Recent content by Covax

  1. C

    Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Hizi ndo mada tunazo zihitaji zinachochea critical thinking ya watu, ila kondo za bwana nyingi zinatanguloza mihemuko ya Imani zao badala ya akili zao, Kweli mtu asulubiwa kwa siku moja awe mlokozi wa billions of people kwa kitendo cha masaa tu, aliingii akilini kabisa.
  2. C

    Askofu Yvette Flunder, kiongozi mkuu wa kanisa amezua mjadala mzito

    Muuliza Askofu mwenyewe kama ni kweli au laa.
  3. C

    Askofu Yvette Flunder, kiongozi mkuu wa kanisa amezua mjadala mzito

    Makubwa mkuu sasa maskofu na mapadiri wameshakua Waislamu !!! Na bado mtakibiana mtakanana huwezi kujenga imani kwa kutumia ubadilifu na uongo mwisho wake ni kama huo mbaanza kutowana kwenye Dini yenu wenyewe kwa wenyewe bila mtu wa nje.....
  4. C

    Askofu Yvette Flunder, kiongozi mkuu wa kanisa amezua mjadala mzito

    Mbona unatoka nje ya mada kwani askfu kaongelea Quran mkuu jitahidi kuficha chuki zako plz.
  5. C

    Askofu Yvette Flunder, kiongozi mkuu wa kanisa amezua mjadala mzito

    Askofu Yvette Flunder, kiongozi mkuu wa kanisa la City of Refuge United Church of Christ na mkuu wa umoja wa makanisa ya The Fellowship of Affirming Ministries, amezua mjadala mzito baada ya kusema kuwa Biblia ina mapungufu makubwa na kuna haja ya kuwa na "Agano la Tatu." Katika ujumbe wake kwa...
  6. C

    Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Kondo wengi tunajiita wana Israel na tunaliona kua taifa teule la umuungu na tuna peperusha bendera za Israel katika majumba yetu kwenye magari na maofisini kwetu, sasa inakua je ku dhalilisha na kuvunja miguu na mikona ya Mungu wetu, mimi binafsi hiki kitendo na kikemea na kukilaani sana. ===...
  7. C

    Ni faida zipi za kuoa mwanamke unae mzidi miaka zaidi ya 20 (cross generation marriage)

    Hoja yako haina mashiko kabisa hiyo ya machuchu, kuna wa miaka 16, machuchu yamelala kama ndala za bafuni, hiyo ya machuchu ni nature ya mtu.
  8. C

    Ni faida zipi za kuoa mwanamke unae mzidi miaka zaidi ya 20 (cross generation marriage)

    Kwani mkuu na Trump na late Mengi wote ni content creation? Hayo mambo yapo kweli.
  9. C

    Ni faida zipi za kuoa mwanamke unae mzidi miaka zaidi ya 20 (cross generation marriage)

    Faida zipi zinazo patikana kwa cross generation marriage mpaka watu muhimu kufanaya hivo?
  10. C

    Ni faida zipi za kuoa mwanamke unae mzidi miaka zaidi ya 20 (cross generation marriage)

    Acha kuhusisha Imani za watu na mijadala ya kawaida kwani unakosa nini usipo taja imani za watu.
  11. C

    Ni faida zipi za kuoa mwanamke unae mzidi miaka zaidi ya 20 (cross generation marriage)

    Viongozi wa kuu na wasomi wengi pamoja na watu wenye pesa wengi huoa wake wadogo sana wanao wazidi karibia miaka 20 kwa 50, kua wake zao pindi wenza wao wa mwanzo kuachana au kufa, kwa mfano mzuri Donald Trump wa US 72yrs mke ni 38 kuna siri gani? Ila masikini akioa bint mdogo kelele kila mahara...
  12. C

    Thousands Join 13th Kabaka Birthday Run for Health and HIV Fight

    Hivi kabaka ndo nani uko Uganda mbona anawafuasi kuliko Museveni? Kwanini asimuondowe m7 madarakani.
  13. C

    Uongo Mwingine wa Mathayo uko hapa:

    Mkuu hili jambo ni la public all humanity kukemea uongo ni kazi ya kila binaadamu mpenda ukweli hayo yana nihusu sana.
Back
Top Bottom