Recent content by Covax

  1. C

    JamiiForums Tanzania Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

    Most of my bussiness and domestic enemies walitokana na huruma wakuuwakopea pesa tangu 2017 sera yangu fedha ni no neglegence personal loans anymore nacho kusaidi ni kuku-recommend kupata mkopo benki au microfinance ila mimi sikupi hata 500k
  2. C

    JamiiForums Tanzania Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

    Ushauri wangu ni don't usidhubutu kama huwezi kumsaidia ya bure jifunze kusema Big No sina pesa.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Hata kama atalipa ukishamkopea pesa ukwisha

    Kwanini umkopea mtu pesa wewe ni micro finance au benki ? huo ni huruma wakijinga bora nikusaidie pesa ya bure kama msaada, sitaki kujitafutia maadui wa hiari.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Maisha Yamenifundisha Jambo Moja: Usisubiri Mtu Akuokoe

    Kuna kundi ambalo tunajiita self-made, hatuna God-father in life only trust your self,
  5. C

    JamiiForums Tanzania Sheikh Walid apewe stahiki zake zikiambatana na usumbufu

    Acheni kuchochea yasio wahusu kila taasisi ina taratibu zake na kanuni zao, shkh mkuu wa mkoa tuhuma kama hizo za uzinzi tu zinatosha kujiuzuru, ila kuna wapumbavu wanao msapati ile kushabikia na kudhalilisha uislamu
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kukamatwa kwa muhadhiri wa UDOM, hakuwezi kuathiri autonomy za wakufunzi wetu?

    In America, when a pupil comes late to class, they are given bread to eat dry as a punishment 😂. We tried this in Africa... even the teachers started coming late🤣😂
  7. C

    JamiiForums Tanzania Roho Kuukuu: Watoto Wenye Busara za Wazee

    HIyo ni Imani ya dini ya Kihindu kule india reacarnation theory
  8. C

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi Wine Appoints Nambeshe Acting NUP President

    Akirudi yule shetani mtoto wa Mseveni si alahidi kumuua, je ungekua wewe?
  9. C

    JamiiForums Tanzania Kuna unyakuaji mkubwa sana wa Aridhi unakuja ambao haujawahi shuhudiwa tangu vizazi na vizazi. Viji

    La mihimu kizingatia ni masrahi paana ya nchi na kufuata utaratibu wa sheria, rangi ya muakazajo sio issue kabisa.
  10. C

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Muwanga Kivumbi Re-Arrested Hours After Release on Bail

    Wanganda wanapashwa kujikusanya na kupambana na huyu drankard son of Museven Muhoozi is behind all this atrocities of opposition members
  11. C

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anachunguza mno simu yangu

    Kama huna pravancy ya mambo yako kwenye simu kwasbb ya mke mkuu hilo ni tatizo kubwa na kushauri ubadili mke kumpa momba soo suruhisho ataendelea kukusimbua tu.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Ni kweli jiji la Mbeya mabinti wengi 19 - 24 ambao wapo nyumbani ni ngumu kumpata asie na mtoto ? Chanzo ni nini ?

    Mkoa gani hapa Tanzania utakapo pata bint 19 kwa 24 haja zaa bado usukumani miaka 24 huyu bint tayali ana wajukuu, Dodoma ni zaidi ya hateri 13 mimba tayali
  13. C

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua Vyuo vinavyotoa kozi ya Ualimu wa awali ngazi ya cheti

    Mbona hivyo vyuo vipo vingi sana kila mkoa Dar es salaam kuna Rua gongola boto, Mwanza kuna Bhongwa TC Bitimba nk.
  14. C

    JamiiForums Tanzania John Heche amjibu Saada: Wazanzibari wanaoishi Tanganyika nao wanyimwe matibabu?

    Hili suala sio la kulialia ili tuonewe huruma, Tanganyika peeni raia wote bima ya afya bure sisi ndo walipa kodi kubwa, kwanini wazazibar wanapewa matibabu bure wakati kodi zao ndogo sie tukalipia matibabu??
  15. C

    JamiiForums Tanzania Iran Yatangaza Maofisa Wake Wawili Kuuawa na Mashambulizi ya Israel

    Israel marufuku kutangaza walio kufa, ukifanya hivo ni usaliti adhabu ni kifungo cha miaka.
Back
Top Bottom