisema hakuna kipyaa tutafanya yaleyale.

Ile ilikuwa ni aibu tosha. Alijidhalilisha sana. Hivi imerushwa kwa kiswahili kwenye TV za bongo?

JK alisema hana plani mpya, ataendelea kufanya Road Shows, na hotuba za kila mwezi kuwaeleza wananchi kinachoendela duniani. Hajui kwamba, yeye kama kiongozi mkuu ana kazi ya kutoa mikakati mipya, kulingana na hali halisi na kuisismamia kuhakikisha utekelezaji wake!
 
Ni kweli, hivi atakutana na WaTanzania wa London? Ni lazima aulizwe maswali ya msingi.

Kama kila anapokwenda majuu, watu waliokuwa huko wanamuandama na maswali nadhani mwishowe atakuwa anajificha, hata kupunguza safari zake za majuu, na kuanza kufanya vitu vya maana akiwa Tanzania.

Utatu
Maswali ya msingi ameulizwa kwa miaka 3 na amebuni mtindo wa kukwepa kuyajibu. I think we must think ahead of him, yaani tumfanye nini huyu Muungwana? Kwa mfano ni lazima aambiwe wazi aache tabia ya kukwepa maswali kwani hiyo inaonesha udhaifu wake binafsi kama kiongozi na pia anaaibisha taifa la Tanzania. Pili afikishiwe salamu kuwa, akikwepa maswali, akichagua wa kumuuliza hataweza kuchagua au kukwepa wapigakura
 
Shida ni kwamba misaada hiyo inatolewa na mataifa hayo makubwa kwa vigezo kwamba ili kustimulate uchumi tuongeze matumizi ya serikali....Mkapa aliambiwa uchumi chini ya leadership yake ulikuwa kwa kasi na hii ni kutokana na gharama za mafisadi wa serikalini kama vile kununuwa mshangingi,kuwasikiliza mabepari na kupindisha sheria na taratibu zinazolinda haki ya mwananchi wa kawaida nk...Lakini wakati wa kuomba pesa hizo wanalia njaa,eti wananchi wanakufa njaa,kumbe wapi ni wao wanajaza matumbo yao na kufuru za matumizi yasiyo ya msingi.
Hivyo basi hakuna wa kuweza kutusaidia sisi wananchi,ni sisi wenyewe tutaweza kujisadia kwa kuhakikisha transparency na accountability,thats the bottomline,wao wakiipa pesa serikali wana assume wamba ina take care of people kwasababu the people themseleves have elected the so leaders,ni ngoma iko kwetu.
 
Back
Top Bottom