Nyerere fit to be a saint - Museveni

KABLA YA YOTE TUANGALIE HISTORIA YA HAWA JAMAAA WANAOTAKA KUPACHIKANA UTAKATIFU NA KUJIPA VYEO AMBAVYO BINADAMU HAWEZI KUJITABIRI KUWA YEYE NI MTAKATIFU ...WANA MAZAMBI KIBAO.

Mazee jaribu kuheshimu wanachoamini wengine provided hawali kwako wala hawajakuomba ushauri. Hata wakiamua kumfanya Nyerere mungu wao ilimradi hawavunji sheria za nchi ni ruksa mazee. Hawajaja kuazima jamvi kwako wala kuomba chumvi kwenye sherehe yao.

Ila kama vipi MODS wanaruhusu komentsi za dizaini hii basi iwekwe wazi ili na mimi niende kuzama kwenye shelfu langu ili tujadili hadithi za mtume na Koran yake ili kubalansi uwiano au sio?
 
sasa viongozi wa siasa jinsi walivyo na maskendo halaf awe saint si wizi huoo...


Kwanza inasemekana nyerere ndio alimua karume na sokoine.


Mkurugenzi wangu Osama, kuwa mwangalifu please! waanzilishi wengi tu wa dini hasa kutoka mashariki ya mbali tunaowashabikia walikuwa wauaji wakubwa! kweli si kweli?
 
HAYA JAMA KWAZI KWENU UFAFANUZI....UTAKATIFU UKO WAPI HAPA..!

SEMA UKWELI HATA KAMA UTACHUKIWA...

VIBARAKA HAWA WA NYERERE.

Mazee ustaarabu hauuzwi dukani. Unaharibu mjadala kwa kutuletea maelezo mareeeefu yasiyohusiana na mada na bado unaongezea komentsi zako zenye matege.

Jaribu kutumia akili na busara kidogo.
 
hii kali kwa lipi...hawakawii kusema alitumwa na roho mtakatifu..mhhhh au yumo nae kwenye utrinity..angalieni msije mkawa kama mabaniani kila kitu mungu...duh

Mabaniani nao ni dini yao na wanahaki ya kuiamini, tena ukute ya kwako wanaiona takataka kabisa!! Kwasababu kwanza wao ile ni dini ya kwao ya asili hawakupandikizwa na mtu yeyeote! Na wanavyoiheshimu hawataki hata kumfundisha mtu, wanajua mtainajisi! Jifunze kuheshimu imani za wenzako ili kuleta amani duniani.
 
Fit ot be saint or not, the buck stops with GOD! I doubt if this changes anything, anywhere, than in the minds of those who want to silence poor people by offering an excuse, a spiritual swap for real and hard problems that we face day in day out?
Is it not a waste of time, money and effort trying to further confuse Tanzanians about JKN's saintship, while they keep on suffering from hunger, diseases, and lack of education which JKN started fighting against and failed in the long run?
IF JKN is a saint, then he already IS. Full stop! Why the hell do we have to labour, spend money, tme and effort trying to convince GOD!!! Does GOD attend those meetings in which Museveni, Mkapa and the likes make their cases? What do we (as a Nation, or |People) gain from it?
I do not get it!
 
Nyerere is dead, so whatever we do with his name will not help us in any way apart of being used by some opportunists as the political and business capital. Maana kama he could do something after his death we wacha mafisadi wangekula bakora na kufilisiwa na chiparanga (jela) wangeiona. M7 ana agenda yake ya siri pamoja na wale woooooooooooote wanaoliimba hilo jina Nyerere.
 
Dilunga,
Pitia tena facts zako. By the time Hanga anarejeshwa Zanzibar Kambona alikuwa tayari mkimbizi London. Kwa hiyo haiyumkiniki kuwa Kambona alimshauri Nyerere asirejeshwe Zanzibar.
 
Fit ot be saint or not, the buck stops with GOD! I doubt if this changes anything, anywhere, than in the minds of those who want to silence poor people by offering an excuse, a spiritual swap for real and hard problems that we face day in day out?

Mazee naona unaungaunga vitu ambavyo havina uhusiano. Imani kumhusu Nyerere kuwa mtakatifu ipo entitled na waumini wa dhehebu husika. Kama wewe unaona Mungu ndiye wa kumchagua fulani awe mtakatifu au la, ni suala jema ila waache wanaopenda kuamini tofauti na wewe ili mradi tu hawavunji sheria wafanye hivyo. Nadhani ndio ustaarabu na uhuru wa kuabudu.Kuhusu maskini wanaokuwa silenced na hii procedure, kivipi? na nani? Mazee naona hatupo ukurasa mmoja.

Is it not a waste of time, money and effort trying to further confuse Tanzanians about JKN's saintship, while they keep on suffering from hunger, diseases, and lack of education which JKN started fighting against and failed in the long run?

