Daaaah!!!Huyo jamaa anaitwa John Wayne Gacy hajataka kuzuga
Yeye kaamua kuondoka akiwa ameshiba kabisaaaaa....Naona kitu kimejaa pomoni,paja za kuku na strawberry za kushushia...Sasa sijui chakula kilienda kufanya nini mwilini?
Huyo mwingine hiyo sijui ndio pipi au??
Mtoa maada swali lako gumu...
Wala hakwepeshi kwenye tundu....yaani huyu ndio wale ukienda kutongoza unajizungusha zungusha,anakusaidia mwenyewe kujitongoza
Anakwambia kabisa yaani mimi ili nikubali fanya hivi na hivi,hapo ndio utanipata!!Halafu utasikia anasema we usijizungushe sanaaa,we sema tu unanitaka lini na wapi...
FAIZHAD mimi mwenyewe nimejikuta nakiangalia tu Kipindi,maana toka jana niliona "matangazo" yake kwamba kitaonyeshwa leo
Na nilivutika baada ya kuona kipande kinasema kuwa "Tulikutana Club" nikataka kujuwa walikutana club na Sugu?kumbe si Sugu ila jamaa mwingine
Ila huyu demu sio...
Duuuuh....Tumsifu Yesu Kristo Padre Ngaliba Dume....Upo deep mkuu!!maneno kama majiundo,kustahikishwa nk ni maneno ya Altareni haya..Umekamua kwelikweli
"Watumishi hewa 29 Kigoma Manispaa ni HEWA. Leo tulikuwa na kikao cha Kamati ya Fedha na Uongozi cha Manispaa ya Kigoma Ujiji. Taarifa ya watumishi hewa iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa Kigoma sio habari ya kweli. Watumishi wanaoitwa hewa ni watumishi walio masomoni nk. Kati ya hao 26 ni Walimu wa...
Mkuu Pdidy haya ndio maeneo yako,hizi habari ni kweli kama mleta mada?hiyo ndege ya usiku iliyoacha kuja ni ipi?Kama huyo Mchina ndio agent wa wahamiaji haramu ina maana uwanja hauna watu wa Usalama wa Taifa?Na huyo Manager commercial ni wa kampuni gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.