Recent content by Covax

  1. C

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Nissan Dualis (EGY) TZS. 15.5m

    Mkuu naona imekukera ndo shida ya hizo nissan dualism
  2. C

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Hapana meri Victoria ina safari tatu kwa wiki j2 j4 na alhamisi ila haijae wala kufika nusu ya abilia mizigo ndo hamna kabisa
  3. C

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Angeanza na SGR na kupima wingi wa huo mzigo wa kupeleka uganda na cost ya usafiri hiyo feasibility study hakuifanya.
  4. C

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Ni "White elephant project," JPM alikurupuka kuweka pesa za ummah kwenye kijenga mali, wakati huo huo anajenga daraja la busisi, hiyo meli itatoa wapi mzigo wa kubeba?
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kero ya Ada Chuo cha Maji (Water Institute): Unyanyasaji wa kuzuia wanafunzi kufanya Test 1 na 2 kisa salio dogo la ada unakiuka maagizo ya Serikali

    Jifunzeni kutii utaratibu wa chuo, kwani TRA ukilipia kodi ya gari 11m ukilipia 10m na laki tisa hiyo gari i anaruhusiwa kutoka yard ya TRA? Kwanini likija suala la elimu mnapenda kulalalamika ili muonewe huruma?
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kwenye hi hadith ya nabii Moses/Musa na wayahudi Bibilia elichemsha

    Mkuu natumia logic kufanya reasoning.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Kwenye hi hadith ya nabii Moses/Musa na wayahudi Bibilia elichemsha

    Bibilia iliinhiziwa maneno mengi ambao hayana accuracy na hili ni jangakubwa kwa kondo za bwana.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Kwenye hi hadith ya nabii Moses/Musa na wayahudi Bibilia elichemsha

    Biblia inasema Hesabu 11:21 "Lakini Musa akasema, 'Watu ninao pamoja nami ni laki sita (600,000) wanaotembea kwa miguu; nawe wasema, 'Nitawapa nyama, wapate kula kwa mwezi mzima!" Qur'ani inasema; Surah Ash-Shu'araa - 26:54 kuwa Firauni na watu wake walisema: "Na wakasema, 'Hakika hawa ni...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Hivi kuning'inizwa mti (alistakified) na kuchomwa msalabani (crucified) ni jambo lilelile?

    Ahsante mkuu this time umejibu kama gettleman sio kutanguliza mhemuko ya kilokole kama wengine, kati ya haya maneno bibilia hutumia neno gani hasa.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Hivi kuning'inizwa mti (alistakified) na kuchomwa msalabani (crucified) ni jambo lilelile?

    Mungu wa mababu zetu alimfufua Yesu, yule mliyemuua kwa kumning’iniza mti. (Matendo 5:30) Basi Yesu aliposema: Na asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hastahili mimi. (Mathayo 10:38) Ingepasa aseme, "Chukua mti wako na unifuate..." Je, ishara ikawa msalaba lini?
  11. C

    JamiiForums Tanzania Tungekuwa tuna Rais tayari angekwisha kuja na majibu ya kina kuhusu mradi wa mafuta wa Tanga , na kwanini dangote kapeleka mombasa

    Kuleta oil refinary hapa nchini ni kukaribisha international potics kutawala nchi yetu usifikiri ccm ni wapumbavu hawajui hilo.
  12. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kikwete: Nchi ni tulivu, mambo safi chini ya Rais Samia

    Source ya habari mkuu? Au ni mtizamo wako JK na Samia there inseparable kwa taarifa yako.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Hizi ndo mada tunazo zihitaji zinachochea critical thinking ya watu, ila kondo za bwana nyingi zinatanguloza mihemuko ya Imani zao badala ya akili zao, Kweli mtu asulubiwa kwa siku moja awe mlokozi wa billions of people kwa kitendo cha masaa tu, aliingii akilini kabisa.
Back
Top Bottom