Mazee umasikini wa watanzania hauna mahusiano yeyote na hii procedure. Usianganishe matukio yasiyohusiana. Gharama za kuendesha hili zoezi sidhani kama zinategemea Hazina au ofisi ya Mkulo, hii inagharamiwa na waumini na wengine wanaoona inawapendeza.

IF JKN is a saint, then he already IS. Full stop! Why the hell do we have to labour, spend money, tme and effort trying to convince GOD!!! Does GOD attend those meetings in which Museveni, Mkapa and the likes make their cases? What do we (as a Nation, or |People) gain from it?
I do not get it!

Naona umefakamia habari bila kuielewa na kuanza kuleta conclusion zako. Hilo kusanyiko lilikuwa ni special prayers tu. Na kama wewe sio muumini haukuhusu sana, just drop the whole thing ..Maana inaonesha huelewi walichokuwa wanakifanya na umeanza kubeza vitu usivyovielewa na matokeo yake unaweza kuleta mtafaruku hapa jamvini.
 
Nyerere is dead, so whatever we do with his name will not help us in any way apart of being used by some opportunists as the political and business capital. Maana kama he could do something after his death we wacha mafisadi wangekula bakora na kufilisiwa na chiparanga (jela) wangeiona. M7 ana agenda yake ya siri pamoja na wale woooooooooooote wanaoliimba hilo jina Nyerere.

Mazee, hilo kusanyiko lilikuwa ktk religious gathering, wewe kama sio subscriber wa hilo dhehebu haikuhusu sana. Whatever is happening there is none of your bussiness, provided hawajakuomba chochote na wala hawavunji sheria za nchi.

Pia, huna mamlaka ya kuwapangia nini wafanye na nini wasifanye kwa sababu you are a nobody mazee. Just sit back relax wakati wengine wakitumia haki yao ya kikatiba ku-exercise uhuru wa kuabudu .
 
mazee naona unaungaunga vitu ambavyo havina uhusiano. Imani kumhusu nyerere kuwa mtakatifu ipo entitled na waumini wa dhehebu husika. Kama wewe unaona mungu ndiye wa kumchagua fulani awe mtakatifu au la, ni suala jema ila waache wanaopenda kuamini tofauti na wewe ili mradi tu hawavunji sheria wafanye hivyo. Nadhani ndio ustaarabu na uhuru wa kuabudu.kuhusu maskini wanaokuwa silenced na hii procedure, kivipi? Na nani? Mazee naona hatupo ukurasa mmoja.



Mazee umasikini wa watanzania hauna mahusiano yeyote na hii procedure. Usianganishe matukio yasiyohusiana. Gharama za kuendesha hili zoezi sidhani kama zinategemea hazina au ofisi ya mkulo, hii inagharamiwa na waumini na wengine wanaoona inawapendeza.



Naona umefakamia habari bila kuielewa na kuanza kuleta conclusion zako. Hilo kusanyiko lilikuwa ni special prayers tu. Na kama wewe sio muumini haukuhusu sana, just drop the whole thing ..maana inaonesha huelewi walichokuwa wanakifanya na umeanza kubeza vitu usivyovielewa na matokeo yake unaweza kuleta mtafaruku hapa jamvini.




mtarudishwa utumwani bila ya pingu wala kelele.
 
Fit ot be saint or not, the buck stops with GOD! I doubt if this changes anything, anywhere, than in the minds of those who want to silence poor people by offering an excuse, a spiritual swap for real and hard problems that we face day in day out?
Is it not a waste of time, money and effort trying to further confuse Tanzanians about JKN's saintship, while they keep on suffering from hunger, diseases, and lack of education which JKN started fighting against and failed in the long run?
IF JKN is a saint, then he already IS. Full stop! Why the hell do we have to labour, spend money, tme and effort trying to convince GOD!!! Does GOD attend those meetings in which Museveni, Mkapa and the likes make their cases? What do we (as a Nation, or |People) gain from it?
I do not get it!

Bado na wewe unahangaika tu, binadamu anatumia hela kum-convince Mungu!!?? Kina Mkapa ni wakatoliki wana-spend muda kwa sababu hiyo tu,.... wewe na mimi ndiyo tunaingilia!
Na unahakika gani kuwa Mungu wao ndiyo wako? labda wako tofauti kabisa! so they are not convincing your God, they convincing theirs!! Kisikuume baba ni imani yao!

Then unasema Hotuba za JK Nyere zime- expire! Unaakili kweli wewe??
 
Nyerere kupewa usaint ni fraud, lakini fraud kubwa kuliko hii ni hii idea nzima ya mungu baba anayetujali na kutulinda na kanisa lake linalomuwakilisha duniani (That goes for misikiti na any organized religion yenye a personal god, just in case you are wondering if I am caught up in the superhype squabbles of the Christian-Muslim divide, by the way)Hii ndiyo inasababisha watu wawe kondoo na kukubali upuuzi wa mtu kuwa mtakatifu.

