Recent content by Covax

  1. C

    Bobi Wine: I intend to go back to my country, my freedom has to be guaranteed

    "We are for dialogue but we don't believe in transactional dialogue"........nice comment, most of African dictetors believe in bribing their opponents and then call it dialogue, maridhiano kama ya mbowe na ccm.
  2. C

    Makonda: Wanaodhoofisha jitihada za Rais Samia kisa tamaa za kupata Urais mwaka 2030 hawatofanikiwa

    Ni wakina nani hao wanao taka uraisi kwa kumjumu Raisi?
  3. C

    Mafanikio ya Trump kwenye vita baada ya Siku 20: Mafuta ya Russia na Iran yameondolewa vikwazo

    Ni upumbavu na poor military strategy kuua kiongozi mzee wa miaka 86, na kua replaced na kiongozi mgine wa miaka 55. Pale kuna system mifumo ya generation kama 10 Irana sio venezuela au Tanzania kwamba ukiua kiongozi mifumo inakufa inanza ipya kujipanga , kwa hilo wameshindwa nawenyewe wamesha...
  4. C

    Mafanikio ya Trump kwenye vita baada ya Siku 20: Mafuta ya Russia na Iran yameondolewa vikwazo

    Ngome ipi imevunjwa, misile bado zinarushwa, nucreal plant iko intact, Ngome ipi imevunjwa au hujui maana ya ngome?
  5. C

    Mafanikio ya Trump kwenye vita baada ya Siku 20: Mafuta ya Russia na Iran yameondolewa vikwazo

    Unajua gharama za vita hi kwa upande wa merikani mpaka sasa hivi ni kubwa kuliko GDP ya Tanzania? kweli iko tayali kuendelea kupoteza mali kiasi hicho au anataka kukmbia vita hivi karibini kwa kujitangazia ushondi.
  6. C

    Mafanikio ya Trump kwenye vita baada ya Siku 20: Mafuta ya Russia na Iran yameondolewa vikwazo

    Sawa kauua viongozi wengi wa Iran na raia wasio kua na hatia, ila malengo yake ya kuanzisha vita yalikua yapi? Regime change kafanikisha au la?
  7. C

    Mafanikio ya Trump kwenye vita baada ya Siku 20: Mafuta ya Russia na Iran yameondolewa vikwazo

    Huyu jama anatafuta mtu wakumuuzia vita, US wana tabia nchi nyingine ikiingia kusaidia yeye Merikani anajitoa na kuacha ile nchi iendelee na mapigano ndo zake hizo, ila nchi za Nato zilishamjua kitambo hapo alipo anatafuta exit route ila aioni kabisa.
  8. C

    Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

    Bakwata ni wanabidia sana mareed wanao tangaza na kupa umuhimu ni jikwa la siasa kwao kuweka sera na matangazo kwa watanzania wasio elewa dini yao mauredi ni political capital kwa bakwata sio dini.
  9. C

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Akaandika wapi kwamba na wewe mkristo anza kufunga? Tena funga ya Yesu ilikua tofauti na hi ya kwerizima Yesu alifunga siku 40 bila kula au kunywa, hapa watu wanafunga aina ya chakula eti Nyama, hiyo ni comedy mkuu.
  10. C

    Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

    Hamna kufuata miruzi BAKWATA wana dhihaki Dini yetu kwa kutanguliza siasa kuliko Imani, kwasbb waislam wengine kama kua bakwata ni ujira mko tayari kutetea upuuzi weni, aibu tunaiona sie tunao tanguliza Imani kuliko masirahi,.......muislamu mwenye uelewa mwenye akili timamu asio kua na upande...
  11. C

    Dini imetekwa na miujiza

    Wenzetu wa kuristo mna kazi kubwa ya kudhibiti utititli wa manabi fake, Dini yenu imeshakua biashara kwa baadhi ya watu.
  12. C

    Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

    Acha kutetea upuuzi huo hao BAKWATA wako wanatudhalilisha mbele ya uso wa dunia, dunia nzima ina sherekea Iddi siku ya Ijumah kasoro hao wa pumbavu wa bakwata , ambieni wa ondowe siasa kwenye dini yetu, mambo yao ya usalama wayapeleke pengine.
  13. C

    Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

    Mkuu jambo muhimu ni BAKWATA kubadilika siasa zao zimesha pita na wakati, mpaka wasio waislamu wameshituka, mkuu acha kupangia watu lipi la kujadili kama wanacho jadili sio Fatua au Quran ila upuuzi wa baadhi ya viongozi wetu sioni shida yote, wambie viongozi wa bakwata wabadilike waislamu wame...
  14. C

    Je, ni kweli mwanaume unajua kuwa chakula hiki hakikupikwa na mke wako?

    Mimi nimesomea mkoani vyakula vyao na vipenda sana na ni rahisi kuvinunua na ni vizuri kwa afya, imagine kuna mikoa sh 10,000 famila ya wawaida wanakula breakfast and lunch, jambo ambalo ni gumu hapa pwani.
Back
Top Bottom