Ni "White elephant project," JPM alikurupuka kuweka pesa za ummah kwenye kijenga mali, wakati huo huo anajenga daraja la busisi, hiyo meli itatoa wapi mzigo wa kubeba?
Jifunzeni kutii utaratibu wa chuo, kwani TRA ukilipia kodi ya gari 11m ukilipia 10m na laki tisa hiyo gari i anaruhusiwa kutoka yard ya TRA? Kwanini likija suala la elimu mnapenda kulalalamika ili muonewe huruma?
Biblia inasema Hesabu 11:21
"Lakini Musa akasema, 'Watu ninao pamoja nami ni laki sita (600,000) wanaotembea kwa miguu; nawe wasema, 'Nitawapa nyama, wapate kula kwa mwezi mzima!"
Qur'ani inasema; Surah Ash-Shu'araa - 26:54
kuwa Firauni na watu wake walisema: "Na wakasema, 'Hakika hawa ni...
Mungu wa mababu zetu alimfufua Yesu, yule mliyemuua kwa kumning’iniza mti. (Matendo 5:30)
Basi Yesu aliposema:
Na asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hastahili mimi. (Mathayo 10:38)
Ingepasa aseme, "Chukua mti wako na unifuate..."
Je, ishara ikawa msalaba lini?
Hizi ndo mada tunazo zihitaji zinachochea critical thinking ya watu, ila kondo za bwana nyingi zinatanguloza mihemuko ya Imani zao badala ya akili zao,
Kweli mtu asulubiwa kwa siku moja awe mlokozi wa billions of people kwa kitendo cha masaa tu, aliingii akilini kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.