Most of my bussiness and domestic enemies walitokana na huruma wakuuwakopea pesa tangu 2017 sera yangu fedha ni no neglegence personal loans anymore nacho kusaidi ni kuku-recommend kupata mkopo benki au microfinance ila mimi sikupi hata 500k
Kwanini umkopea mtu pesa wewe ni micro finance au benki ? huo ni huruma wakijinga bora nikusaidie pesa ya bure kama msaada, sitaki kujitafutia maadui wa hiari.
Acheni kuchochea yasio wahusu kila taasisi ina taratibu zake na kanuni zao, shkh mkuu wa mkoa tuhuma kama hizo za uzinzi tu zinatosha kujiuzuru, ila kuna wapumbavu wanao msapati ile kushabikia na kudhalilisha uislamu
In America, when a pupil comes late to class, they are given bread to eat dry as a punishment 😂. We tried this in Africa... even the teachers started coming late🤣😂
Kama huna pravancy ya mambo yako kwenye simu kwasbb ya mke mkuu hilo ni tatizo kubwa na kushauri ubadili mke kumpa momba soo suruhisho ataendelea kukusimbua tu.
Mkoa gani hapa Tanzania utakapo pata bint 19 kwa 24 haja zaa bado usukumani miaka 24 huyu bint tayali ana wajukuu, Dodoma ni zaidi ya hateri 13 mimba tayali
Hili suala sio la kulialia ili tuonewe huruma, Tanganyika peeni raia wote bima ya afya bure sisi ndo walipa kodi kubwa, kwanini wazazibar wanapewa matibabu bure wakati kodi zao ndogo sie tukalipia matibabu??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.