MKuu kua na multipple sources of income sio solution nilishawahi kua na 5 source of income sector ila kuna miazi kadhaa zote ziligoma nikaanza kupanda daladala kwa kukosa 10k ya petrol ya gari, sio kwa siku moja mwezi mzima hera sioni, maisha ni mindset na kukubali matokeo dont force hali.
Maisha ni jungle life style survive for the fittest, ukishindwa utakufa mapema, utaliwa au utakibilia kijijini, ambako ndo kuna many life failures, kweli mtu uko mjini msomi na mature enough unashindwaje kujiajili? au ni self ego ndo tatizo, eg nilisha wahi poteza vitu na nauli kutoka mkoa...
Uganjwa tulio nao ni kufikiria kupewa kazi za watu kuajiliwa hiyo ni sydrome kubwa inao tesa wa Tanzania wengi the so called graduates.......sijawahi kukosa kazi ila nilishawahi kikosa pesa kwa kipindi cha miazi mitatu, our mindset ndo tatizo.
Most of my bussiness and domestic enemies walitokana na huruma wakuuwakopea pesa tangu 2017 sera yangu fedha ni no neglegence personal loans anymore nacho kusaidi ni kuku-recommend kupata mkopo benki au microfinance ila mimi sikupi hata 500k
Kwanini umkopea mtu pesa wewe ni micro finance au benki ? huo ni huruma wakijinga bora nikusaidie pesa ya bure kama msaada, sitaki kujitafutia maadui wa hiari.
Acheni kuchochea yasio wahusu kila taasisi ina taratibu zake na kanuni zao, shkh mkuu wa mkoa tuhuma kama hizo za uzinzi tu zinatosha kujiuzuru, ila kuna wapumbavu wanao msapati ile kushabikia na kudhalilisha uislamu
In America, when a pupil comes late to class, they are given bread to eat dry as a punishment 😂. We tried this in Africa... even the teachers started coming late🤣😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.