Hakuna haja ya debate wala nini, kama wakatoliki wanataka kumfanya Nyerere kuwa demi-god au hata god almighty wana haki ya kumfanya hivyo, si kanisa lao, na wao wana process zao?

Lakini kwa watu wanaofuata reason watachambua mambo kwa vichwa vyao, wala hawatangoja kanisa -kanisa lenye visa lukuki vya kuwafanya mafiosi waonekane kama watoto - liwaambie nani mtakatifu na naNi si mtakatifu.

Kwa kazi yake mtu anajulikana, na kama mambo aliyofanya Nyerere ni utakatifu bora hata sie wasela tusio na muda wa kwenda kanisani kujazwa upuuzi huu kuliko ukondoo wa kukubali matusi haya kwa upembuzi wetu.

Marx alisema dini ni ulevi wa kadamnasi, Juvenal alisema ukitaka kuwatawala watu wape mkate na sarakasi (dini ni sehemu ya sarakasi tu)Kwa hiyo sishangai kwa nini watu wanataka kumpa Nyerere utakatifu.Ninachoshangaa ni kwamba tangu enzi za kina Juvenal mpaka leo bado watu hawajazishtukia sarakasi hizi za illuminati.
 
Last edited:
Nyerere kupewa usaint ni fraud, lakini fraud kubwa kuliko hii ni hii idea nzima ya mungu baba anayetujali na kutulinda na kanisa lake linalomuwakilisha duniani (That goes for misikiti na any organized religion yenye a personal god, just in case you are wondering if I am caught up in the superhype squabbles of the Christian-Muslim divide, by the way)Hii ndiyo inasababisha watu wawe kondoo na kukubali upuuzi wa mtu kuwa mtakatifu.

Mazee hadi hapa hujazungumza chochote kinachohusiana na mada, zaidi ya chuki na maono yako binafsi. Kama unaona u-takatifu wa Nyerere hukubaliani nao huna haja ya kuuita fraud. Hizi kashfa ndio hasa hatuzitaki, na hakuna haja ya kutukana imani za watu na kuwaita kondoo. Kuna jukwaa la dini na imani kule unaweza kwenda na kutoa unachoona ni kuwafunza hawa unaowaita kondoo.
 
Hakuna haja ya debate wala nini, kama wakatoliki wanataka kumfanya Nyerere kuwa demi-god au hata god almighty wana haki ya kumfanya hivyo, si kanisa lao, na wao wana process zao?

Wewe wasema..na hakuna aliyekuuliza mazee.

Lakini kwa watu wanaofuata reason watachambua mambo kwa vichwa vyao, wala hawatangoja kanisa -kanisa lenye visa lukuki vya kuwafanya mafiosi waonekane kama watoto - liwaambie nani mtakatifu na naNi si mtakatifu.

Acha u-comedy mazee. Wewe kama wajiona umehitimu na mwenye maarifa kuliko hao unaowaona kondoo, HONGERA SANA, ila usilete kashfa kwenye taratibu za wengine zilizoainishwa kikatiba. Kejeli unazoleta inaonesha jinsi ustaarabu umekupitia pembeni, na hata hiyo unayoita reason uwezekano mkubwa ni your own wishes, mazee.

Kwa kazi yake mtu anajulikana, na kama mambo aliyofanya Nyerere ni utakatifu bora hata sie wasela tusio na muda wa kwenda kanisani kujazwa upuuzi huu kuliko ukondoo wa kukubali matusi haya kwa upembuzi wetu.

Kama hujui kitu ni vyema ukauliza kuliko kuanza kujiabisha mbele ya kadamnasi. Utakatifu wa Nyerere haukuhusu kama wewe sio muumini, na hata ukieleweshwa haitakusaidia maana sio mmoja wa kondoo, kama ulivyosema mazee. Hivyo mazee just chill tu wakati wananchi wanakula bata kufuata imani wanayoiona ni sahihi mradi tu imeainishwa kikatiba.

Marx alisema dini ni ulevi wa kadamnasi, Juvenal alisema ukitaka kuwatawala watu wape mkate na sarakasi (dini ni sehemu ya sarakasi tu)Kwa hiyo sishangai kwa nini watu wanataka kumpa Nyerere utakatifu.Ninachoshangaa ni kwamba tangu enzi za kina Juvenal mpaka leo bado watu hawajazishtukia sarakasi hizi za illuminati.

Heri yako wewe uliyestukia hizi sarakasi na ulevi wa kadamnasi. Ila kama nilivyosema, waache wafu wawazike wafu wao mradi tu hawakubughudhi. Heshima ni kitu cha bure.
 
Back
Top Bottom