Recent content by Covax

  1. C

    Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

    Mkuu ndoa za utotoni zina ongozwa na Africa India ya pili pakistan afghanistani ya sita neenda google upate data "child marriage" kama utaiona Tanzania kua katika 10 bora. Acheni propaganda za Wazungu mue mnachuja taarifa zao.
  2. C

    Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

    Western propagandist hamna ukweli wowote, hizo propaganda ndo zilichezewa Africa kwa mda mrefu ili kujustify misada yao, mbona hawaandiki kuhusu ushoga unao fanywa kwa watoto wadogo katika mafunzoni ya dini
  3. C

    Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

    C unaona upumbavu kama hu, wewe unafikiri kila mtu anafuata utamadini wenu wa kimakonde, India mpaka leo huo utamaduni wanao mtoto kutafutiwa mchumba angali mdogo ila mahusiano huja badaye akikua sasa nyie hufikiri kwa mihemuko na chuki zenu.
  4. C

    Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

    Sawa hamna kuoa kwa msingi ipi leta hiyo video kuonyesha hao watoto wadogo wanao nunuliwa, ndoa za utototoni zipo sana hata hapa kwetu watoto umri wa miaka 15 hulazimishwa na wazazi wao kuolewa neenda shinyanga pwani zazibar nk kama utazikuta bora mtoto aolewe mapema kuliko kuchezewa nado lengo...
  5. C

    Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

    Hiyo ni biashara au kuoa, hata hapa bongo mbona kawaida Baba wa miaka 70 kwasbb ya pesa kuoa ntoto wa miaka 20 au chini zaidi rejea kwa magi na mke wake mdogo au professor fulani........acha kukuza mambo hayo yapo popote sio umasikini wewe ungeoenda mwanao aolewe na mvuta turoli kisa wana umri sawa?
  6. C

    Tetesi: Serikali kuburuzwa mahakamani kuhusu wizara ya afya kubadili mitaala ya vyuo vya afya vya kati bila kufuata utaratibu

    Hata shule za primary na sekondari ni biashara tayari watu kuwekeza pesa zao nyingi ila elimu inashuka kwasbb lengo lau ni kufaulu mitihani sio kuelimisha watoto, na serikali kama key regulator imeshindwa hata kusimamia shule zake yenyewe, inafaulisha tu kwa kuwapa marks za bure.
  7. C

    China kazi anayo dhidi ya Mmarekani, Biden aweka vikwazo maradufu

    Mnasahau jambo moja kwamba hata Marekani hutegemea soko la LDCs kwa bidhaa zake, umasikini wa Africa haumanishe kwamba hamna good quality income earners hata kupita baadhi ya watu katika nchi za Ulaya na Marekani out of 1 2bn African kuna population ya zaidi ya watu 300m ambao wana high annual...
  8. C

    Tetesi: Serikali kuburuzwa mahakamani kuhusu wizara ya afya kubadili mitaala ya vyuo vya afya vya kati bila kufuata utaratibu

    Biashara za watu zinakufa watu wamekopa pesa wajawekeza kwa kujenga maghorofa wana daiwa na benki pesa, suala la kupandisha vigezo vya kujiunga na vyuo ni tishio kubwa kwa biashara zao, wala sio la Uzalenda au kielimu hayo yote ni kutishia wizara ekejeshe vigezo vya awali........
  9. C

    China kazi anayo dhidi ya Mmarekani, Biden aweka vikwazo maradufu

    Market size ya marekani ni ndogo sana 300m population, 1 8bn pple china 2bn pple Africa 1bn pple, kwahiyo hilo ni dogo sanaa aliwezi ku affect uchumi wake.
  10. C

    Natafuta rafiki wa kiume(mwenza)

    Kipengere muhimu unakivuka, una watoto wangapi na baba watoto ni marehemu au bado iko hai?........jibu hayo tu umepata mme wa vigezo vyote.
  11. C

    Surat Maryam ndio Sura pekee katika Qur'an iliyopewa jina la Mwanamke, zijue sababu

    Ila mkuu majina ya surah sio kwamba ya litoka kwa Allah, hapana haya majina ya surah imetumwa na maswahaba na khalifa Abubakar( ra) kwahoyo sioni cha ajabu chochote hapo.
  12. C

    Kwa mtaji wa milioni 12, nifungue hardware, nafaka au phone and accessories?

    Wewe unsonekana una mimba changa inakusumbua, pinga kwa hoja sijui watu wengine upumbavu ni wa kurithi au? Unavamia hoja ya mtu bila kutoa sababu.
  13. C

    Kwa mtaji wa milioni 12, nifungue hardware, nafaka au phone and accessories?

    Wewe endelea kulinganisha wake wa miaka ya 60s 70s na hawa wa kwetu wa miaka 2000, mueke ndo utaona tofauti zao, acha maisha ya kuiga kwa baba, baba ako kaishi generation tofauti na wewe unaishi generation nyingine.......we kopa pesa uweke mkeo mualimu utarudi jf na mada nyingine tofauti
  14. C

    Kwa mtaji wa milioni 12, nifungue hardware, nafaka au phone and accessories?

    Hapo ndo umeharibu mtaji uweke mke kweli??? Sijui akili za waalimu ziko je,
  15. C

    Barabara ya kutoka Busweli hadi Nyamhongolo

    Jinsi ulivo andika unafikiri kila mtu anajua mwanza kiasi hincho mpaka ajue nyamahonghoro na buswelu......
Back
Top Bottom