"We are for dialogue but we don't believe in transactional dialogue"........nice comment, most of African dictetors believe in bribing their opponents and then call it dialogue, maridhiano kama ya mbowe na ccm.
Ni upumbavu na poor military strategy kuua kiongozi mzee wa miaka 86, na kua replaced na kiongozi mgine wa miaka 55. Pale kuna system mifumo ya generation kama 10 Irana sio venezuela au Tanzania kwamba ukiua kiongozi mifumo inakufa inanza ipya kujipanga , kwa hilo wameshindwa nawenyewe wamesha...
Unajua gharama za vita hi kwa upande wa merikani mpaka sasa hivi ni kubwa kuliko GDP ya Tanzania? kweli iko tayali kuendelea kupoteza mali kiasi hicho au anataka kukmbia vita hivi karibini kwa kujitangazia ushondi.
Huyu jama anatafuta mtu wakumuuzia vita, US wana tabia nchi nyingine ikiingia kusaidia yeye Merikani anajitoa na kuacha ile nchi iendelee na mapigano ndo zake hizo, ila nchi za Nato zilishamjua kitambo hapo alipo anatafuta exit route ila aioni kabisa.
Bakwata ni wanabidia sana mareed wanao tangaza na kupa umuhimu ni jikwa la siasa kwao kuweka sera na matangazo kwa watanzania wasio elewa dini yao mauredi ni political capital kwa bakwata sio dini.
Akaandika wapi kwamba na wewe mkristo anza kufunga? Tena funga ya Yesu ilikua tofauti na hi ya kwerizima Yesu alifunga siku 40 bila kula au kunywa, hapa watu wanafunga aina ya chakula eti Nyama, hiyo ni comedy mkuu.
Hamna kufuata miruzi BAKWATA wana dhihaki Dini yetu kwa kutanguliza siasa kuliko Imani, kwasbb waislam wengine kama kua bakwata ni ujira mko tayari kutetea upuuzi weni, aibu tunaiona sie tunao tanguliza Imani kuliko masirahi,.......muislamu mwenye uelewa mwenye akili timamu asio kua na upande...
Acha kutetea upuuzi huo hao BAKWATA wako wanatudhalilisha mbele ya uso wa dunia, dunia nzima ina sherekea Iddi siku ya Ijumah kasoro hao wa pumbavu wa bakwata , ambieni wa ondowe siasa kwenye dini yetu, mambo yao ya usalama wayapeleke pengine.
Mkuu jambo muhimu ni BAKWATA kubadilika siasa zao zimesha pita na wakati, mpaka wasio waislamu wameshituka, mkuu acha kupangia watu lipi la kujadili kama wanacho jadili sio Fatua au Quran ila upuuzi wa baadhi ya viongozi wetu sioni shida yote, wambie viongozi wa bakwata wabadilike waislamu wame...
Mimi nimesomea mkoani vyakula vyao na vipenda sana na ni rahisi kuvinunua na ni vizuri kwa afya, imagine kuna mikoa sh 10,000 famila ya wawaida wanakula breakfast and lunch, jambo ambalo ni gumu hapa pwani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.