Hizi ndo mada tunazo zihitaji zinachochea critical thinking ya watu, ila kondo za bwana nyingi zinatanguloza mihemuko ya Imani zao badala ya akili zao,
Kweli mtu asulubiwa kwa siku moja awe mlokozi wa billions of people kwa kitendo cha masaa tu, aliingii akilini kabisa.
Makubwa mkuu sasa maskofu na mapadiri wameshakua Waislamu !!! Na bado mtakibiana mtakanana huwezi kujenga imani kwa kutumia ubadilifu na uongo mwisho wake ni kama huo mbaanza kutowana kwenye Dini yenu wenyewe kwa wenyewe bila mtu wa nje.....
Askofu Yvette Flunder, kiongozi mkuu wa kanisa la City of Refuge United Church of Christ na mkuu wa umoja wa makanisa ya The Fellowship of Affirming Ministries, amezua mjadala mzito baada ya kusema kuwa Biblia ina mapungufu makubwa na kuna haja ya kuwa na "Agano la Tatu."
Katika ujumbe wake kwa...
Kondo wengi tunajiita wana Israel na tunaliona kua taifa teule la umuungu na tuna peperusha bendera za Israel katika majumba yetu kwenye magari na maofisini kwetu, sasa inakua je ku dhalilisha na kuvunja miguu na mikona ya Mungu wetu, mimi binafsi hiki kitendo na kikemea na kukilaani sana.
===...
Viongozi wa kuu na wasomi wengi pamoja na watu wenye pesa wengi huoa wake wadogo sana wanao wazidi karibia miaka 20 kwa 50, kua wake zao pindi wenza wao wa mwanzo kuachana au kufa, kwa mfano mzuri Donald Trump wa US 72yrs mke ni 38 kuna siri gani? Ila masikini akioa bint mdogo kelele kila mahara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.